Taifa_Kwanza
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 443
- 86
Tatizo letu ni wabunge mafala.
Kamati ya bomani imependekeza tupate 6% badala ya 4%......bunge likapitisha 5%.
Sasa hapo ndipo wanapokoroifishana na sisi.Tunaka majority ownership...51% and above.
Right, walitafuta average ya 6 na 4 wakapata 5