kesho usisahau kupitia kwa Paw ukachukue kopo lako la eiaravii,kudadadadadeki.
Dada HEART unafikiri hata itakuwa inasimama? ni kilaji cha Safari Lager na Luninga tu, usiombe Man-U tukifungwa ndio hata usinisemeshe wiki nzima mpaka ntakaporudi Savannah tena kutafuta ushindiaaaaaah....visingizio tele ndo vitaanza..kitu kdg tu 'nilikuwa savannah naangalia mpira'
mugurusi,msimu wa sekeseke,timbwili,kasheshe,olushengo,okuharangatana ndo unaanza kesho! Subiri kesi.Heri yetu ambao hatuna timu....tunakaa na kuenjoy kila anayepiga bao...isipokuwa kama ni wale jamaa wenye pyepyepye na wepesi wa kuchonga (Na ushetani wao mwekundu)!!
Babu DC!!
Hahahah! na akina mama wanazitumia vema sana dakika 90 ambazo wababa wanakuwa live kwenye TV...lolaeleke jiwe.
Pyeeeeeeeeee kipenga premier league England kinalia,ndo kipindi sawia chetu kinababa kuganda kwenye luninga,iwe bar iwe nyumbani.Katika hili kinamama tulieni msitubughudhi na tukichelewa msituulize,jueni tulikuwa tunaangalia mpira.Swali la nyongeza?
Inahusika sana tu!yani sana kuliko unavoweza kufikiri,Kweli Bishanga wewe ni adict, kinara na nguli wa MMU.
Sasa hii sredi
yako inahusiana vipi na MMU?
Watu pipooooo!! na hivi mashetani tumemchukua RVP, gunners kwisha kazi!! nitakuwa bega kwa bega na mchuchu kwenye EPL maana wote tunapenda soccer...tatizo kubwa tupo timu tofauti!! Akiwa na washkaji siku nyingine ni byee tu, VIZA anapata 24hours bila kumsumbua.
Halafu nahisi wewe kama Arsenal, khe khe
mbwembwe zako nikajua lazima ni walewale ''vikombeless'' asenale..he he!!
Hivi Kaizer unajua tayari BADILI TABIA anatumikia adhabu ya talaka rejea?
Nani kakuruhusu uitamke timu ya WANAUME bila heshima? Ntakutwanga talaka Yummy!!
aeleke jiwe.
Pyeeeeeeeeee kipenga premier league England kinalia,ndo kipindi sawia chetu kinababa kuganda kwenye luninga,iwe bar iwe nyumbani.Katika hili kinamama tulieni msitubughudhi na tukichelewa msituulize,jueni tulikuwa tunaangalia mpira.Swali la nyongeza?