niliacha Tsh 2,000 kwenye mpesa, baada ya wiki nimekuta Tsh 400 !
Kwa sasa natumia kwa kuangalia miss calls na kutuma pesa nimeamua kurudia utaratibu wa zamani wa kudeposit katika Bank Acc. ni bure na ni instantly.
Sina neno la kuita zaidi ya kusema huu 'wizi' sasa nimechoka nao, mara ya kwanza mlitaka kunipiga kimya sh 435,000/ nilizokuwa natupia kwny akaunti yangu ya benki kutokea simu ya mkononi line yenu ikihusika.
Baada ya kuifuatilia sana na vitisho vingi hatimae kwa aibu mkanirudishia. Mara ya pili kuna mtu alikosea namba kwny kutuma pesa ikaja kwangu sh 700,000/ nikatumia uungwana nikawapigia na mkanipa maelekezo ya kuituma kwenu, nikaituma, cha kushangaza ni yule aliyekosea kunipigia na kuomba nimrudishie, nikampa maelezo kwa kirefu kuwa nimeirudisha voda.
Huyo mdada aliendelea kunifuatilia kwa zaidi ya wiki hadi nikaamua kuacha shughuli zangu na kuja kwny ofisi zenu na huyo dada eti ndio mkamrudishia pesa yake, Mara ya tatu ni juzi nimeweka vocha ya sh elfu 5, na mtandao wa kujiunga na cheka ulikuwa unasumbua nikaachana nao nikatumia mtandao mwingine.
Sasa maajabu ya mwaka, tangu hiyo juzi cjatumia voda, hadi muda huu naandika hapa (najua mtasoma) imebaki sh 2900!
Sasa nimetoa hizo cku tisa ili mrekebishe hilo tatizo ikishindikana nitachukua maamuzi mazito ya kuipasua pasua line yenu kwa hasira kali, halafu pamoja na udogo wake naitia kiberiti, na familia yangu yote nitaipiga stop kubwa kutumia/kuonekana na line ya voda achilia mbali kuizungumzia, na kampeni hii nitaieneza kwa marafiki zangu wote waachane na hiyo kitu, sintoishia hapo, nitahamia kwa wenye maduka wa mtaani kwetu nako nitapeleka propaganda hizi, halafu mwisho cku muwe kama TTCL.
Naipenda sana Vodacom T Ltd ndio maana ckutaka kuchukua maamuzi magumu kwa haraka,basi jaribuni kurudisha mema kwenye huu upendo wangu kwenu.
Puuzi sana
Me hiyo siweki vocha imebaki ya kupokea na mara mojamoja m pesa tu.
Sina neno la kuita zaidi ya kusema huu 'wizi' sasa nimechoka nao, mara ya kwanza mlitaka kunipiga kimya sh 435,000/ nilizokuwa natupia kwny akaunti yangu ya benki kutokea simu ya mkononi line yenu ikihusika.
Baada ya kuifuatilia sana na vitisho vingi hatimae kwa aibu mkanirudishia. Mara ya pili kuna mtu alikosea namba kwny kutuma pesa ikaja kwangu sh 700,000/ nikatumia uungwana nikawapigia na mkanipa maelekezo ya kuituma kwenu, nikaituma, cha kushangaza ni yule aliyekosea kunipigia na kuomba nimrudishie, nikampa maelezo kwa kirefu kuwa nimeirudisha voda.
Huyo mdada aliendelea kunifuatilia kwa zaidi ya wiki hadi nikaamua kuacha shughuli zangu na kuja kwny ofisi zenu na huyo dada eti ndio mkamrudishia pesa yake, Mara ya tatu ni juzi nimeweka vocha ya sh elfu 5, na mtandao wa kujiunga na cheka ulikuwa unasumbua nikaachana nao nikatumia mtandao mwingine.
Sasa maajabu ya mwaka, tangu hiyo juzi cjatumia voda, hadi muda huu naandika hapa (najua mtasoma) imebaki sh 2900!
Sasa nimetoa hizo cku tisa ili mrekebishe hilo tatizo ikishindikana nitachukua maamuzi mazito ya kuipasua pasua line yenu kwa hasira kali, halafu pamoja na udogo wake naitia kiberiti, na familia yangu yote nitaipiga stop kubwa kutumia/kuonekana na line ya voda achilia mbali kuizungumzia, na kampeni hii nitaieneza kwa marafiki zangu wote waachane na hiyo kitu, sintoishia hapo, nitahamia kwa wenye maduka wa mtaani kwetu nako nitapeleka propaganda hizi, halafu mwisho cku muwe kama TTCL.
Naipenda sana Vodacom T Ltd ndio maana ckutaka kuchukua maamuzi magumu kwa haraka,basi jaribuni kurudisha mema kwenye huu upendo wangu kwenu.
Me hiyo siweki vocha imebaki ya kupokea na mara mojamoja m pesa tu.
Hivi TCRA kazi yao ni nini?
Kuna wakati huwa nahisi kama wanatumika kisiasa kutunyonya...
Hata huko wanaiba !.....wacha salio halafu ufuatilie salio. Katavi