Kilahunja
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 1,502
- 341
B.A with education
nenda kafundishe yan najuta bora ata ningesomaga ualim cz izi fani nyngne ful msoto.
B.A with education
B.A with education
B.A with education
nenda kafundishe yan najuta bora ata ningesomaga ualim cz izi fani nyngne ful msoto.
Mwezi wa tisa
sasa kwa wale tulioko arusha inakuaje maana nina hamu ya kupiga kwata kinomaaaaaaaaaa
nafahamu kama naweza kwenda kufundsha ila swali langu la msingi ni lini hizo nafasi zinatoka? Kama hujui ni vema ukanyamaza kimya.
nashndwa kukuelewa kwanin unakua na hasira na kuni insult embu pitia coment zangu kama kuna hata moja nlokupis off..ways am apologzin 4 my contribution fanya kama hukuziona.
very very sorry mkuu, nimejichanganya mwenyewe. Naomba nisamehe nimeshafuta hzo post nilizoku'insult peace nad love pa1 kaka
Naombeni tujuzane kwa hilo hapo juu
usijali, by da way am nt a boy..
Mchakato wa kwenda kadeti ni mgumu,usaili wa wanajeshi kwenda kadeti bado haujaisha ukiisha huo ndo watatoka nje lakini nawakumbusha wale waliokuwa na MENO nusu hawatapata nafasi...kwani hata hao WA NDANI kikao kilikaa kuwajadiri ila walisamehewa.....
UHAKIKA NI MWEZI WA TISA VUTENI SUBIRA
JWT-JESHI LA WAKURYA TANZANIA
V-VUMILIA
V-VUMBI
V-VIZURI
HAPO NDO UNA V 3
and who you are?
Mchakato wa kwenda kadeti ni mgumu,usaili wa wanajeshi kwenda kadeti bado haujaisha ukiisha huo ndo watatoka nje lakini nawakumbusha wale waliokuwa na MENO nusu hawatapata nafasi...kwani hata hao WA NDANI kikao kilikaa kuwajadiri ila walisamehewa.....
UHAKIKA NI MWEZI WA TISA VUTENI SUBIRA
JWT-JESHI LA WAKURYA TANZANIA
V-VUMILIA
V-VUMBI
V-VIZURI
HAPO NDO UNA V 3
Kuna wanajeshi ngazi ya diploma.waliajiriwa elfu 2 na 10 kwenda 11,walikuwa hawajaenda Kadet pamoja na wale waliojiendleza,usaili wao ndo unaendelea mpaka sasa.Mie bado sijaelewa, hao wa ndani una maana ni wale ambao tayari wapo jwtz au jkt?
meno nusu unamanisha yamevunjika au? Mana mi yote mazima bt bado magego 3 yatimie 32.
Zikitoka ni kwa ajili ya watu wenye shahada za science kama MD,engineering,agriculture,quantity surveying,computer science etc.we kama ulikua ngwini sahau.over