OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,525
Asante sana Mkuu. Natumaini wale wazandiki wameelewa. Badala ya hoja wanaleta vitimbi. Msimamo wangu ni kwamba Nyalandu kaongea kama waziri anayeshughulika na utalii tatizo liko wapi? Au mlitaka atoe hadi ahadi ya kuchimba makaburi ndio muone ana "utu". Tuache unafiki wajameni.
This is a serious reductionism...................yaaani waziri awe kama nyundo?????? Kugonga na kutoa misumari tuuuuuu?????? .........eti ana wajibika kwa masuala ya utalii............mbona haishi huko kwenye vivutio kama mkereketwa????
Really waziri wa utalii aongelee utalii wakati wa msiba wa kitaifa???? If so....then boss wake ni mvivu au ana busara kwa status quo????
This ferry/ship wreck is a cross-cross cutting matter with a heavy weight and implications on Human dignity... i think the most important was to send condolecence without naming the so called.......tourists whatsoever......for whose interest was this word worthy-important to mention??????