Suhendra
JF-Expert Member
- Nov 25, 2023
- 1,082
- 2,472
Salamu
Mvua imekuwa kubwa sana katika mji wetu pendwa wa Dar es salaam kuanzia SAA 9 usiku hadi muda huu ambayo imeambatana na radi na upepo mkali,
Katika maeneo ya Ilala kuna nymba imeungua na shoti ya umeme, Ambao ulirudi kwa kasi sana na kusababisha wakazi wa nyumba hiyo kutoka bila nguo.
Tuendelee kuombeana mvua isiwe na madhara.
Mvua imekuwa kubwa sana katika mji wetu pendwa wa Dar es salaam kuanzia SAA 9 usiku hadi muda huu ambayo imeambatana na radi na upepo mkali,
Katika maeneo ya Ilala kuna nymba imeungua na shoti ya umeme, Ambao ulirudi kwa kasi sana na kusababisha wakazi wa nyumba hiyo kutoka bila nguo.
Tuendelee kuombeana mvua isiwe na madhara.