The Dude
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 1,029
- 453
- Thread starter
- #61
Unajua kikatiba, serikali ni ya muungano i.e URT
Kuupinga muungano ni sawa na ku- redefine territorial borders, almost an act of war.
Vyama vya siasa ni lazima viwepo bara na visiwani, just to verify their allegiance. Na ukiwa mwanachama maana yake umekubali muungano. Ndiyo maana KAMAHURU ilitakiwa iwe na wanachama bara ie CUF.
Sasa, mgombea binafsi atakuwa kiyume na matakwa ya katiba kuhusu vyama vya siasa, kuwa ni lazima viwe vya muungano.Na mtu mmoja hawezi kutambuliwa rasmi utiifu wake kwenye muungano eg. Mtikila.
Hii ground ni ngeni kwangu..na nimepata shida kidogo kuielewa kwa jinsi ulivoiandika...ngoja niisome judgement ile tena afu nirudi kuizungumzia ground yako..