Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,238
- Thread starter
- #41
Nadhani swala zima la kupigwa sio sawa, iwe kwa mwanamke, mwanaume, hata watoto haswa watoto. Kweli kuinua mkono, na kumchapa mwenzio vibao ama ngumi za haja hadi kumtoa damu, uvimbe ama maumivu makali - unaeleza vipi hilo? Hakuna cha jinsia hapa! Sio sawa.
Mifumo kandamizi ni ya ajabu sana! Watu nilazima wajiulize, kwahiyo wanaume wakipigwa sio sawa ila wanawake ni sawa ama? Maana kihostoria wanawake ndio wamekuwa ngoma! Nadhani, wote wanawake na wanaoume wanaopigwa wagome kula makwao itakuwa safi zaidi!
Kupigwa sio kitu kidogo jamani!
Haha,sio kwamba mwanamke akipigwa ni sawa hapana.
Lakini sidhani kama na wewe unaona ni kitu cha kawaida mwanaume
kupigwa na mke wake afu akaenda kulalamika hadharani,.....
Na sababu anayo toa eti ni kwakua wanawake wame wezeshwa
na wameendelea kuliko wao so wanataka wakopeshwe hela pia,....
Does that sound from a man?
Yaani wameshindwa hata kuwa majambawazi,.....ops i dont mean it.