IKIANZISHWA MAHAKAMA hii ccm wote jela hakuna aliye Msafi including youKero kubwa ni UKAWA ! Wapuuzi hawana hoja ndio maana hawataki kusikia mahakama ya mafisadi
Hili ni jipu la kutumbuliwa kwa haraka sana,au tuelezwe shida iko wapi?Kero kubwa ni NHIF bima kwanini hospitali nyingi zenye uwezo mkubwa wa kutibu watu zinakataa bima hii. Tatizo ni malipo au ni inferiority complex tuu. Wahusika fanyeni kazi bima zenu zinakataliwa sana hapa mjini
Baa na kelele kwenye makazi ya watu.HILI NAONA NEMC LIMEWAZIDI NGUVU.wako kimya kana kwamba hawalioni,ni matumaini yetu awamu ya tano "hawatatuangusha".
Tabia iliyojengeka ya umimi na kujijenga binafsi badala ya kufanyakazi kama "team" na kujenga taasisi zilizo imara.
Pension scheme mbovu inayosababisha hofu kwa waajiriwa wengi ya "life after office" na kupelekea kutotengeneza succession plan nzuri badala yake kuendelea kutafuta justification za watu wenye umri na ambao hawana jipya kwakua umri na wakati umewapita kuendelea na ajira.
Wachumi wetu wakiongozwa na wenye dhamana ya mipango ya maendeleo kukosa ubunifu na mbinu za ku integrate production finction zetu hali inayopelekea kukosekana kwa kitu kinachoitwa "big push" hivyo kuwa traped kwenye lower development equilibrium na kuendelea kuwa uncoordinated katika njia zetu kuu za uzalishaji uchumi..... Hii implication yake ni kuongezeka kwa watu wasio na ajira zenye tija na hivyo kuwa na narow base kwenye tax payers. Matokeo ni nchi kutokuwa na uwezo wa kutoa huduma yenye quality kwa watu wake kama afya, elimu, na mipangilio katika matumizi bora ya ardhi na mazingira ikiwemo makazi yasiyo bora etc etc.....
Watu wetu wengi kutokuelimika pamoja na hao waliosoma....Wengi kwasababu ya kukosa fursa elimu zetu ni za kuunga unga na zimekosa context....
".....Hizo kero zote ziko kwenye bakuli la umasikini ambayo wengi bado wamekumbatia kwa nguvu na akili zote.. na watanzania wengi ni watu wenye busara, amani, lakini uwezo wa kuthubbutu ni tatizo la muda mrefu"Naamini timu nzima ya #WachapaKazi wa Magufuli wapo tayari kuchukua kero zetu #Watanzania na kuzifanyia kazi bila kusita.
Hivyo basi, tuweke kero za msingi hapa.
Mimi naanza na hizi;
1. Mpasuko unaosababishwa na tofauti za kiitikadi.
- Tuweke Utanzania mbele kuliko itikadi.
2. Ufisadi wa kutisha
- viporo vyote vya ufisadi vifanyiwe kazi na mfumo uimarishwe.
3. Bei Kubwa ya Umeme
- Mikataba ya umeme ipitiwe.
4. Miundombinu
- Sehemu kubwa ya Tanzania bado haina miundombinu ya barabara, maji, umeme nk.
5. Mazingira
- Mazingira yetu yanaathiriwa sana na kelele za muziki wa ma bar na vilabu, uchafu, ujenzi holela nk.
6. Mfumo wa Uchumi
- Uchumi wetu umeshikiliwa na unanufaisha tabaka fulani la wachache na wageni kutokana na serikali kutosimamia vyema fursa zinazojitokeza.
7. Madawa ya kulevya
- Madawa ya kulevya yanaua nguvu kazi ya taifa letu.
8. (Endelea ........ )
Mkuu nakubaliana nawe kwamba wanafanya kazi kwa kufuata upepo,manake ni kero ya wazi na kanuni na sheria za kuwaongoza kulitafutia ufumbuzi zipo lakini wanapata kigugumizi,isitoshe "citizens"wameshalalamika in vain,labda ni kweli wanasubiri mpaka "citizen number one"nae alalamike ndio wataelewa.Ila kama wanajitambua nadhani wataliangalia kwa umakini manake hakuna asiyeelewa kwamba sauti ya "citizen number one"haiendagi bure bure,ikitoka huwa inatoka na tifu tifu.NEMC wanafanya kazi kwa kufuata upepo.
Hili la kelele kwenye makazi ni tatizo kubwa sana !
Linaharibu nguvu kazi ya taifa sawa na madawa ya kulevya.
Watu wanakosa amani, watoto wanaharibika kiakili nk.
NEMC wanasubiri mpaka Magufuli aongee
Kweli kabisa !NEMC wanafanya kazi kwa kufuata upepo.
Hili la kelele kwenye makazi ni tatizo kubwa sana !
Linaharibu nguvu kazi ya taifa sawa na madawa ya kulevya.
Watu wanakosa amani, watoto wanaharibika kiakili nk.
NEMC wanasubiri mpaka Magufuli aongee
Hii kufungia simu bandia ni jibu .kwa huko tulikotoka utawala Wa JK kwa ufisadi uliokuepo ni kwamba simu karibu zote zilio ingizwa nchini ni bandia.sasa hii kutangaza kuzifungia ni dhuluma kubwa kwa wananchi Wa Tanzania. Hili agizo litatia hasara ya Manilioni ya fedha za wananchi..naomba Raisi Magufuli aingilie kati.uzembe wa TBS na Tcra .na wezi Wa makontena bandarini isigeuzwa adhabu kwetu RAIA tulio nunua simu dukani tukijua ni simu halali .chonde chonde Magufuli usiachie HAWA mafisadi .majipu .yaka adhibu RAIA wako wasio na hatia.kwa uzembe na ufisadi wao .