BizNaughty
Member
- May 22, 2012
- 16
- 1
Katika kuhangaika hangaika namna ya kujiongezea kipato, nikajikuta nalazimika kujiingiza katika whats so called Work At Home or Make Money Online. Changamoto iliyopo ktk biashara hii ni katika kupata Legit Work At Home/Make Money Online Job! Nyingi, ni za kitapeli. Wataalamu wa masuala ya Online Jobs wanabainisha kwamba, Kila penye One Legit (Legal/Real) Work At Home/Make Money Online Jobs, kuna Sixty Fake Jobs! Katika kundi hili, Online Jobs zilizo maarufu ni zile zinazojulikana kama MLM na PTC (Paid To Click).
HINT TO ENTER WORK AT HOME/MAKE MONEY ONLINE JOBS!
The best way to be safe kwenye hii biashara ni kutofanya malipo yoyote in advance. Ipo baadhi ya mitandao ambayo inamtaka Member kulipa Registration Fee. Be careful, unless you have full information about the site. Wengi ni matapeli. Mbaya zaidi, hivi sasa kuna baadhi ya mitandao ambayo ina-act kama Legit News Centres! Ingawaje machoni wanaweza onekana kama ni chombo cha kawaida cha habari, lakini kimsingi unakuta ni mitandao ile ile ambayo shughuli yake ni kutangaza hizi Fake Jobs! Mfano mzuri wa hiyo kitu ni mtandao mmoja unaofahamika kama News Daily 7! Hawa jamaa ni Professional Scammers! Ukifungua mtandao huu unaweza kushawishika kwamba ni kweli Legit News Website! Humo utakuta Ads za kampuni mbalimbali za utangazi duniani kama vile CNN, BBC, Fox News n.k! Yote hiyo ni katika kupata attention!
NINI AMBACHO NINGEPENDA KUSHAURI.
Kama nawe ni mwenzangu ambae unatafuta namna ya kujiongezea kipato, basi usichoke till you get enough! However, be careful with many Work At Home/Make Money Online Jobs. Kama nilivyotangulia kusema hapo kabla, nyingi ni feki. Mie katika kutafuta various information about hii biashara, nikakuta na huu mtandao : NeoBux: The Innovation in Paid-to-Click Services . Hawa jamaa wanahusika na PTC Jobs. Hawa, angalau nimeshawishika nao. Si tu kwavile kuna rafiki yangu mmoja ndie alienipa infos zao, hapana! Nilijaribu kwanza kutafuta infos mimi mwenyewe. Sehemu ambayo ilinishawishi kuwaamini ni pale nilipotembelea Forum yao ambayo members wanajadili mambo mbalimbali. Kuna forum moja iliyokuwa na title: Making a Living Out of Neobux? Kuna michango mbalimbali ambayo karibu yote ni POSITIVE! Na haielekei hata kidogo kwamba wachangiaji ni among of neobux employees kutokana na michango yao. Kwa kiasi fulani, hawa wamenishawishi .! Hata hivyo, jambo moja lipo wazi, ni kazi inayohitaji commitment ya hali ya juu if you really wanna make money and not cents! Labda jambo lingine, kama upo busy and still you wish to make more money, then inabidi uingie mfukoni na kukodi Referrals! Ukibahatika kupata good refferals, basi unaweza kutengeneza hela nzuri sana!
Let me end here, ila kama unataka kujaribu bahati basi just get registered hapa:
NeoBux: The Innovation in Paid-to-Click Services. Hata hivyo, ukishajisajili, jaribu kwanza kutembelea FORUM kisha nenda kwenye sub forum ya Business and Finance. Ni muhimu kutembelea hapo ili ukajiliridhishe kwanza.
WISH YOU ALL THE BEST.
NB: Kwa wale wapenzi wa different type of Videos, Online and Offline Games, Online Shopping and many more, then try to visit http://www.myperfectinternet.com/?refid=2d9c0. Ukishafungua, click Join Now kisha enter your email adress and password. Ukisha-confirm password, click Terms, na ikishafunguka, scroll down na u-agree kisha tena click Privacy Policy na agree ndipo u-click Join Now for the second time.
HINT TO ENTER WORK AT HOME/MAKE MONEY ONLINE JOBS!
The best way to be safe kwenye hii biashara ni kutofanya malipo yoyote in advance. Ipo baadhi ya mitandao ambayo inamtaka Member kulipa Registration Fee. Be careful, unless you have full information about the site. Wengi ni matapeli. Mbaya zaidi, hivi sasa kuna baadhi ya mitandao ambayo ina-act kama Legit News Centres! Ingawaje machoni wanaweza onekana kama ni chombo cha kawaida cha habari, lakini kimsingi unakuta ni mitandao ile ile ambayo shughuli yake ni kutangaza hizi Fake Jobs! Mfano mzuri wa hiyo kitu ni mtandao mmoja unaofahamika kama News Daily 7! Hawa jamaa ni Professional Scammers! Ukifungua mtandao huu unaweza kushawishika kwamba ni kweli Legit News Website! Humo utakuta Ads za kampuni mbalimbali za utangazi duniani kama vile CNN, BBC, Fox News n.k! Yote hiyo ni katika kupata attention!
NINI AMBACHO NINGEPENDA KUSHAURI.
Kama nawe ni mwenzangu ambae unatafuta namna ya kujiongezea kipato, basi usichoke till you get enough! However, be careful with many Work At Home/Make Money Online Jobs. Kama nilivyotangulia kusema hapo kabla, nyingi ni feki. Mie katika kutafuta various information about hii biashara, nikakuta na huu mtandao : NeoBux: The Innovation in Paid-to-Click Services . Hawa jamaa wanahusika na PTC Jobs. Hawa, angalau nimeshawishika nao. Si tu kwavile kuna rafiki yangu mmoja ndie alienipa infos zao, hapana! Nilijaribu kwanza kutafuta infos mimi mwenyewe. Sehemu ambayo ilinishawishi kuwaamini ni pale nilipotembelea Forum yao ambayo members wanajadili mambo mbalimbali. Kuna forum moja iliyokuwa na title: Making a Living Out of Neobux? Kuna michango mbalimbali ambayo karibu yote ni POSITIVE! Na haielekei hata kidogo kwamba wachangiaji ni among of neobux employees kutokana na michango yao. Kwa kiasi fulani, hawa wamenishawishi .! Hata hivyo, jambo moja lipo wazi, ni kazi inayohitaji commitment ya hali ya juu if you really wanna make money and not cents! Labda jambo lingine, kama upo busy and still you wish to make more money, then inabidi uingie mfukoni na kukodi Referrals! Ukibahatika kupata good refferals, basi unaweza kutengeneza hela nzuri sana!
Let me end here, ila kama unataka kujaribu bahati basi just get registered hapa:
NeoBux: The Innovation in Paid-to-Click Services. Hata hivyo, ukishajisajili, jaribu kwanza kutembelea FORUM kisha nenda kwenye sub forum ya Business and Finance. Ni muhimu kutembelea hapo ili ukajiliridhishe kwanza.
WISH YOU ALL THE BEST.
NB: Kwa wale wapenzi wa different type of Videos, Online and Offline Games, Online Shopping and many more, then try to visit http://www.myperfectinternet.com/?refid=2d9c0. Ukishafungua, click Join Now kisha enter your email adress and password. Ukisha-confirm password, click Terms, na ikishafunguka, scroll down na u-agree kisha tena click Privacy Policy na agree ndipo u-click Join Now for the second time.