Kauli za viongozi mbalimbali kuhusu mwanafunzi atakayepata mimba

Ndio nasema ni factors kibao zinachangia ssa kwa kuwa tu hakuna namna ndio unasema amepanga?????

Be cosniderate hakuna anayetaka kupigwa mimba ule umri au kuanza kuchezewa shida ni mazingira ya maisha kijijini serikali ikisolve changamoto mfano shule za bweni unafkiri mimba hazitokuwa controlled??
Kwa hiyo turuhusu mimba mpaka tutakapo tatua changamoto za maisha kama kujenga mabweni ya wanafunzi?? Mmmmhh yaani mkuu wewe bado sana utaelewa ukikuwa kidogo!!
 
Darasani:
Mwalimu anasema "Mama Jenifa tupe mthali unayoifahamu" halafu binti Sauda ataelezea inamaanisha nini.

Baadae Mama Jenifa anaomba Mwalimu ruksa ya kuondoka kwani mwanae ana malaria huku Sauda nae anaomba kuondoka kwani amepata hedhi ghafla.
Nchi yetu hii bwana ssa kuomba kwenda hospitali ni mpaka uwe na mtoto au mjamzito??? Malaria anapata mtoto wa mwanafunzi pekee hta mwalimu hapati??? Mbona mnaangalia upande mmoja hamuangalii faida za muda mrefu kma kupunguza ujinga,umaskini n.k???
 
Kwa hiyo turuhusu mimba mpaka tutakapo tatua changamoto za maisha kama kujenga mabweni ya wanafunzi?? Mmmmhh yaani mkuu wewe bado sana utaelewa ukikuwa kidogo!!
Yeah waweza nikashifu sijui kitu its ok sio lazima tuwaze sawa ila hoja yangu ni kwamba kuwepo na adhabu alternative labda fine/au kifungo cha kusoma kwa miaka labda miwili then aruhusiwe kuendelea na masomo ssa kma changamoto zipo kila cku hamzishughulikii mnataka wakipata mimba ndio mnalaumu inaingia akilini kweli

Nkuulize mkuu una watoto huwapi pocket money then wakianza wizi ukiwachapa itasaidia??? Hapa sitetei wanaopata mimba ila najaribu kuwaza suluhisho la kudumu la changamoto ya kukosa elimu kisa mimba
 
mimba haitolewi hadharani ni kimya kimya tu hawatakuja kukutangazia lakin automatic namba ya wanafunzi wanaotoa mimba itaongezeka mkuu ili aendelee na shule kwa amani kwa hiyo hamna la maana utakalokua umefanya
That was then and this is now. Sasa hivi tuna kiongozi (Mhe.Magufuli) ambaye hana masihara.Zile Kliniki za watoaji mimba ziendelee kutoa mimba kwa hizo siri unazozisema.Wapelekee salaam zao.Tunataka mabinti zetu wasipite njia hiyo,wakue kwa maadili.Naongea kama mzazi anayeguswa na tatizo la watoto wa shule kupata mimba mashuleni kwa hiyo usinielewe vibaya.Mm niko upande wa Mhe.Rais kwa hili
 
Nchi yetu hii bwana ssa kuomba kwenda hospitali ni mpaka uwe na mtoto au mjamzito??? Malaria anapata mtoto wa mwanafunzi pekee hta mwalimu hapati??? Mbona mnaangalia upande mmoja hamuangalii faida za muda mrefu kma kupunguza ujinga,umaskini n.k???

La maana labda wajengewe shule zao maalumu na elimu yao isimamiwe na wizara tofauti labda ya Wazazi au Mama na Mtoto na watafute vyanzo vyao vya pesa nje ya serikali. Pesa ya mlipa kodi isitumike.
 
Unayaandikia humu na kwa kuniquote kunieleza hayo iki iweje sasa!!!

Si mna wabunge wa upinzani wengi mnasifiana kwenye udaku na hoja sizijo na vichwa vingi basi tu kutafuta kiki ambazo hamna jipya mnapurupukika kila siku inayofata. Kwanini hawasombi data za hayo na kwenda kuyaongelea bungeni na kuyapigia keleleeeee, na kuacha kudakia kila ya mafisadi na huhujumu nchi huku mnajua kuna ya muhimu ya kusaidia kupambania wananchi na kuwapa cheche serikali watende yao!?

Ila hayo ya kuishi mbali haitoi ruksa kusema wakatende hayo ya kupata mimba.
Hayo ya upinzani walishaongelea suala hili tokea enzi za kina regia mtema so sio jambo geni suala hili kujadiliwa bungeni na upinzani kwahyi hapo umepotosha ni vzuri uwe una tafiti kabla ya kuchangia hoja

Pili nmekuquote maana nmeshangaa mwanamke na wwe unaunga mkono haki ya kusoma inaporwa kutoka kwa wanawake wenzio kwa kigezo cha mimba kwahyo mimba moja ndio ituzalishie dropouts 10,000 kila mwaka hivyo miaka 10 tutakuwa na iliterates 100,000??? Kwenye mimba tu???hivi tunalipeleka wapi taifa

Hoja yangu hapa ni kwamba adhabu ibadilishwe iwepo alternative labda kutokuajiriwa serikalini milele au kufungiwa kusoma kwa miaka hata mitatu yaani akishajuta kma kweli mnadai wanataka wenyewe arudishwe shule muhim ni faida za muda mrefu ndio nazungumzia mmi maana akishabaki nyumbani huoni yye na mtoto wake wataishia kuwa dependants hivyo tunaongeza ujinga na umaskini tanzania

Hoja hapa ni kwamba sambamba na adhaby basi iwep mpango wa kutibu changamoto zilizopo kijijini mfano wajengeko boarding mbili tatu na kuongeza maslahi ya walimu hapo ndio naona akizembea mtu atakuwa ametaka mwenyewe ila hii kutimua kisa mimba naona inamadhara ya muda mrefu kuliko faida

TUTIBU CHANGAMOTO NDIO ADHABU ZIFUATE
 
Akimwakilisha Makamu wa Rais, Mhe. Samia Suluhu kwenye ufunguzi wa mkutano wa kwanza wa maswala ya kijinsia ulioandaliwa na Chuo Cha Ualimu (DUCE), WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia ,Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu alisema,

“Tunapokataza watoto wa kike wasiendelee na masomo pindi wanapopata ujauzito wakiwa mashuleni tunawaadhibu watoto wa masikini washindwe kutimiza malengo yao kwa wakati waliotarajia”

Jana Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. John Pombe Magufuli kasema, kwenye utawala wake hakuna mwanafunzi kuanzia darasa la kwanza hadi sekondari atakayepata mimba au mtoto atakayerudi darasani.

Hizi lugha tofauti sisi wananchi zinatuchanganya, najiuliza hivi huu utawala viongozi wake huwa hawawasiliani kabla ya kwenda public kwa maswala yanayofanana?

Ushauri tafadhali.
Hata kwenu kaka ako anaweza kukwambia washeni mshumaa/kibatari tuingie ndan.....baba akifika akakwambia kokeni moto nje hii mishumaa/vibatari vinaunguza nyumba sana....

Alichosema baba ndo kauli ya familia...waziri alitoa maoni yake kikatiba lkn baba kasema tofauti....Je hapo amri ni ipi??? Jibu "Amri ni kauli ya raisi" hakna cha ajabu hapo!.
 
Wataalamu wa kutoa mimba kwa bisibisi wataongeza sana awamu hii. Maana ili mtoto aendelee na masomo lazima wakakiue kile kiumbe kilichoanza maisha ya kule tumboni.

Ila JPM alisema jana kale kamchezo katamu kila mtu anakapenda kwa nini sasa anawazuia watoto wasipakuane. Maana wakiwa kwenye ziel age za 16 to 20 hapa huwa wanahaha sana hawa watoto punyeto ndio zinaanzia hapa na usagaji pia.

Nahisi watoto wa kiume wao sio victims wa hizi kauli za mkuu ingekuwa inawahusu naamani sabuni zingeisha haraka sana mabafuni kwetu kuliko kawaida.
 
That was then and this is now. Sasa hivi tuna kiongozi (Mhe.Magufuli) ambaye hana masihara.Zile Kliniki za watoaji mimba ziendelee kutoa mimba kwa hizo siri unazozisema.Wapelekee salaam zao.Tunataka mabinti zetu wasipite njia hiyo,wakue kwa maadili.Naongea kama mzazi anayeguswa na tatizo la watoto wa shule kupata mimba mashuleni kwa hiyo usinielewe vibaya.Mm niko upande wa Mhe.Rais kwa hili

Kama sio mimba ungezaliwa?Mbona mnaona mwanamke kupata mimba kama ni kitu cha hatari sana kiukweli bado population yetu iko chini sana acha watu wazaane
 
Mnatumia nguvu kubwa sana kutetea hili jambo.....As if mwanafunzi kuacha ngono ni jambo lisilo epukika.....Nguvu hizi zitumieni kuwahamasisha watoto wenu na dada zenu wasijihusishe na ngono hali ni wanafunzi
Unategemea 100% litatekelezeka?Hamasisha basi watu wasitende uhalifu ili tusiwe na magereza!
 
Back
Top Bottom