Bornvilla
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 924
- 271
Tumeshuhudia kadhia nyingi sana nchini Tanzania na ulimwenguni kote na sasa nimegundua kitu.
Karibuni tulishuhudia shekhe maarufu Tanzania akiamuliwa kulala chini akiwa na joho lake pamoja na kujitambusha kuwa yeye ni shekhe Nurdin Kishki pia akimtambulisha muft wau Oman. Pamoja na hayo hawakueleweka wakaambiwa kutoka kwenye gari na kulala chini. Hatukusikia makardinali au vyombo vya habari au wanaojiita watetezi wa haki za binadamu kukemea.
Shekhe Ponda kapigwa risasi akapelekwa hospitali akatiwa pingu na mwisho akaishia gerezani mpaka leo kesi haieleweki na watetezi wa haki za binadamu kimya.
Tuliona mpandikizaji wau chuki zikizopelekea mchungji kufa Kule Geita hakukamatwa hadi leo yupo mtaani. Askofu mpemba alitoa CD na kuendesha mahubiri ya chuki na kashfa dhidi ya uislam kwenye radio yake na ikasababisha maafa lakini hakikamatwa wala hadi leo hana kesi mahakamani.Lakini kwa muislam lazima awindwe na kufungwa au kumalizwa kabisa.
Tumeona kila kukicha mashekhe pale nchini Kenya wakipigwa risasi na kuuawa.Hatujasikia haki za binadamu wakilia.
Tumeshuhudia Burma waislam wakiuawa kwa kuchomwa moto. Hakuna jeshi la amani au waislam kupewa ulinzi wasiuawe na hata watetezi wa haki za binadamu hawakushughulishwa na hilo kwa vile ni waislam.
Tumeona waislam wakiuawa Afrika ya kati ufaransa wakaenda wakidai wanalinda amani lakini ndio wanaowabaka wanawake katika makambi. Mbali na hilo hakuna ulinzi kwa vile wanaouawa ni waislam watajiju. Ulimwengu wa haki za binadamu kimyaaa kwakuwa hao ni waislam wanaopigwa.
Sitaki niseme yaliyotokea Bosnia na Chechnia, ila niende Gaza ambayo ni kilio cha kila Siku. Wapalestina kila Siku wanazikana! Vyombo vya habari vyoote vimatazama upande mmoja tu iliko Israel. Mashirika ya binadamu kimyaaa wakati watoto wanauawa, wanawake na watu wasio na hatia.Hapa sisemi mengi kwa vile sote tunaona kinachoendelea Gaza na hakuna msaada kwa wanyonge.
Chakushangaza Iraq ISIS wamekamata eneo la kaskazini waliko wakristo kila kona ya dunia wanaomba wakristo wakalindwe huko. Papa amekuwa wa kwanza kupaza sauti yake na wachambuzi wa mambo wameona ni wakati wa kusema ulinzi na amani Iraq. Ilipovamiwa na marekani ilikuwa sahihi ila leo panahitaji ulinzi ili waislam wasitawale.
Saddam alinyongwa, Gaddafi akaletewa NATO na akauawa.Leo Libya ni vita sijasikia kelele ikipigwa amani ikalindwe kwa vile ni waislam acha wachinjane.
Je,haki za binadamu na amani nikwa wakristo pekee?
Karibuni tulishuhudia shekhe maarufu Tanzania akiamuliwa kulala chini akiwa na joho lake pamoja na kujitambusha kuwa yeye ni shekhe Nurdin Kishki pia akimtambulisha muft wau Oman. Pamoja na hayo hawakueleweka wakaambiwa kutoka kwenye gari na kulala chini. Hatukusikia makardinali au vyombo vya habari au wanaojiita watetezi wa haki za binadamu kukemea.
Shekhe Ponda kapigwa risasi akapelekwa hospitali akatiwa pingu na mwisho akaishia gerezani mpaka leo kesi haieleweki na watetezi wa haki za binadamu kimya.
Tuliona mpandikizaji wau chuki zikizopelekea mchungji kufa Kule Geita hakukamatwa hadi leo yupo mtaani. Askofu mpemba alitoa CD na kuendesha mahubiri ya chuki na kashfa dhidi ya uislam kwenye radio yake na ikasababisha maafa lakini hakikamatwa wala hadi leo hana kesi mahakamani.Lakini kwa muislam lazima awindwe na kufungwa au kumalizwa kabisa.
Tumeona kila kukicha mashekhe pale nchini Kenya wakipigwa risasi na kuuawa.Hatujasikia haki za binadamu wakilia.
Tumeshuhudia Burma waislam wakiuawa kwa kuchomwa moto. Hakuna jeshi la amani au waislam kupewa ulinzi wasiuawe na hata watetezi wa haki za binadamu hawakushughulishwa na hilo kwa vile ni waislam.
Tumeona waislam wakiuawa Afrika ya kati ufaransa wakaenda wakidai wanalinda amani lakini ndio wanaowabaka wanawake katika makambi. Mbali na hilo hakuna ulinzi kwa vile wanaouawa ni waislam watajiju. Ulimwengu wa haki za binadamu kimyaaa kwakuwa hao ni waislam wanaopigwa.
Sitaki niseme yaliyotokea Bosnia na Chechnia, ila niende Gaza ambayo ni kilio cha kila Siku. Wapalestina kila Siku wanazikana! Vyombo vya habari vyoote vimatazama upande mmoja tu iliko Israel. Mashirika ya binadamu kimyaaa wakati watoto wanauawa, wanawake na watu wasio na hatia.Hapa sisemi mengi kwa vile sote tunaona kinachoendelea Gaza na hakuna msaada kwa wanyonge.
Chakushangaza Iraq ISIS wamekamata eneo la kaskazini waliko wakristo kila kona ya dunia wanaomba wakristo wakalindwe huko. Papa amekuwa wa kwanza kupaza sauti yake na wachambuzi wa mambo wameona ni wakati wa kusema ulinzi na amani Iraq. Ilipovamiwa na marekani ilikuwa sahihi ila leo panahitaji ulinzi ili waislam wasitawale.
Saddam alinyongwa, Gaddafi akaletewa NATO na akauawa.Leo Libya ni vita sijasikia kelele ikipigwa amani ikalindwe kwa vile ni waislam acha wachinjane.
Je,haki za binadamu na amani nikwa wakristo pekee?