Kenya: Waandamanaji Kisumu wabeba masufuria na mfano wa jeneza

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
2,309
5,464
Baadhi ya wafuasi wa Azimio wameshiriki katika maandamano yaliyofanyika katika Mji wa Kisumu wakipinga gharama ya maisha kuwa juu na kushinikiza Serikali ya Rais William Ruto kuchukua hatua.

Baadhi yao wakiwa wakiwa na masufuria, miko mabango yaliyoandikwa ‘Njaaaa!’ huku wakisikika wakiimba “Watu wa Kaunti ya Kisumu tumejitokeza kufanya maandamano kwa sababu Baba (Raila Odinga) alisema tufanye maandamano hadi Ikulu.”

Baadhi ya waandamanaji hao wamesema Machi 20, 2023 watashiriki katika maandamano makubwa zaidi yatakayofanyika Jijini Nairobi.
unnamed (2).jpg

Ke.jpg

Ken.jpg

unnamed.jpg

unnamed (1).jpg

=============

Some Kisumu residents on Wednesday took to the streets to protest over the high cost of living in the country.

The protestors stormed State Lodge demanding to be heard by the government.

They carried empty sufuria's, cooking sticks and placards written "Njaaaa!!" (Hunger).

They were heard shouting "Watu wa Kisumu county tumejitokeza kufanya maandamano kwa sababu Baba alisema akiwa Siaya kwamba tufanye maandamano hadi State House."

"Tarehe Ishirini tutatoka Kisumu twende Nairobi tuhakikishe tumechukua State House, Ruto must go."

(We Kisumu residents have come out to protest because Baba told us to demonstrate to State House when he was in Siaya. On March 20, we shall go to Nairobi and take over State House, Ruto must go).

This is after Azimio leader Raila Odinga ordered countrywide mass action to pressure President William Ruto to address some of his demands including the high cost of living.


Source: The-star

==============

Azimio Protestors Disrupt Communications Authority Event In Kisumu

Irked Azimio la Umoja protesters in Kisumu disrupted an ongoing meeting at the Jaramogi Oginga Odinga sports ground on Wednesday which was being presided over by Communications Authority (CA) Director General Ezra Chiloba.

ICT Cabinet Secretary Eliud Owalo, who was set to preside over the meeting did not show up, prompting Chiloba to assume the role.

Chiloba had finished addressing a press conference when the protestors stormed in but he had already left.

The protestors then ran towards the tents and the main stage causing panic amongst exhibitors and participants who were still at the venue.

They then ransacked areas that had food drinking bottles of water, juices and other foodstuff.

Service providers scrambled to ensure the safety of their equipment including tents, chairs, music systems as the rowdy youths shouted anti-Eliud Owalo slogans.

Kisumu Central DCC Hussein Hussein who had earlier received a notice from the protestors arrived at the venue alongside other security officials to ensure the participant's safety.

However, local leaders led by Deputy Governor Dr Mathew Owili, Kisumu Central MP Joshua Oron had earlier led the protestors in a march from Kondele towards the state lodge direction.

Protestors were marching while carrying twigs, sufurias, and waving anti-Kenya Kwanza administration placards.

The leaders vowed to keep protesting against President William Ruto's government, adding that there shall be a last rally in the county on Friday ahead of the Monday 20th protests in Nairobi.

Soource: Citizen.digital
 
Si wameungana na yule profesa wa " Kitu" Cha Arusha mwenye urafiki na wale jamaa waliokuwa wanapenda maandamano hapa bongo ambao watu baada ya kuelimika wamewasusia?
 
Baadhi ya wafuasi wa Azimio wameshiriki katika maandamano yaliyofanyika katika Mji wa Kisumu wakipinga gharama ya maisha kuwa juu na kushinikiza Serikali ya Rais William Ruto kuchukua hatua.

Baadhi yao wakiwa wakiwa na masufuria, miko mabango yaliyoandikwa ‘Njaaaa!’ huku wakisikika wakiimba “Watu wa Kaunti ya Kisumu tumejitokeza kufanya maandamano kwa sababu Baba (Raila Odinga) alisema tufanye maandamano hadi Ikulu.”

Baadhi ya waandamanaji hao wamesema Machi 20, 2023 watashiriki katika maandamano makubwa zaidi yatakayofanyika Jijini Nairobi.
View attachment 2552547
View attachment 2552531
View attachment 2552532
View attachment 2552533
View attachment 2552534
=============

Some Kisumu residents on Wednesday took to the streets to protest over the high cost of living in the country.

The protestors stormed State Lodge demanding to be heard by the government.

They carried empty sufuria's, cooking sticks and placards written "Njaaaa!!" (Hunger).

They were heard shouting "Watu wa Kisumu county tumejitokeza kufanya maandamano kwa sababu Baba alisema akiwa Siaya kwamba tufanye maandamano hadi State House."

"Tarehe Ishirini tutatoka Kisumu twende Nairobi tuhakikishe tumechukua State House, Ruto must go."

(We Kisumu residents have come out to protest because Baba told us to demonstrate to State House when he was in Siaya. On March 20, we shall go to Nairobi and take over State House, Ruto must go).

This is after Azimio leader Raila Odinga ordered countrywide mass action to pressure President William Ruto to address some of his demands including the high cost of living.


Source: The-star

==============

Azimio Protestors Disrupt Communications Authority Event In Kisumu

Irked Azimio la Umoja protesters in Kisumu disrupted an ongoing meeting at the Jaramogi Oginga Odinga sports ground on Wednesday which was being presided over by Communications Authority (CA) Director General Ezra Chiloba.

ICT Cabinet Secretary Eliud Owalo, who was set to preside over the meeting did not show up, prompting Chiloba to assume the role.

Chiloba had finished addressing a press conference when the protestors stormed in but he had already left.

The protestors then ran towards the tents and the main stage causing panic amongst exhibitors and participants who were still at the venue.

They then ransacked areas that had food drinking bottles of water, juices and other foodstuff.

Service providers scrambled to ensure the safety of their equipment including tents, chairs, music systems as the rowdy youths shouted anti-Eliud Owalo slogans.

Kisumu Central DCC Hussein Hussein who had earlier received a notice from the protestors arrived at the venue alongside other security officials to ensure the participant's safety.

However, local leaders led by Deputy Governor Dr Mathew Owili, Kisumu Central MP Joshua Oron had earlier led the protestors in a march from Kondele towards the state lodge direction.

Protestors were marching while carrying twigs, sufurias, and waving anti-Kenya Kwanza administration placards.

The leaders vowed to keep protesting against President William Ruto's government, adding that there shall be a last rally in the county on Friday ahead of the Monday 20th protests in Nairobi.

Soource: Citizen.digital

Elewa maandamano ni ya nini.
Maandamano ni ya kulazimisha handshake. The supporters are just the pawns on the board.
 
Baadhi ya wafuasi wa Azimio wameshiriki katika maandamano yaliyofanyika katika Mji wa Kisumu wakipinga gharama ya maisha kuwa juu na kushinikiza Serikali ya Rais William Ruto kuchukua hatua.

Baadhi yao wakiwa wakiwa na masufuria, miko mabango yaliyoandikwa ‘Njaaaa!’ huku wakisikika wakiimba “Watu wa Kaunti ya Kisumu tumejitokeza kufanya maandamano kwa sababu Baba (Raila Odinga) alisema tufanye maandamano hadi Ikulu.”

Baadhi ya waandamanaji hao wamesema Machi 20, 2023 watashiriki katika maandamano makubwa zaidi yatakayofanyika Jijini Nairobi.
View attachment 2552547
View attachment 2552531
View attachment 2552532
View attachment 2552533
View attachment 2552534
=============

Some Kisumu residents on Wednesday took to the streets to protest over the high cost of living in the country.

The protestors stormed State Lodge demanding to be heard by the government.

They carried empty sufuria's, cooking sticks and placards written "Njaaaa!!" (Hunger).

They were heard shouting "Watu wa Kisumu county tumejitokeza kufanya maandamano kwa sababu Baba alisema akiwa Siaya kwamba tufanye maandamano hadi State House."

"Tarehe Ishirini tutatoka Kisumu twende Nairobi tuhakikishe tumechukua State House, Ruto must go."

(We Kisumu residents have come out to protest because Baba told us to demonstrate to State House when he was in Siaya. On March 20, we shall go to Nairobi and take over State House, Ruto must go).

This is after Azimio leader Raila Odinga ordered countrywide mass action to pressure President William Ruto to address some of his demands including the high cost of living.


Source: The-star

==============

Azimio Protestors Disrupt Communications Authority Event In Kisumu

Irked Azimio la Umoja protesters in Kisumu disrupted an ongoing meeting at the Jaramogi Oginga Odinga sports ground on Wednesday which was being presided over by Communications Authority (CA) Director General Ezra Chiloba.

ICT Cabinet Secretary Eliud Owalo, who was set to preside over the meeting did not show up, prompting Chiloba to assume the role.

Chiloba had finished addressing a press conference when the protestors stormed in but he had already left.

The protestors then ran towards the tents and the main stage causing panic amongst exhibitors and participants who were still at the venue.

They then ransacked areas that had food drinking bottles of water, juices and other foodstuff.

Service providers scrambled to ensure the safety of their equipment including tents, chairs, music systems as the rowdy youths shouted anti-Eliud Owalo slogans.

Kisumu Central DCC Hussein Hussein who had earlier received a notice from the protestors arrived at the venue alongside other security officials to ensure the participant's safety.

However, local leaders led by Deputy Governor Dr Mathew Owili, Kisumu Central MP Joshua Oron had earlier led the protestors in a march from Kondele towards the state lodge direction.

Protestors were marching while carrying twigs, sufurias, and waving anti-Kenya Kwanza administration placards.

The leaders vowed to keep protesting against President William Ruto's government, adding that there shall be a last rally in the county on Friday ahead of the Monday 20th protests in Nairobi.

Soource: Citizen.digital
Wangeliandamana kuelekea shambani Mimi ningeliwaona wa maana.Hao Ni chawa wa RAO.Bei ya Chakula haishishwi kwa maandamano Bali kwa kuongeza uzalishaji wa Chakula shambani.

Wakitoka huko kwenye maandamano watakutana na njaa Kali majumbani mwao huku aliyewahamasisha waandamane akijilia kuku kwa Mlija.

AKILI KUMKICHWA.Nina Ekali zangu 5 za Mahindi yamesitawi balaa.Nasubiri mwezi wa 5 nivune halafu niwauzie kwa Bei ya juu hao waandamanaji.
 
Back
Top Bottom