kuna familia ambazo binti ana-date wanamme 231 na wote anawatambulisha kwa mama.
Familia za kitamthilia.
haya mambi nilikuwa nayaona kwenye 'The fresh prince of Bell Air'
wabongo kwa maigizo.......eti boyfriend anatambulishwa....what next?
mama kuwatambulisha watoto 'the guy anaye m date'?????
Utandawazi....mambo ya akina 'Kim Kardashian' na mengineyo.....full kuiga...ili mradi siku zinaenda..
ni ujinga sana kwani kiafrika tunaishi kwa kutegemeana
kama mama amesema muite 'boyfriend wako nimjue' sana sana
wamejipanga kuanza kukuomba usaidie gharama za matunzo ya binti na mama pia....
sasa si bora uoe ujue moja?
hivi kuna mama wa kitanzania atakuacha 'umtumie' binti yake bure bure....???
uzungu hatuuwezi bado.......
wadada wangapi wa kitanzania wanaweza kukubali kwenda out na boyfriend na ku split the bill..????
mambo mengine tuyaache tu....
sisi kwetu dada akileta mwanaume....lazima tuwaulize 'mnaoana lini'???