Paul dybala
JF-Expert Member
- Jul 30, 2023
- 304
- 1,096
Habarini ndugu zangu,
Sijajua hii ni kwangu tu ama na wengine huwa mnapitia hi changamoto, nitatolea mifano
Sehemu za kutolea huduma, labda restaurant ninaweza kufika na kukaa ikapita saa nyingine hata nusu saa au robo saa sijasikilizwa au nikasikilizwa wakahudumiwa wengine Mimi badae mhudumu Hadi akaniomba msamaha kwa kunisahau.
Kwenye matukio mbalimbali shuleni hata ya adhabu ya pamoja ya vibuko si ajabu watu wote wakachapwa halafu Mimi nikasahaulika
Kwenye daladala pia konda anaweza kunisahau na ukute nimekaa kiti cha mbele tu ya konda pale, Kuna mdau kanishauri niende kwa mtaalamu wa kusafisha nyota anisaidie..
Sijajua hii ni kwangu tu ama na wengine huwa mnapitia hi changamoto, nitatolea mifano
Sehemu za kutolea huduma, labda restaurant ninaweza kufika na kukaa ikapita saa nyingine hata nusu saa au robo saa sijasikilizwa au nikasikilizwa wakahudumiwa wengine Mimi badae mhudumu Hadi akaniomba msamaha kwa kunisahau.
Kwenye matukio mbalimbali shuleni hata ya adhabu ya pamoja ya vibuko si ajabu watu wote wakachapwa halafu Mimi nikasahaulika
Kwenye daladala pia konda anaweza kunisahau na ukute nimekaa kiti cha mbele tu ya konda pale, Kuna mdau kanishauri niende kwa mtaalamu wa kusafisha nyota anisaidie..