Habari wana-JF?,ni kijana wa kiume na nimegraduate bachelor of accountancy mwaka jana,nimekuwa nikihangaika kutafuta kazi bila mafanikio hvyo pls kwa yeyote mwenye information za kazi naomba 2peane taarifa.
Asante sana mkuu lkn cjajua hao GGM ni akina nani?,kama vp naweza pata link yao?. Be blecd sana
Asante sana mkuu lkn cjajua hao GGM ni akina nani?,kama vp naweza pata link yao?. Be blecd sana
Asante sana kwa ushauri wako,nitajirekebisha. Ubarikiwe kwa ushauri wako na nimefurahi sana kurekebishwa