Mchaga
JF-Expert Member
- Apr 11, 2008
- 1,378
- 204
Wana Jambo Forum naomba kudadisi yafuatayo kuhusu kampuni wakala za kuajiri (RECRUING AGENCIES):
1. Kwanini wakifanya mahojiano na wewe hawakuelezi kama umefanikiwa au lahasha?
2. Kwa nini wanakuita kwenye mahojiano ilihali wakijua wana mtu wao (candidate) wanayemtaka...?
3. Kwa nini ukiwatumia CV hawajibu kama wameipata?
4. Kwa nini wanakubana sana katika mshahara KAMA VILE WAO NDIO WAAJIRI?
Jambo hili limenisumbua akili yangu kwa muda nimetoa dukuduku langa...
1. Kwanini wakifanya mahojiano na wewe hawakuelezi kama umefanikiwa au lahasha?
2. Kwa nini wanakuita kwenye mahojiano ilihali wakijua wana mtu wao (candidate) wanayemtaka...?
3. Kwa nini ukiwatumia CV hawajibu kama wameipata?
4. Kwa nini wanakubana sana katika mshahara KAMA VILE WAO NDIO WAAJIRI?
Jambo hili limenisumbua akili yangu kwa muda nimetoa dukuduku langa...