Kenya: Wanaume waandaa mgomo

Speaker

JF-Expert Member
Aug 12, 2010
6,324
2,238
WANAUME nchini KENYA leo wanaanza mgomo wa siku sita wa KUTO KULA NYUMBANI kupinga vitendo vya KUPIGWA na wake zao.

Huh,hivi hawa ni wanaume kweli au mashoga?
Au ndo wale wanao tunzwa na majimama?
Au ndo wale walo olewa wanakaa nyumbani kusubiria
mke alete kila kitu?

Wakenya mna tuaibisha.........

31fe0310ed4d0bed42f543c4122795e2_L.jpg


The Maendeleo ya Wanaume lobby group have threatened to mobilize men countrywide to boycott food in their houses starting Monday to protest the recent increase of man battering.

The group leader Nderitu Njoka says the six-day strike is meant to compel women engaged in domestic violence against their spouses to stop the vice.

Speaking at the Nakuru provincial general hospital where he had visited a man assaulted by a woman, Njoka blamed empowerment funds given to women by the government for the increase in the trend adding that men should also be financially empowered.

At least 460,000 cases of men battering were reported last year in Central Kenya and 300,000 in Nairobi, according to Maendeleo ya Wanaume.

Meanwhile, the Africa Independent Pentecostal Church of Africa women council has vowed to work with families to restore harmony between spouses in Nyeri County that has recently witnessed an upsurge in husband battering.
 
Ukisikia wanaume kama mabinti ndo hao..mimi mke wangu hata awe baunsa vipi..anachezea kichapo tu hapa...na gemu ananipa..
 
Hata hapa Bongo wanaume kibao wanachezea kichapo lakini hawasemi...

Kuna jamaa yangu mchaga kaona mama wa kikurya anamgawia kichapo cha haja. Hata gari ya familia anaendesha mama baba ni abiria tu. Mangi akichezea kichapo kikali anasingizia anaumwa kazini hatokei. Anajifariji tu kwa kugonga makonyagi...

Huo mgomo usiwe wa kula chakula tu, wagomee hadi KULA VITU uone kama hao wamama wataendelea na ukorofi.
 
Hivi huwa wanapigana au wanaume wanapigwa?mbona hiyo sooo,bac hapo suala la haki sawa kwa kila mwananchi ni ndoto na hakitatekelezeka kamwe
 
wanawake tukiwezeshwa tunaweza.
wanaume kenya wanachezea vipondo daily wapo hps kila siku
wanachezea vipondo vya mbwa mwizi kila siku

wanawake wamewaambia na atakaegoma atalala mochwari siku iyo
nasikia wengi hawali mjini kwa hofu mida ya lunch wanaenda kula kwa wake zao kwa hofu
 
Ukisikia wanaume kama mabinti ndo hao..mimi mke wangu hata awe baunsa vipi..anachezea kichapo tu hapa...na gemu ananipa..

Wanawake wa kitanzania wengi wana heshima.
Utakuta bonge ya mmama kaolewa na kamtu kama njiti lakini
wanaishi bila kugombana,....sasa huyu angekua kenya akimuweka mme
wake katikati ya mikono tu na kubinya anavunja mbavu.
 
Hata hapa Bongo wanaume kibao wanachezea kichapo lakini hawasemi...

Kuna jamaa yangu mchaga kaona mama wa kikurya anamgawia kichapo cha haja. Hata gari ya familia anaendesha mama baba ni abiria tu. Mangi akichezea kichapo kikali anasingizia anaumwa kazini hatokei. Anajifariji tu kwa kugonga makonyagi...

Huo mgomo usiwe wa kula chakula tu, wagomee hadi KULA VITU uone kama hao wamama wataendelea na ukorofi.

Hii yako imekaa kama hadithi njoo uongo njoo hivi.
wanawake wa kikurya sio kama wanaume wa kikurya.
Wanawake ni watii na wenye heshima sana kwa waume zao.
 
Hivi huwa wanapigana au wanaume wanapigwa?mbona hiyo sooo,bac hapo suala la haki sawa kwa kila mwananchi ni ndoto na hakitatekelezeka kamwe

Eti wanadai wanawake wa kenya wana kiburi cha kuwapiga kwa sababu
serikali ime wawezesha kifedha,so wanakuwa matajiri kuwazidi waume zao.

In return,wanaume nchini humo wanatarajia kuanza mgomo wa kula makwao ikiwa
ni pamoja na kuomba "wawezeshwe pia".............

Damn,no wonder kenya kuna mashoga wengi.

Tena hapa wakigoma kula nyumbani nahisi ndo watachapwa ajabu.
 
Back
Top Bottom