Kenyan & Tanzanian Surburbs

If you are not ready to be questioned and challenged and if you do not have enough knowledge of what you are saying kindly, do not post in jamiiforums thats for sure, utahaibika!

This reality is one a majority are running away from!
 
wacha kujiongopea we Uti wa Mgongo(meningitis)....Kenya imejengwa siku nyingi, huyo mama alikuta kenya imejengwa, inajengwa na akaiacha ikiendelea kujengwa.

pamoja na matatizo yao yote, hawa jamaa wako serious siyo kama TZ porojo na alinacha nyingi matendo sifuri, juzi tu hapa tumeshindwa kumuwajibisha waziri Haji Mponda na naibu wake wakati kwa hao jamaaUhuru Kenyata aliacha madaraka mwenyewe kwa tuhuma tu.

mind u, kenya is the largest economy in East Africa, kama Germany kwa Europe wakati bongo ni largest kwa porojo kama UK kwa Europe.

:A S embarassed:
Put your record straight
(1) Rais Jakaya Kikwete alisuka upya baraza lake la mawaziri kwa kuwatosa mawaziri sita kati ya mawaziri wanane waliokuwa wametajwa kwa kashfa mbalimbali katika ripoti ya Mdhibiti Mkuu na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG), jina la Waziri Haji Mponda na naibu wake alikutajwa. Sasa hiyo ndiyo hatua ya kwanza ya kumuajibisha.
(2) Second, Uhuru Kenyata resigned as a Finance Minister following a ruling of facing trial for crimes
against humanity. But Uhuru remains Deputy Prime Minister, according to the statement which was issued by
President Mwai Kibaki, despite Activists campaigning for him to be barred from public office.
 
wakenya si waoga kama sisi watz

Watanzania si waoga wauliza Waganda watakuambia tulivyomfanya Iddi Amini with his forces. What the TZ forces did is to beat the Ugandan Army which was fighting under the brutal dictator Idi Amin na tukaingia mpaka Kampala na tukawawekea mpaka na Rais Obote chaguo la Watanzania and thats how effectively ended Idi Amin's reign of terror. Acha nyie mnapelekwapelekwa mbio na hao majirani wenu mpaka wa leo mmeshindwa kupata solution!!!
 
img_2734.jpg
 
wakat mwngne tukubal kwamba tuna mipango mzuri lkn utekelezaj hamna...........nini,..........ufisadi ...nchi ya kitu kidogo na kla ktu ni dili kwa msimamz....
 
The tragedy of it all is that this forum has a mod who cannot remove the slums, skyscrapers and other unrelated images from the thread to maintain its purity.
 
Put your record straight
(1) Rais Jakaya Kikwete alisuka upya baraza lake la mawaziri kwa kuwatosa mawaziri sita kati ya mawaziri wanane waliokuwa wametajwa kwa kashfa mbalimbali katika ripoti ya Mdhibiti Mkuu na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG), jina la Waziri Haji Mponda na naibu wake alikutajwa. Sasa hiyo ndiyo hatua ya kwanza ya kumuajibisha.
(2) Second, Uhuru Kenyata resigned as a Finance Minister following a ruling of facing trial for crimes
against humanity. But Uhuru remains Deputy Prime Minister, according to the statement which was issued by
President Mwai Kibaki, despite Activists campaigning for him to be barred from public office.

Apart from the notable peddling of our self-righteous introspections, authorities everywhere have their downfalls within EA. Right now even as we chat, debate and exchange ideas...We can smell the prejudices that we bear. In EA we are enclosed in polished cocoons. If not division among tribal lines, it is in political party phsychology. We can put different topics here that entail several subjects and discuss but immediately when we smell tribal and ideological party differences we slide back to our lofty cocoons. And this is where most of you will agree that we still have miles to go in EA. That is the irony with Africa we are torn between oureselves by our political idols that we look upon very much.

Good luck
 
Jama za 'Dandoch' wakitafuta angalau cha kustiri tumbo...hii ni dhiki iloje jamani?

_60301778_20120402-_dsc8378-7.jpg


At roughly the same time every day, the unfinished salads, sandwiches, bread, and other foodstuffs from flights to Nairobi's busy international airport are transported to Dandora by this green truck. The scraps hardly make it out of the truck before dozens of men fight over the haul.


_60301781_20120331-_dsc7843-8.jpg


The strongest men and boys climb on every possible inch of the truck - while others wait their turn or for friends to toss them a morsel. Women usually avoid the frenzy, hovering in the background waiting for the crowd to thin out before picking through what remains.


_60301995_20120331-_dsc7811-9.jpg


This boy slurps down a carton of yoghurt - it is hot, liquefied and reeking after being baked by the sun. Nevertheless, it is one of the most coveted items.


_60301997_20120331-_dsc7803-10.jpg


A trip to the dump is part of the school day for nearly a quarter of the 850 students at St John’s Informal School, which borders Dandora. For some of them, the food waste is the only meal they will have all day - and so the school does not mete out any punishment for absenteeism.


_60301999_20120402-_dsc8257-11.jpg


Rahab Ruguru, a 42-year-old mother of six, lives on the outskirts of Dandora. Apart from a four-year-old, Mrs Ruguru takes her whole family scavenging at weekends and after classes - to earn money for school fees, books and uniforms. No matter what regulations the bureaucrats in Nairobi may issue, she does not see a time they will stop picking through Kenya's leftovers. “If this site moves, then I will move with it - or we will not survive,” she says. (Text by David Conrad and photos by Micah Albert/Pulitzer Center for Crisis Reporting)


Life on the dump

Hii ni Nairobi?:mod:
 
[B said:
Mekatilili;3357604]Respond with Love and ignore the the dude before me, I gather there is great misunderstanding between Kenyans and Tanzanian, Let us show each other the better parts of our countries. Tanzanians have been talking about all these lovely places in their country and so have Kenyans so lets us share for once. Come on FOLKS DONT BE SHY![/B]

NAIROBI, KENYA

Suburb, Nairobi, Kenya by findingnimo, on Flickr

more suburbs..

Suburb, Nairobi, Kenya by findingnimo, on Flickr

:mod: :mod:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom