SILISABANGOO
JF-Expert Member
- Oct 6, 2015
- 425
- 53
Ni hali iliyosisimua hadi wana ukawa kwa jinsi kelele za rais rais rais zilipokuwa zinatawala kila kona hapa jijini .... kweli Magufuli ni rais anayependwa na wananchi kuliko wagombea wote wa nafac ya urais...... kila la kheri Mh. rais wa awamu ya tano.....alutaaaaaaaaa