IPECACUANHA
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 3,216
- 1,906
Lack of inteligence, human psychology and wisdom
weka ushahidi mkuuAnalipia madeni ya nje. Analipa bil 950 kwa mwezi
Bendera ya Japan ni kitambaa cheupe tu na kidoa chekundu katikatiMkuu bendera ya Japan ikoje?
Albadili inafanya kaziJana tulimsikia Rais wetu akieleza mambo mbali mbali katika nchi. Hata hivyo kupitia hutuba yake hiyo, kama kawaida imeleta maswali mengi kuliko majibu.
Suala la nyongeza ya mishahara kwa watumishi wa umma
Rais wetu baada ya miaka miwili bila nyongeza anakuja kusema kuwa hataongeza mpaka kuongezeke uzalishaji jana tarehe 3 oktoba, 2017. watu wanauliza ni uzalishaji upi huo? jee alikusudia kila mfanyakazi azalishe ndio aongezwe mshahara au alikusudia uzalishaji wa mapato kitaifa? Kwa nini iwe baada ya karibu miaka miwili? Jee sheria na miongozo ya kiutumishi inakubaliamna na alichokisema?
Mwanzoni serikali ilisema kuwa inahakiki watumishi hewa na kumekuwa na danadana nyingi. Kujichanganya huku ni kwa sababu gani lazima kuna tatizo mahali.
Suala la vyeti feki na Makonda.
Hapa napo kauli zimejichanganya, tumeshangaa kusema wanaolalamika leo mitandaoni ni wale waliofukuzwa kazi kwa vyeti feki lakini hapo hapo akamsifu makonda anayetuhumiwa kuwa na vyeti feki na majina feki. alienda mbali eti hata kama asingejuwa kusoma ilimradi amedili na madawa ya kulevya ingetosha. Hapa kuna undumi la kuwili. Kwani hao waliokuwa na vyeti feki hawakufanya wajibu wao vizuri? Iweje Makonda pekee apewe kinga hizi ?
Watu wanashindwa kujuwa Rais anasimamia nini vyeti feki au kulinda maswahiba ? Katika hali hii lazima kuna tatizo.
Mwisho.
Sisi wengine tunaamini kuwa taasisi ya urais ni nyeti sana, maneno huumba na huumbuwa. Tulitamani rais wetu awe mfano kwa kila jambo. Kwenye haya mambo walau mawili rais wetu anajichanganya sana. Tunahitaji atuoneshe njia badala ya kutupoteza. Naamini kwa kauli za jana zitashusha morali ya kazi kwa wafanyakazi maana kulikosekana walau lugha ya matumaini. Uzalishaji upi unawahusu watoa huduma kwenye ofisi za umma? Jee mpaka lini na kwa kipimo kipi kitawahusu hawa wafanyakazi?
Tunakuomba rais wetu utuoneshe njia.
Kishada.
Kamera zinamulika acha kushangilia utumbuliweNa kuna watu walikuwa wanashangilia mfano aliuliza kwani nyinyi wenyeviti mmesoma?watu wakashangilia,siongezi mishahara!! Watu wakashangilia watanzania bwana tunafurahisha sana
Exactly... many of them (like him) they think poverty is badge of honour.... they embrace poverty as a good thing... kauli ya zitto inamata sana...Poverty mentality
Ndugu zetu 12000 hakukuwa na wazalishaji na wazalendo?Nafikiri hakujichanganya bali alikuwa anajaribu kuweka taswira halisi ya KIUCHUMI kabla ya kuongeza chochote.
Kuhusu RC. Makonda nafikiri kwa kifupi alikuwa akisema anapenda mtu AFANYAYE kazi.
Na hivyo kusema kuwa MASOMO mengi bila UZALISHAJI basi ni heri ASIYESOMA sana na anaweza kutoa MATOKEO. Kuliko kigezo cha elimu.
Mkuu bendera ya Japan ikoje?
No Poverty Alleviation with This GovernmentMagu hajui anataka nini hajui anasimamia nini hajui anataka kufika wapi.
hamna jambo hatari kiuchumi kuwa na rais aina ya magufuli.
umaskini kupungua Tanzania ni ngumu kwaaina ya viongozi kama magufuli.
Ngoja ukamatwe!!! Unapiga mavituz saa za kazi...Muhudumu ongeza glasi
Mie nahisi JPM amedhamiria kuongoza kwa kipindi kimoja hataki tena kuendelea baada ya 2020!!!!Pengine hata wao wanashangaaga kama watu wa kawaida tu!