Kingcobra
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,000
- 309
Kwa hali ilivyo sasa ni wazi kuwa kuna ufa mkubwa kati ya watanganyika na wazanzibar. Kwa mtazamo wangu, kama kuna kosa ambalo ccm itakuja ilijutie milele ni kumweka mzanzibar kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano. Sijui kama kuna mtanganyika yeyote atakayempigia kura. Niwieni radhi wale wote mnaoamini kuwa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar bado upo.
,
,