Kero: Vodacom, kabla ya tarehe 26 mwezi huu, nitakuwa nimeivunja line yenu

Huna haja ya kulalamika , dawa ya hawa Voda ni kuungana na kuwahama kwa siku moja. Mbona madereva wakagoma kwa masaa machache tu serikali wakatii amri. Lini tunasitisha kutumia lini za Voda???

Hilo ndio wanalitaka
 
niliacha Tsh 2,000 kwenye mpesa, baada ya wiki nimekuta Tsh 400 !
Kwa sasa natumia kwa kuangalia miss calls na kutuma pesa nimeamua kurudia utaratibu wa zamani wa kudeposit katika Bank Acc. ni bure na ni instantly.

Voda ni hatari wanaiba sana mpaka vijijini wanalalamika wanahamia tigo
 
Sina neno la kuita zaidi ya kusema huu 'wizi' sasa nimechoka nao, mara ya kwanza mlitaka kunipiga kimya sh 435,000/ nilizokuwa natupia kwny akaunti yangu ya benki kutokea simu ya mkononi line yenu ikihusika.

Baada ya kuifuatilia sana na vitisho vingi hatimae kwa aibu mkanirudishia. Mara ya pili kuna mtu alikosea namba kwny kutuma pesa ikaja kwangu sh 700,000/ nikatumia uungwana nikawapigia na mkanipa maelekezo ya kuituma kwenu, nikaituma, cha kushangaza ni yule aliyekosea kunipigia na kuomba nimrudishie, nikampa maelezo kwa kirefu kuwa nimeirudisha voda.

Huyo mdada aliendelea kunifuatilia kwa zaidi ya wiki hadi nikaamua kuacha shughuli zangu na kuja kwny ofisi zenu na huyo dada eti ndio mkamrudishia pesa yake, Mara ya tatu ni juzi nimeweka vocha ya sh elfu 5, na mtandao wa kujiunga na cheka ulikuwa unasumbua nikaachana nao nikatumia mtandao mwingine.

Sasa maajabu ya mwaka, tangu hiyo juzi cjatumia voda, hadi muda huu naandika hapa (najua mtasoma) imebaki sh 2900!

Sasa nimetoa hizo cku tisa ili mrekebishe hilo tatizo ikishindikana nitachukua maamuzi mazito ya kuipasua pasua line yenu kwa hasira kali, halafu pamoja na udogo wake naitia kiberiti, na familia yangu yote nitaipiga stop kubwa kutumia/kuonekana na line ya voda achilia mbali kuizungumzia, na kampeni hii nitaieneza kwa marafiki zangu wote waachane na hiyo kitu, sintoishia hapo, nitahamia kwa wenye maduka wa mtaani kwetu nako nitapeleka propaganda hizi, halafu mwisho cku muwe kama TTCL.

Naipenda sana Vodacom T Ltd ndio maana ckutaka kuchukua maamuzi magumu kwa haraka,basi jaribuni kurudisha mema kwenye huu upendo wangu kwenu.

Yan ni ndo hata c'elewagi kwanini naendelea kutumia voda mpaka SAA hizi...
wamebadilika sana

Wanapaswa kuwa kama walivoanza aisee!!
 
Yaan ukiishiwa bundle voda TAHADHARI zima data ndo uongeze vocha ukiweka bila kuzima unakuta tsh 0... imagine me hua najiunga na ile unlimited yao ya mwezi ya data tu sasa sitakiwi kubakisha hata tsh kumi maana hawakutasrifu hela ikkisha, wanasubiri wakate mpaka kile kisalio cha nje ndo utaskia NDUGU MTEJA sheenzi zao me sina UNDUGU na wezi, yaan nilihama Tigo kisa network yao, ila huku ndo najuta
 
Hivi hairuhusiwi kuonesha hasira kwa hawa watu kwa kuwakodia ngoma ya kuwasuta nikadai mbesa angu waliyoikwapua mkuu Galadudu?Jus kidding for a laughter!
 
Sina neno la kuita zaidi ya kusema huu 'wizi' sasa nimechoka nao, mara ya kwanza mlitaka kunipiga kimya sh 435,000/ nilizokuwa natupia kwny akaunti yangu ya benki kutokea simu ya mkononi line yenu ikihusika.

Baada ya kuifuatilia sana na vitisho vingi hatimae kwa aibu mkanirudishia. Mara ya pili kuna mtu alikosea namba kwny kutuma pesa ikaja kwangu sh 700,000/ nikatumia uungwana nikawapigia na mkanipa maelekezo ya kuituma kwenu, nikaituma, cha kushangaza ni yule aliyekosea kunipigia na kuomba nimrudishie, nikampa maelezo kwa kirefu kuwa nimeirudisha voda.

Huyo mdada aliendelea kunifuatilia kwa zaidi ya wiki hadi nikaamua kuacha shughuli zangu na kuja kwny ofisi zenu na huyo dada eti ndio mkamrudishia pesa yake, Mara ya tatu ni juzi nimeweka vocha ya sh elfu 5, na mtandao wa kujiunga na cheka ulikuwa unasumbua nikaachana nao nikatumia mtandao mwingine.

Sasa maajabu ya mwaka, tangu hiyo juzi cjatumia voda, hadi muda huu naandika hapa (najua mtasoma) imebaki sh 2900!

Sasa nimetoa hizo cku tisa ili mrekebishe hilo tatizo ikishindikana nitachukua maamuzi mazito ya kuipasua pasua line yenu kwa hasira kali, halafu pamoja na udogo wake naitia kiberiti, na familia yangu yote nitaipiga stop kubwa kutumia/kuonekana na line ya voda achilia mbali kuizungumzia, na kampeni hii nitaieneza kwa marafiki zangu wote waachane na hiyo kitu, sintoishia hapo, nitahamia kwa wenye maduka wa mtaani kwetu nako nitapeleka propaganda hizi, halafu mwisho cku muwe kama TTCL.

Naipenda sana Vodacom T Ltd ndio maana ckutaka kuchukua maamuzi magumu kwa haraka,basi jaribuni kurudisha mema kwenye huu upendo wangu kwenu.

Pole sana mkuu. Vodacom ni wezi wa kupindukia! Juzi kati nilijaza salio Tsh500 but kwa bahat mbaya cm ilijipiga kwnye mtandao mwingine na mtu huyo akapokea pasipo mi kujua, call summary ilikuwa sekunde 9. Nilipochek salio nikakuta: 0.00. Nikawapigia custommer care kuuliza tarrif zao za kupiga simu mitandao mingine wakanijibu kwa nyodo sana! Wakanambia km unataka kujua tarrif nenda Vodashop siyo hapa!

Kiukweli Vodacom ni wezi na wanakera sana! Hata upande wa bando wanaiba sana. Ukiwa na MB 200 za voda kwenye simu ya android ni ndani ya dakika kadhaa tu utashtukia zimeisha! Mbona wenzao Airtel na Tigo zinadum kwa mda mrefu??

Washukuru natumia Vodafone yao ambayo haikubali line za mitandao mingine vinginevyo ningekuwa nishahama mda mrefu sana
 
Hata huko wanaiba !.....wacha salio halafu ufuatilie salio. Katavi

Hii ya kuiba hadi kwenye M-pesa sasa sifa, mimi kwenye salio nilifikiri kuna kitu nakosea, natumia line yao kwa vile tu ni ya siku nyingi na watu wengi wanaifaham, nimeisajili Benki na maeneo mengine muhimu.

Hivi ile sheria ya kulipia kodi 1000 ilipita? Najiuliza haya makato ni ya kitu gani? sipati majibu.
 
kama mpaka Leo unaitumia Voda utakuwa na matatizo..Mimi Niko Airtel na Tigo..
 
Vodacom wameniibia jero langu baada ya kuunga mb 200 tar 14 april nijashindwa kufanya huduma za mtandao cku nzima nilipowapigia wajaniambia taarifa zangu hazionekani tangu 12april. ...nikawasusa.
Nataka nihame ila cjui niende wap coz tigo na airtel wapo slow sana
Na pia laini yangu ni official
 
Tatizo lingine ni wanakutumia message za taarifa mbalimblai alafu wanakata hela. Hujui hata uliunganishwa lini na hizo huduma, hicho ndicho kinachowamalizia wengi salio bila kugundua haswa tatizo ni nini.
 
Back
Top Bottom