huyu naye great thinker etiWe si ubaki na madras zenu mnabali kulalama tu na kushindwa kudeal na mambo ya maana na mnabaki na umwinyi tu!
Kenya hao wanaanza kuujuwa uisilamu sasa wabongo nyie kaaeni tu na makanisa yenu hayo ya kinyonyaji na mifumo yenu ya kikatoliki
本书为斯瓦西里语版, 共分为二十课, 旨在培养学习者汉语听说读写基本技能和一定的汉语
交际能力, 也可用于针对某一特定言语交际技能的汉语教学。
tatizo hapa ni kuwa hapa jf kila panapotajwa uislamu au ukristo watu huingiwa na jazba na kuanza kutupiana maneno........
unamaanisha shule /secondari za kikatoliki zifutwe? zibaki zenu tu? au sio?Kenya hao wanaanza kuujuwa uisilamu sasa wabongo nyie kaaeni tu na makanisa yenu hayo ya kinyonyaji na mifumo yenu ya kikatoliki
kami ni hivi basi imetuliaTatizo hapa ni kuwa hapa JF kila panapotajwa uislamu au ukristo watu huingiwa na jazba na kuanza kutupiana maneno, kama kwamba uislamu/ukristo kwao hauna maana nyengine zaidi ya kusilimishwa/kubatizwa.
Mfumo wa benki za kiislamu ni kwa maslahi ya kiuchumi na wala haina maana kuwa wanaufuata wanakuwa waislamu. Misingi yake ni kuwekeza bila kutoa wala kudai riba na hii inafaida kiuchumi kwani kunakuwa hakuna kulipa kodi wala msongamano wa ukiritimba wa fedha. Hofu angu ni kuwa wajanja wanaweza kuutumia katika kuficha pesa nyeusi/haramu (kamavile zitokanazo na madawa ya kulevya na biashara haramu) na kukwamisha mzunguko wa pesa.
Chanzo cha habari yako ni kipi mkuu? Hata hivyo mbona hapa tz walishaanza kutumia huo mfumo toka siku nyingi? au Kenya Wanadesa kwetu?
huu mfumo wa kutodai riba ni mzuri ila HAKUNA BENKI DUNIANI INAYOJIMUDU bila kuwadai riba wateja wake.Kwa mfano ukienda NBC utaendesha akaunti kwa mfumo wa kiislamu bila tabu.