Tiba
JF-Expert Member
- Jul 15, 2008
- 4,604
- 3,163
Wana JF,
Juzi nilibahatika kupita Nairobi na kuwakuta wachina wako busy na ujenzi wa fly overs ambazo pamoja na kwamba bado ujenzi wake haujakamilika lakini tayari zimepunguza foleni kwa kiasi kikubwa sana. Hawa wenzetu wameweza, sisi Tanzania tunasubiri nini?
Tujadili!!!!!
Tiba
Juzi nilibahatika kupita Nairobi na kuwakuta wachina wako busy na ujenzi wa fly overs ambazo pamoja na kwamba bado ujenzi wake haujakamilika lakini tayari zimepunguza foleni kwa kiasi kikubwa sana. Hawa wenzetu wameweza, sisi Tanzania tunasubiri nini?
Tujadili!!!!!
Tiba