Kawambwa awapigilia msumari walokosa mikopo mwaka huu.

Perry

JF-Expert Member
Feb 24, 2011
10,043
2,000
Katika hali isiyo ya kawaida waziri wa jk anae shughulikia wizara nyeti ya elimu,amesema serikali haina pesa tena za kuwafadhil wanafunzi walokosa mikopo hvo wazazi watafute namna nyingine,ameyasema hayo katka kipindi cha dakika 45 kinachorushwa na Itv kila siku ya jtatu.swali,kuna haja gani ya kutumia mabilion ya shilingi ktk maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru wkt kuna watu wamekosa ufadhili vyuon?
 
Dahh hii nchi cjui inaelekea wapi,viongozi wanajinufaisha wenyewe 2 huku vitu vya maana wanaviweka pembeni
 
mbona hela za kufanya vitu vingine zipo, hii serikali isiyotaka kuinvest kwenye elimu ni serikali mbumbumbu sana.

Itatugharimu sana baadaye
 
Bora kutokuwa na Serikali kama ilivyo Somalia kuliko kuwa na Serikali legelege isiyokuwa na mipango ya maana pamoja na vipaumbele kwa mustakabali wa watu wake.
 
Katika hali isiyo ya kawaida waziri wa jk anae shughulikia wizara nyeti ya elimu,amesema serikali haina pesa tena za kuwafadhil wanafunzi walokosa mikopo hvo wazazi watafute namna nyingine,ameyasema hayo katka kipindi cha dakika 45 kinachorushwa na Itv kila siku ya jtatu.swali,kuna haja gani ya kutumia mabilion ya shilingi ktk maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru wkt kuna watu wamekosa ufadhili vyuon?

Hili mbona linajulikana serikali imefilisika na haina pesa kwenye kihenge chake, mpaka leo hatujalipwa mishahara
Sijui wenzetu mapolisi na wanajeshi kama wamelipwa
 
Hili mbona linajulikana serikali imefilisika na haina pesa kwenye kihenge chake, mpaka leo hatujalipwa mishahara
Sijui wenzetu mapolisi na wanajeshi kama wamelipwa

du hata sisi bado na hakuna taarifa, hata kazi zimekuwa chungu
 
Kabisa Mkuu yani hii Serikali sijui inatupeleka wapi kwa kweli, hela za kusafirishia wafanya biashara kuzunguka na JK nje ya nchi wanazo ila kwa wanyonge wenyekupenda elimu hawana inauma kwa kweli, ila waelewe fredom is coming very very soon!!

Bora kutokuwa na Serikali kama ilivyo Somalia kuliko kuwa na Serikali legelege isiyokuwa na mipango ya maana pamoja na vipaumbele kwa mustakabali wa watu wake.
 
Serikali kupeleka mil 400> kuadhimisha miaka 50 hawaoni shida......mjini shule!
 
Kabisa Mkuu yani hii Serikali sijui inatupeleka wapi kwa kweli, hela za kusafirishia wafanya biashara kuzunguka na JK nje ya nchi wanazo ila kwa wanyonge wenyekupenda elimu hawana inauma kwa kweli, ila waelewe fredom is coming very very soon!!

halafu wanatafuta mchawi kwa nini vijana hawaipendi ccm. WANAKATA TAWI WALILOLIKALIA, wataanguka punde
 
mbona hela za kufanya vitu vingine zipo, hii serikali isiyotaka kuinvest kwenye elimu ni serikali mbumbumbu sana.

Itatugharimu sana baadaye

Uzuri walio kosa wengi ni watoto wa wenye nazo wamesoma Academic na Mast. watoto wa Kantalamba huko wamepewa mikopo tena minene hongera sana kwa kuwakumbuka watoto wa wakulima serikali kazeni uzi hivyo hivyo mpaka kuwe na usawa nchi hii. Mzazi anamlipia mtoto ada milioni 2.3 atashindwaje kulipa ada ya chuo milioni 1.2? Safi sana
 
Hujielewi..kungekuwa na limit humu jf kuhusu watu kama nyingi mnaofikiri na ma**ko
 
Katika hali isiyo ya kawaida waziri wa jk anae shughulikia wizara nyeti ya elimu,amesema serikali haina pesa tena za kuwafadhil wanafunzi walokosa mikopo hvo wazazi watafute namna nyingine,ameyasema hayo katka kipindi cha dakika 45 kinachorushwa na Itv kila siku ya jtatu.swali,kuna haja gani ya kutumia mabilion ya shilingi ktk maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru wkt kuna watu wamekosa ufadhili vyuon?
Katika sherehe ya miaka 50 hii kitu itagawiwa nchi nzima:View attachment 40389
 
Hebu na mbie mke wa riz1 naye katoka kantalamba mmh? Hiv huyu naye n mtoto wa mkulima. Mtoto wa pinda yuko udom tena kadisco na mkopo ful naye ni mtoto wa mkulima au askari magereza mmmh???
Uzuri walio kosa wengi ni watoto wa wenye nazo wamesoma Academic na Mast. watoto wa Kantalamba huko wamepewa mikopo tena minene hongera sana kwa kuwakumbuka watoto wa wakulima serikali kazeni uzi hivyo hivyo mpaka kuwe na usawa nchi hii. Mzazi anamlipia mtoto ada milioni 2.3 atashindwaje kulipa ada ya chuo milioni 1.2? Safi sana
 
Uzuri walio kosa wengi ni watoto wa wenye nazo wamesoma Academic na Mast. watoto wa Kantalamba huko wamepewa mikopo tena minene hongera sana kwa kuwakumbuka watoto wa wakulima serikali kazeni uzi hivyo hivyo mpaka kuwe na usawa nchi hii. Mzazi anamlipia mtoto ada milioni 2.3 atashindwaje kulipa ada ya chuo milioni 1.2? Safi sana

majitu kama haya cjui yanatokeaga wapi hapa jf?
 
Back
Top Bottom