KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Katika vitu Nyerere aliweka misingi ya maadili kwa raia wa nchii ilikuwa ni kuogopa vitu vya serikali!!Mfano ilikuwa ukikutwa na vitu hivi gereza utakalopelekwa utajuta mwenyewe kwa nini ulivigusa maana maadili yalikuwepo siyo sasa yamemomonyoka!!:-
- Filimbi ya askari
- Kikombe cha asikari TG
- Chochote kilichokuwa na nembo ya (TG)
- Sindano zakudungia ma Hospitalini
- Dawa za Hospitalini
- Pingu
- Buti ya jeshi
- Sare za asikari
- Bendera ya Taifa
- Kutosimama wakati bendera mbili zikishushwa ya CCM na Taifa
- Kutoshiriki shughuli za ujamaa kama kuanzisha vijiji vipya!
- Kupita kwenye Daraja linalolindwwa na asikari halafu wewe ukageuka nyuma utajuta!!!!
- Kumiliki gobole kinyume cha sheria!!
- Kubishana na serikali
- Kuandamana bila ruhusa
- UVCCM kuwavimbia wakubwa wao utajuta
- Kujifanya mwana harakati!
- Kujifanya wewe asikari kanzu
- Kujitambulisha mimi Usalama wa taifa baa utajuta!
- Kutishia watu unajua mimi nani??