Kalaga baho
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 5,580
- 11,468
Kumbe wapo kama 2 tech tu. Nao wapo London pale Kwerekwe na unapangiwa siku hiyohiyo.Iko Zanzibar, ofisi zao zilikuwa Kwerekwe pale sokoni. Sijajua kama wamehama, but bado kampuni ipo. Ukibahatika unaweza kupangwa lindo siku hiyo hiyo na hawana vigezo vingi wala.
Ukij Zanzibar tutaftane bhasiii 🥴