Dr Faustine Ndugulile
MP Kigamboni
- Jul 16, 2012
- 251
- 438
Precise Pangolin,
Nashukuru kwa mtazamo wako. Kwa mwezi huu wa Septemba nimekuwa Mbagala siku zifuatazo:
2/9 - Mwaliko Ibada Mbagala KKKT. Mchana nilitembelea miundombinu ya barabara na madaraja inayohitaji maboresho.
6/9 - Nilikutanana kusikiliza kero za wananchi katika Ofisi yangu iliyopo Mbagala Kizuiani.
13/9 - Nilishiriki katika ukaguzi wa barabara ya Kilwa pamoja na Waziri Magufuli katika eneo la Kizuiani.
21/9 - Nilitembelea miundombinu na miradi ya maendeleo katika maeneo ya Mangaya na Moringe. Siku hiyo nilitembelea kata ya Kiburugwa maeneo ya Kingugi, kwa Dumbarume na kufanya mkutano wa hadhara Kingugi.
Kata ya Mbagala ina mitaa mitano, ni mtaa upi unaouongelea wewe? Kuhusu Toangoma nilikuwa na mkutano na wadau wa maendeleo wa sekta ya elimu juzi siku ya Jumamosi 22/9.
Nilaumiwe kwa mengine lakini si kwa ziara za kata na kuongea na wananchi.
Nashukuru kwa mtazamo wako. Kwa mwezi huu wa Septemba nimekuwa Mbagala siku zifuatazo:
2/9 - Mwaliko Ibada Mbagala KKKT. Mchana nilitembelea miundombinu ya barabara na madaraja inayohitaji maboresho.
6/9 - Nilikutanana kusikiliza kero za wananchi katika Ofisi yangu iliyopo Mbagala Kizuiani.
13/9 - Nilishiriki katika ukaguzi wa barabara ya Kilwa pamoja na Waziri Magufuli katika eneo la Kizuiani.
21/9 - Nilitembelea miundombinu na miradi ya maendeleo katika maeneo ya Mangaya na Moringe. Siku hiyo nilitembelea kata ya Kiburugwa maeneo ya Kingugi, kwa Dumbarume na kufanya mkutano wa hadhara Kingugi.
Kata ya Mbagala ina mitaa mitano, ni mtaa upi unaouongelea wewe? Kuhusu Toangoma nilikuwa na mkutano na wadau wa maendeleo wa sekta ya elimu juzi siku ya Jumamosi 22/9.
Nilaumiwe kwa mengine lakini si kwa ziara za kata na kuongea na wananchi.