Kazi za "census" wameshapeana?

Lavit

JF-Expert Member
May 16, 2011
13,137
27,088
wakuu kwa muda sasa nasikia kuhusu sensa ya 2012, vipi wameshaajiri watu? Vipi maslahi yao huwa yanakuwaje?
 
Hzo kazi huwa wanapewa walimu..we angalia ustaarabu mwingne tu.
 
Hawa jamaa nafasi wanagawiana kifamilia. Ki ukwel hata sijui zinapatikanaje.
 
Back
Top Bottom