Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,064
- 7,196
Nasema ata sisi tunarudisha BUHAYA EMPIRE! Tumechoka kunyonywa..
Heri ukimwi kuliko NAPE.
japo mi mzenji lakini nasikia nina asili ya kina kinjeketile,nautaka utawala wetu.Nasema ata sisi tunarudisha BUHAYA EMPIRE! Tumechoka kunyonywa..
nape nauye leo katika uhuru fm ametema sumu kali juu ya kauli ya mh. Nassari juu ya arumeru kuwa nchi. Ameihusisha jambo hilo na sera ya majimbo inayoinadi cdm.
Amesema cdm sera ya ukanda imeitafuna na mwisho kudhihirika siku ya mkutano wao uliofanyika nmc kuwa wanataka kuitenga tanzania kwa majimbo hasa kaskazini!!!!
Amekwenda mbali kwa kumponda dr. Slaa kuwa ndiye anayependa sana siasa rahisi yaani cheap politics na wamemzoea lakini si mbowe pale tu aliposema kuna wabunge 70 na mawaziri 7 ambao wapo njiani kuja cdm.
Amesema kuwa angesubiri waje na siyo kukurupuka!!!!!
Mwisho aliitaka cdm kutafuta sera maana inaonekana kufirisika. Akakionya chama cha demokrasia na maendeleo kuacha kukihusisha ccm au serikali na katika mauaji yaliyojiri hivi kabibuni katika chaguzi mbali mbali.
Source uhuru fm.
Mytake:
Kwa sumu aliyotema ile nape kuna haja ya kumjibu maana kakinukisha sana chama.
Nape Nauye leo katika Uhuru FM ametema sumu kali juu ya kauli ya Mh. Nassari juu ya Arumeru kuwa nchi. Ameihusisha jambo hilo na sera ya majimbo inayoinadi CDM.
Amesema CDM sera ya ukanda imeitafuna na mwisho kudhihirika siku ya mkutano wao uliofanyika NMC kuwa wanataka kuitenga Tanzania kwa majimbo hasa Kaskazini!!!!
Amekwenda mbali kwa kumponda Dr. Slaa kuwa ndiye anayependa sana siasa rahisi yaani cheap politics na wamemzoea lakini si Mbowe pale tu aliposema kuna wabunge 70 na mawaziri 7 ambao wapo njiani kuja CDM.
Amesema kuwa angesubiri waje na siyo kukurupuka!!!!!
Mwisho aliitaka CDM kutafuta sera maana inaonekana kufirisika. Akakionya chama cha Demokrasia na Maendeleo kuacha kukihusisha CCM au serikali na katika mauaji yaliyojiri hivi kabibuni katika chaguzi mbali mbali.
Source Uhuru FM.
Mytake:
Kwa sumu aliyotema ile Nape kuna haja ya kumjibu maana kakinukisha sana chama.
KAMA UKUSOMA HAVARD BASI ULIPITIA DISCO YA HAVARD SIO HIVI HIVIhakuna sbabu yyte ya kumjibu. redio yenyewe hiyo aliyotumia inaishia magomeni.
Nape Nauye leo katika Uhuru FM ametema sumu kali juu ya kauli ya Mh. Nassari juu ya Arumeru kuwa nchi. Ameihusisha jambo hilo na sera ya majimbo inayoinadi CDM.
Amesema CDM sera ya ukanda imeitafuna na mwisho kudhihirika siku ya mkutano wao uliofanyika NMC kuwa wanataka kuitenga Tanzania kwa majimbo hasa Kaskazini!!!!
Amekwenda mbali kwa kumponda Dr. Slaa kuwa ndiye anayependa sana siasa rahisi yaani cheap politics na wamemzoea lakini si Mbowe pale tu aliposema kuna wabunge 70 na mawaziri 7 ambao wapo njiani kuja CDM.
Amesema kuwa angesubiri waje na siyo kukurupuka!!!!!
Mwisho aliitaka CDM kutafuta sera maana inaonekana kufirisika. Akakionya chama cha Demokrasia na Maendeleo kuacha kukihusisha CCM au serikali na katika mauaji yaliyojiri hivi kabibuni katika chaguzi mbali mbali.
Source Uhuru FM.
Mytake:
Kwa sumu aliyotema ile Nape kuna haja ya kumjibu maana kakinukisha sana chama.
hivi anaposema cdm imefilisika kisera amepima kweli cdm na CCMagamaba nani aliyefilisika kisera...?
ni nani anayebeba watu na magari kwenda kwny mikutano, pamoja na kulazimisha watu kwenda mikutanoni...?
SIKU ZOTE MTU ALIYENDANI YA BOKSI FIKRA ZAKE HUTEGEMEANA SANA UKUBWA WA BOKSI ALILOMO......!
NA KATI YA NASARI NA RADIO IMANI..NI NANAI ANAYEWAGAWA WATANZANIA WAMEFIKA MPAKA MAHALI WANAWAKASHIFU VIONGOZI WA KITAIFA...MASIKINI PAMOJA NA MWL.NYERERE LAKAINI VYOMBO VYA DOLA VIPO KIMYA...KWA NINI LAKINI..?