Kazi ya MONUSCO ni kulinda Amani au kuisadia Congo dhidi ya M23?

Inashangaza wanaungana na majeshi ya serikali na wale interahamwe wa FDLR kupambana na M23
Mission iliyopo huko sio ya Monusco. Ni sadc ambao Tshisekedi aliomba kwa wakuu wa Sadc wakamsaidie kupora waasi silaha na kurejesha amani. Kwasababu serikali ya Congo inawatambua M23 kama waasi ndio maana hivyo vikosi vimepewa maelekezo ya kutoa kichapo kwa hao kunguru. Mind you, hili swala ni kama wakuu wa Sadc wameamua kudili na mzizi wa fitina. Askari 2900 on the way na bajeti wanaongeza. Kazi kwenu watutsi wa Congo aidha mnataka kuishi au muweke silaha chibi, safari hii hata wenye dunia wanawatosa
 
Watakula kichapo eti FLDR wanaitwa Wazalendo.

Ngoja waanze kupeleka Maiti nyumbani ili Watu wajiulize MONUSCO inafanya nini Kongo.

Ni kama UNRWA inavyoisaidia HAMMAS.
Ufaransa ameshamwambia Rwanda aondoe majeshi congo, ameshajua kinachofuatia baada ya wanajeshi 2 wa south africa kuuawa, wanajua kuna kichapo kikubwa sana kitafuta. na rwanda mbio kaenda kuandika barua akilalamikia MUNUSCO. usichojua, ufaransa, marekani na nchi zingine wanafaidika na rwanda, hivyo wamejifanya tu waonekane kama hawapo pamoja nae kwamba aondoke congo ili rwanda aondoke, kwasababu wanajua kuna vita inaweza kutokea na kipiganwa muda mrefu hata wao wanaweza kuaibika kwa kujulikana uovu wao.
 
Ufaransa ameshamwambia Rwanda aondoe majeshi congo, ameshajua kinachofuatia baada ya wanajeshi 2 wa south africa kuuawa, wanajua kuna kichapo kikubwa sana kitafuta. na rwanda mbio kaenda kuandika barua akilalamikia MUNUSCO. usichojua, ufaransa, marekani na nchi zingine wanafaidika na rwanda, hivyo wamejifanya tu waonekane kama hawapo pamoja nae kwamba aondoke congo ili rwanda aondoke, kwasababu wanajua kuna vita inaweza kutokea na kipiganwa muda mrefu hata wao wanaweza kuaibika kwa kujulikana uovu wao.
Mfaransa aliyewasaidia INTERAHAMWE wakati wanafanya Mauaji ya Kimbari Rwanda wakati RPF ilipokuwa ikiwaadabisha Wauwaji wale.

Nani awasikilize Wafaransa?
 
Nashindwa kuelewa tunaambiwa vikosi vya umoja wa mataifa MONUSCO pamoja na SADC kazi yao ni kulinda amani huko mashariki ya DRC lakini kazi wanayoifanya ni kusaidia vikosi vya serikali ya Congo kupambana na M23.

Je kuna uhalali kuendelea kuwepo kwa vikosi hivyo vya kimataifa katika ardhi ya Congo?

Nadhani wakati umefika sasa Umoja wa mataifa na SADC kuondoa majeshi yao kwakua jukumu walilopewa wameshindwa kulifanya kinachoendelea huko kwa sasa ni uhuni mtupu au wao ndio wezi wa madini ya Congo?
Kipigo kiendelee... Piga kunguru
 
Mission iliyopo huko sio ya Monusco. Ni sadc ambao Tshisekedi aliomba kwa wakuu wa Sadc wakamsaidie kupora waasi silaha na kurejesha amani. Kwasababu serikali ya Congo inawatambua M23 kama waasi ndio maana hivyo vikosi vimepewa maelekezo ya kutoa kichapo kwa hao kunguru. Mind you, hili swala ni kama wakuu wa Sadc wameamua kudili na mzizi wa fitina. Askari 2900 on the way na bajeti wanaongeza. Kazi kwenu watutsi wa Congo aidha mnataka kuishi au muweke silaha chibi, safari hii hata wenye dunia wanawatosa
Bunduki haitasaidia kumaliza mgogoro wa DRC na M23 tupo hapa mkuu.
 
Nashindwa kuelewa tunaambiwa vikosi vya umoja wa mataifa MONUSCO pamoja na SADC kazi yao ni kulinda amani huko mashariki ya DRC lakini kazi wanayoifanya ni kusaidia vikosi vya serikali ya Congo kupambana na M23.

Je kuna uhalali kuendelea kuwepo kwa vikosi hivyo vya kimataifa katika ardhi ya Congo?

Nadhani wakati umefika sasa Umoja wa mataifa na SADC kuondoa majeshi yao kwakua jukumu walilopewa wameshindwa kulifanya kinachoendelea huko kwa sasa ni uhuni mtupu au wao ndio wezi wa madini ya Congo?
Wezi wa madini congo ni rwanda kwa kuwashirikisha watutsi wa congo. Jeshi la M23 ni jeshi la watutsi na ndio wezi wa madini congo. Shida ya wacongo kagame amekua anawashirikisha viongozi kinshasa na majenerali wa fardc kwa kuwahonga ndio maana ghasia hazitamalizika mashariki ya congo.
 
Ufaransa ameshamwambia Rwanda aondoe majeshi congo, ameshajua kinachofuatia baada ya wanajeshi 2 wa south africa kuuawa, wanajua kuna kichapo kikubwa sana kitafuta. na rwanda mbio kaenda kuandika barua akilalamikia MUNUSCO. usichojua, ufaransa, marekani na nchi zingine wanafaidika na rwanda, hivyo wamejifanya tu waonekane kama hawapo pamoja nae kwamba aondoke congo ili rwanda aondoke, kwasababu wanajua kuna vita inaweza kutokea na kipiganwa muda mrefu hata wao wanaweza kuaibika kwa kujulikana uovu wao.
Rwanda haiendeshwi na kelele za mataifa mengine. Usalama wa Rwanda ni muhimu mwaka 1994 hawa wanaojifanya kuongea sasa walikua kimya wakati watutsi wanachinjwa na Interahamwe.
 
Mfaransa aliyewasaidia INTERAHAMWE wakati wanafanya Mauaji ya Kimbari Rwanda wakati RPF ilipokuwa ikiwaadabisha Wauwaji wale.

Nani awasikilize Wafaransa?
Mfaransa hakuwasaidia intarahamwe, yeye alikuwa bega kwa bega na serikali iliyokuwa madarakani , serikali ya wahutu ambayo kagame alitungua ndege ya rais wa nchi. kilichotokea, wahutu waliokuwa madarakani tayari walikuwa na silaha nyingi na waliua raia wengi sana kabla RPF hawajafika, ni kweli mauaji yaliandaliwa kabla kwa kuagiza mapanga china lakini haikuratibiwa na ufaransa. pia jua kuwa, RPF walishinda sio kwasababu walikuwa na uwezo sana, No, walisaidiwa sana na Uganda, M7 fought alongside them, ndio maana walitokea upande wa Uganda na ukijua Kagame alishakuwa mwanajeshi wa juu sana ndani ya Jeshi la M7. haya yameongelewa na watusi wenyewe waliomgeuka kagame ambao kagame anawawinda huko nje ya nchi.

pia, jua kuanzia leo, pasingekuwepo na genocide kama kagame asingeleta fujo, this is not a justification lakini ukweli ni huo. Kagame alikuwa anakuja usiku kupiga Rwanda akitokea Uganda na walijiita jina la INYENZI ikimaanisha mende, kwamba kama vile mende wanavyotokaga usiku na wao wanakuja mkilala wanavamia vijiji wanauwa kama vile waasi wa congo wanavyofanay kwenye vijiji vya congo, then wanasepa upande wa Uganda, rais wa Rwanda hakuwa na uwezo kuingia vitani na Uganda hivyo akawa mpole tu.

sasa siku ndege ile iliyokuwa inatoka ARusha ilipotunguliwa, ndipo watu wakajua kuwa wale wanaokujaga kutuua usiku wanakuja kuteka nchi, ndipo wakaanzisha ile genocide kwamba hata watusi walioko hapa ni maadui. ni kitu kigumu sana kwa mtu aliyekuwa jirani kwenda kumuua, ilifikia kwenye hatua ya chuki ya aina hiyo kutokana na matendo ya kagame. na kama asingetungua ile ndege wala wasingeuana, ndio maana hadi kesho ufaransa anaamini kagame anatakiwa ashitakiwe.

ninyi watoto wadogo wa siku hizi mnarukaruka tu kuongea msiyoyajua, ila huu ndio ukweli halisi.
 
Mfaransa hakuwasaidia intarahamwe, yeye alikuwa bega kwa bega na serikali iliyokuwa madarakani ,
Mfaransa hakutaka RPF Inkotanyi ichukukue Nchi lakini Vijana wa Kagame waliendelea kutoa Dozi hadi Gitarama na kuwafurusha Interahamwe na wakaingia Kongo DRC sasa Vita imehamia huko.

Nyingine Porojo.
 
Wanachezea kichapo balaa tayari SANDF wawili wametangulizwa kwa baba mbinguni.
kwamba unafurahia M23 kuuwa wanajeshi wa munusco? unafikiri Rwanda ina uwezo wowote kupigana kama mnavyoaminishwa na Kagame? vita ni uchumi,na Rwanda uchumi wake upo chini sana kuweza kupigana, ndio maana hata kipindi kile jakaya amewabip, kagame alifyata mkia kabisa. operation kimbunga ililenga kagame ajibu chochote. kagame amerisk sana, ametoa jasho sana kujenga kigali (na sio kujenga rwanda kwasababu maeneo mengine yote ni masikini na machafu, ni kigali tu pale mji mdogo kabisa wameusafisha na kusema maendeleo),

anachotakiwa kufanya kagame, aepukane na kos akubwa Habyalimana alilifanya kuwatenga wakimbizi wa kitusi, angejenga umoja wa kitaifa awaite wanyarwanda wote duniani wa kabila zote warudi, hao hata wasiporudi leo kuna siku watarudi tu, aangalie future ya Rwanda, yeye ameshazeeka hapo hana miaka 10 tena hasa kwa afya yake inayojulikana kuwa ina shida kidogo. alitakiwa kuweka mazingira ambayo hata akidondoka leo anaowaacha hawatarudi kwenye vita.

yeye anajua uchungu wa kubaguliwa, ila anabagua wenzake, yeye ameuwa wahutu wengi sana ila hataki kusamehe waliouwa. right after taking over Kigali, Kagame waliuwa wahutu karibia 50,000 wengine aliwafuata kwenye makambi ukimbizini Congo akawauwa huko. alikuwa selective ndio maana watu wanasema hiyo nayo ni genocide alifanya. FDLR kuna siku watarudi, watajiunga na watusi waliofukuzwa na kagame wataunda jeshi na kurudi kama yeye alivyokaa miaka 30 nje ya rwanda na kurudi kwa mtutu, kuna faida gani sasa? badala ya kukanyagia hapohapo alipo kujenga uchumi, inawezekana kabisa uchumi wote huo ukaja kuporomoka kwasababu ya vita ambayo yeye amepika bomu. mwenye akili ameshanielewa.
 
Back
Top Bottom