Lakini sina uhakika kama hawa jamaa wana Mungu.
Mungu hufanya kazi pamoja na wanadamu,hivyo kama viongozi wa chama wana sehemu yao ya kufanya.Tatizo ni chama kutokuwa tayari kuwachukulia hatua wale wote wanaothibitika kuwa wala rushwa.Katika hali inayoonyesha kushindwa kwa Mwenyekiti wa CCM Rais JK, ameamua kumuachia Mungu matatizo yanayoikabili CCM hasa swala la rushwa. Akifungua mkutano mkuu wa UVCCM jana rais kikwete aliwaonya vijana kukataa kutumiwa na kuepuka kuchaguana kwa misingi ya rushwa. Alisema kama na nyinyi mtashindwa 'Mungu ibariki CCM'. Kwamba kama na vijana nao watashindwa kudhibiti rushwa, sasa aachiwe Mungu. Maoni yangu: Nadhani kwa CCM ilipofika JK hawezi kuirudisha kwenye mstari na ni kweli anatakiwa badala ya kufanya ziara nyingi za nje ashinde msikitini amwombe Mungu akinusuru chama hicho kinachokata roho. Pole JK.
Mungu anafanya kazi kwenye uchafu mwingi kiasi hiki? Kweli huyo ni mungu na si Mungu!
Mimi nadhani anachotakiwa kufanya ni kuwavua madaraka wale wote waliochaguliwa kwa kutoa rushwa.Waliotoa rushwa wote wanafahamika,Sofia Simba,Mary Nagu n.k,awalazimishe waachie ngazi na si kulalamika.
JK amekosa moral authority ya kukemea rushwa kwa vitendo kutokana na michakato iliyomweka madarakani. Hivyo basi tuendelee kutarajia mahubiri mengi sana kuhusiana na rushwa kutoka kwake lakini kamwe tusitarajie atachukua hatua yeyote.
usinitukane
pia mimi mbona ni mkristo mwenzio
bwana yesu hajatufunza ivoo..
This is a result of small thinking ability. Great mind talks about strategies, visions ans ideas, simple mind talks about peopleJoin Date : 21st October 2012
Posts : 112
Rep Power : 323
Likes Received 8
Likes Given 8
:blabla::blabla::blabla::blabla::blabla::blabla::blabla:...