zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 19,247
- 29,082
Dah ila nchi yetu hii bwana ssa chuoni ndio hasomi ama??? Na je akianza kutumia condom au akitoa mimba si ataendelea kusoma huku akiwa mzinzi au shida yenu mnaona tabia inaporomoka akiwa na mtoto pekee??? Ssa kma kila mwaka mamia wanaacha shule kutokana na janga hili ambalo linachangiwa na umbali wa mashule yenyewe na usafiri duni vijijini ssa kivp mimba muwaadhibu huku changamoto hamjazisolve????In the bottom line, Rais ndio ana kauli ya mwisho! A student choose between the two, raising family or raising her brains...
The luxury to have kids and studies altogether is reserved only for college students as well as University students...
Serikali ya ajabu sana hii na nyie wachangiaji nawashangaa sana