Alitiaje hiyo mimba? Au alipewa uroda kwa hiari kabisa na wote kwa pamoja wakastarehe kwa raha zao?
Anasomesha watoto wa shule bureeee ni sio wazazi jaman la sivyo hata mama angu atarudi
Haelew, labdaataelewa baadaeTatizo ni kisomeshwa au sehemu za kusomea?
Rais amekataa.Full stop.He is the boss.Hao walionunuliwa kwa bei poa hawatusumbui.SERIKALI.....
SERIKALI I
"Serikali imeweka dira itakayowawezesha wasichana kuendelea na masomo baada ya kujifungua huku wale waliowapa mimba, wakishughulikiwa kikamilifu." Paulina Mkonongo, Mkurugenzi wa Elimu ya Sekondari, Wizara ya Elimu - 01 Disemba 2015.
_______________________________
SERIKALI II
"Serikali imeamua kuwa wanafunzi wa kike wanaopata mimba wakiwa shuleni wasifukuzwe, bali waendelee na masomo." Ummy Mwalimu, Waziri wa Afya, akiwa Chuo kikuu kishiriki cha UDSM cha Elimu (DUCE), 27 Aprili 2017.
________________________________
SERIKALI III
"Serikali inaelekeza Wasichana wanaojifungua warudi na kuendelea na masomo shuleni." Makamu wa Rais, Mama Samia Suluhu Hassan (06 June 2017- Gazeti la The Citzen).
________________________________
SERIKALI IV
"Katika kipindi changu cha utawala, mwanafunzi yeyote wa kike (shule ya msingi na sekondari) akipata mimba ni marufuku kurudi shuleni. Siwezi fanya kazi ya kusomesha wazazi." Rais John Pombe Magufuli, 22 Juni 2017, Bagamoyo - Pwani.
________________________________
Magufuli yupo sahihi hii pia itasaidia kujenga nidhamu ya wanafunzi na kupunguza ngono zembe na kubwa zaidi itaondoa upendeleo kama wanamfunga mwanaume (let's say school boy) Miaka 30 kwa kumpa mimba mwanafunzi (mwenzie) ili iwe fundisho kwa mamii,je adhabu kwa mwanafunzi wa kike ni ipi sasa!?
Tatizo unaongea kwa hisiiiiia halafu hakuna hoja ya msingi.....Kama mtoto ameamua kudanganyika na huyo mfadhili or anyone else, akubali pia kubeba results za hiyo choice yake...Mbona simple tu...Hakuna mtu anayetaka mtoto wake apate mimba. Shida yetu ni kuwa tumezaliwa mjini na hatuelewi chochote juu ya maisha ya wenzetu huko mashambani. Tunapoangalia tamthilia za ndani na nje, tuyaangalie yaliyomo kama somo na sio kushabikia sehemu za mapenzi tu tukaacha mafunzo.
Asilimia kubwa ya watoto wanaopata mimba wakiwa shule ya msingi, ni aidha YATIMA au, wanalelewa na mzazi mmoja...in most cases, mama. Baba amefariki, mama dhohofu wa hali na maisha inabidi yaendelee. Anatokeza anayejiita mfadhili, anasaidia familia ya mama mjane, lakini mwisho wa siku anampa mimba mtoto wa hiyo nyumba.
Wababa na wamama wenye mihemko, hapa namzungumzia MTOTO ambaye uelewa wake ni mdogo...mbona tunamtwisha lawama nzito kuliko uwezo wake? Nyie wanaume msiyo na haya, mara ngapi mmemtongoza mwalimu wa sekondari na mkafanikiwa? Kama mtu mzima na ndoa yake anadanganywa na mwanaume, hukumu hizi dhidi ya watoto wasiojiweza hata kujinunulia pedi zinazingatia mazingira yao?
Tutafakari tukizingatia tunazungumzia watoto wa Taifa zima na sio wa Dar na Arusha wanaojua simu na TV. Tunahukumu lakini hata siku moja hatujawahi kuwajali hawa watoto wala kuwasaidia lolote. Tusijawe ubinafsi tukajisahau. Siku moja utakufa na wanaume hawa hawa wakware watampa mimba binti yako wamfanye tambala la deki. Dunia ni kubwa na ina mengi. Tutubu na kumuomba Mungu atuepushe na tusiyoyamudu.
Huyu baba Jesica aache hizo!! Mbona serikali hii hii inatoa matibabu bure kwa waliopata ukimwi!! Sasa inashindwaje kutoa elimu bure kwa wanafunzi waliopata mimba?!
Nashukuru kwa dua yako....Sadly siwezi kumuombea dua mama yako aache uchangudoa...Aendelee tu lakini hao dada zako mliotiana mimba kawatafutie shule itakayoruhusu ufedhuli wenuNingeweza kusema baba yako kapata hasara kwa kushindwa kutimiza majukumu yake ya kuhakikisha unapata elimu nzuri iingie ndani ya ubongo wako na kukupa uwezo wa kufikiri kwa kina au niafadhali (baba yako) angefuga njiwa ili ale nyama baade kuliko kuwa na mtoto kama wewe lakini nitakuwa namkosea sana kumlaumu yeye kwa matendo yako ya kipumbavu.
Kwa kuwa elimu imeshindwa kufanya kazi kwako kilichobaki nitakuombea kwa Mungu na tusubiri miujiza tu sababu kichwani hakiko sawa kina mapungufu makubwa. Pia kwa akili hizi inaonyesha nchi hii inashida kubwa sana sababu haziendani kabisa na sera ya viwanda ya sasa/kilimo kwanza.
Like tangazo la mtoto w shule aliebakwa akapata mimba halafu akarudishwa shule na baba yake ndo basi tena
Inatokea aliyempa mimba mwanafunzi anafungwa, mwanafunzi mwenyewe kazuiliwa kuendelea na masomo.Kwanza hili suala la kutia mimba wanafunzi, yule aliyetia mimba mwanafunzi hafungwi?
Sio umepinga tu bali umepotosha.Nimepinga nini?
Hahahahaaa!Jamaa unampenda Lowassa balaa!Na Lowasa ata-go hata kabla ya kuwa rais.
Lengo la uzi huu siyo kutetea jambo hilo bali i kuonyesha jinsi serikali ilivyokuwa disorganized, complete disarray...Mnatumia nguvu kubwa sana kutetea hili jambo.....As if mwanafunzi kuacha ngono ni jambo lisilo epukika.....Nguvu hizi zitumieni kuwahamasisha watoto wenu na dada zenu wasijihusishe na ngono hali ni wanafunzi
Nilivyomuelewa mie Raisi hajawazuia kusoma wanaweza kuendelea kusoma nje ya mfumo anaousimamia yeye kwa sasa (elimu bure) kwingine wanaruhusiwa kuendelea na masomo, na hili halijaanza Leo toka zama zetu ilikua hivyoHili sio suruhisho, na wala halitapunguza watoto kupata mimba. Watoto wanapata mimba kwa sababu mbali mbali. Wengi wana toka kwenye familia masikini, wengi wanapata kwa kubakwa, na wengine hata na baba zao, wajomba zao, kaka zao na hata waalimu. Ni Tanzania tu haithamini shida za watoto wao, kwa kuwa wazazi wengi hatujasoma. Mzazi aliyesoma atajuwa faida ya elimu na atamuongoza mtoto wake. Mzazi asiyekuwa na elimu mtoto wake pia ataelekea kwenye maisha hayo hayo. Matamko ya Rais si kwa faida ya Tanzania, ni ya ubinafsi wa fikra na kudhohofisha elimu Tanzania. Hawa watoto wakiendelea na elimu kutapunguza ujauzito wa utotoni baadaye, kuwazuwia wasiendelee na elimu ni kufanya maisha yao na ya watoto wao, baadaye yawe duni, hawa watoto watafuata nyao za wazazi wao kwa kutokuwa na elimu. Rais magufuli anajenga taifa la umasikini na lisilokuwa na elimu, kwani watoto hawa wanaopata ujuzito ni wengi sana. Pia Kauli yake ni kuvunja sheria ya haki za watoto hawa duniani. Kwa hili amechukiza watu wengi.
Tatizo unaongea kwa hisiiiiia halafu hakuna hoja ya msingi.....Kama mtoto ameamua kudanganyika na huyo mfadhili or anyone else, akubali pia kubeba results za hiyo choice yake...Mbona simple tu...
Kama maisha magumu na njia pekee ni kujiuza uwasaidie wazazi sawa...But shule ndo usahau tena