Mpaka Kieleweke
JF-Expert Member
- Feb 27, 2007
- 4,132
- 1,571
kuna habari nilizipata kutoka hukokuwa kuna sehemu wananchiwamechapana na haswa wafuasi wa kibakina Raila, ila polisi wamefanikiwakutuliza munkari.
Hey you guy. Raila yuko juu so far, results coming in fast!
jamani hayo majibu badoo tuuu ama nayo ni kama ripoti zetu za bongo?mpaka zikawe edited chumbanii??alafu mbona mabox yenye kura hayako transparent??