Likwanda
JF-Expert Member
- Jun 16, 2011
- 3,910
- 1,131
Kwasasa tumefunikwa na sakata linalohusu posho za Wabunge. Wapo wanaodai ziondolewa na wengine wanataka ziendelee. Kwa uchunguzi usio rasmi ni kwamba kazi ya Ubunge imekuwa ikiwavuta watu wengi sana kutokana na Mishahara, posho na kiinua mgongo kikubwa kila bada ya miaka mitano.
Hali hii imepelekea watu wengi sana kuacha kazi zao nyeti na kuingia ktk vuguvugu la kutafuta ubunge. Vilevile wafanyabiashara wakubwa nao wamejiingiza ktk Ubunge ili kuwa salama zaidi kutoka ktk sheria mbalimbali za Serikali zikiwemo za kodi.
Wadau naomba tusaidiane mawazo ktk hili "Je kazi ya Ubunge ingekuwa ni wito kama vile kazi za Ualimu, Unesi nk tungepata Wabunge" tujadili sote bila kujari itikadi za vyama.
Hali hii imepelekea watu wengi sana kuacha kazi zao nyeti na kuingia ktk vuguvugu la kutafuta ubunge. Vilevile wafanyabiashara wakubwa nao wamejiingiza ktk Ubunge ili kuwa salama zaidi kutoka ktk sheria mbalimbali za Serikali zikiwemo za kodi.
Wadau naomba tusaidiane mawazo ktk hili "Je kazi ya Ubunge ingekuwa ni wito kama vile kazi za Ualimu, Unesi nk tungepata Wabunge" tujadili sote bila kujari itikadi za vyama.