Lavit JF-Expert Member May 16, 2011 13,137 27,088 Feb 26, 2012 #1 wakuu kwa muda sasa nasikia kuhusu sensa ya 2012, vipi wameshaajiri watu? Vipi maslahi yao huwa yanakuwaje?
wakuu kwa muda sasa nasikia kuhusu sensa ya 2012, vipi wameshaajiri watu? Vipi maslahi yao huwa yanakuwaje?
Sunshow JF-Expert Member Nov 11, 2011 1,140 391 Feb 26, 2012 #2 Mkuu tafuta kazi ya kudumu acha kunyemelea kazi za msimu.
Lavit JF-Expert Member May 16, 2011 13,137 27,088 Feb 26, 2012 Thread starter #3 Sunshow said: Mkuu tafuta kazi ya kudumu acha kunyemelea kazi za msimu. Click to expand... mkuu sipendi ila inanibidi, mpaka muda nimeshazungusha sana cv, sielewi tatizo ni nini?
Sunshow said: Mkuu tafuta kazi ya kudumu acha kunyemelea kazi za msimu. Click to expand... mkuu sipendi ila inanibidi, mpaka muda nimeshazungusha sana cv, sielewi tatizo ni nini?
Perry JF-Expert Member Feb 24, 2011 10,043 2,000 Feb 26, 2012 #4 Hzo kazi huwa wanapewa walimu..we angalia ustaarabu mwingne tu.
vanmedy JF-Expert Member Oct 12, 2011 2,698 1,395 Feb 26, 2012 #5 gwankaja said: mkuu sipendi ila inanibidi, mpaka muda nimeshazungusha sana cv, sielewi tatizo ni nini? Click to expand... Kakate wimbi baharini utatoa nuksi
gwankaja said: mkuu sipendi ila inanibidi, mpaka muda nimeshazungusha sana cv, sielewi tatizo ni nini? Click to expand... Kakate wimbi baharini utatoa nuksi
Omkama Senior Member Feb 19, 2012 131 44 Feb 28, 2012 #6 Hawa jamaa nafasi wanagawiana kifamilia. Ki ukwel hata sijui zinapatikanaje.
COURTESY JF-Expert Member Jun 16, 2011 2,006 706 Feb 28, 2012 #7 senetor07 said: Hzo kazi huwa wanapewa walimu..we angalia ustaarabu mwingne tu. Click to expand... mmeshawekewa boom?
senetor07 said: Hzo kazi huwa wanapewa walimu..we angalia ustaarabu mwingne tu. Click to expand... mmeshawekewa boom?
Sizinga Platinum Member Oct 30, 2007 9,101 6,027 Feb 28, 2012 #8 vanmedy said: Kakate wimbi baharini utatoa nuksi Click to expand... Hivi ni nguvu za giza, mpe mwenzako ushauri..huku kitaa jamani kunahosha!!
vanmedy said: Kakate wimbi baharini utatoa nuksi Click to expand... Hivi ni nguvu za giza, mpe mwenzako ushauri..huku kitaa jamani kunahosha!!