Allency
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 13,819
- 13,196
Mama alikosea sana kwa kumleta bashite, muda si mrefu atamtia matatizoni kama alivyofanya kwa JiweUkitaka kujua ukubwa wa tatizo tazama msafara wake ulivyojaa magari ya serekali, kisha anasema anasikiliza na kutatua KERO za wananchi. Cha kushangaza matatizo halisi ya wananchi ni umeme, mfumuko wa bei, huduma mbovu za jamii, na hakuna lolote analotatua, ila anafanya personal attack, na mazingaombwe ya kugawa fedha, huku akimalizia na mikogo ya kupigia simu mawaziri watatue matatizo! Unatatuaje matatizo ya wananchi kwa kufuja fedha zao?