Iselamagazi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,924
- 6,010
alioa,wewe unadhani kwanini alikua haachi kuwatembelea akina martha na mary pale bethania?.
Folly!
alioa,wewe unadhani kwanini alikua haachi kuwatembelea akina martha na mary pale bethania?.
Alikuwa anaimba hivi:issue ni kwamba alikuwa anaimba nini,kama alikua anaimba in a provoke way hadi mmama akamwadabisha,sioni kwanini iwe bigdeal.
Mkuu sio UK tu hata nchi zingine za magharibi wametengewa mpaka sehemu za kuabudia wawapo kazini na ukizingatia nchi hizo zimejaa wakristo lkn wanaheshimiwa/ wanaheshimu utu wa mtu na uhuru wa kuabudu. Inashhangaza sana kuona unamshurutisha mgeni afuate unachokiamini ilihali wao waendapo nchi za imani zingine huachwa waendelee na utamaduni wao. Tubadilike hii chuki haitufikishi popote sana sana itatuletea matatizo sisi wenyewe . Sifa ya ubaguzi ni kwamba huwa haiishi yaani wakimaliza kubagua walio nje wataanza kubaguana wao kwa wao na nahisi hiki ni kikundi kidogo kinachofanya haya yote ili kupandikiza chuki kati yetu.Nasifia uvumilivu wa wazungu kuruhusu wanawake wakiislam kufanya ibada yao hasa kuvaa nguo za kujihifadhi, kinachotekea ZANZIBAR ni uhuni wa viongozi wa ZANZIBAR, UK mahali palipo na wakristu wengi bado wanaendelea kulinda haki za waislam. Kuna chama kinaitwa ENGLISH DEFENCE LEAGUE, hakitaki waislamu wawepo UK, ila serikali imesema hapana inawapa haki ya kuandamana tu lakini sio kusema waislamu waondoke UK. Ni lazima tuheshimu haki za wenzetu regardless ya dini na imani zetu, viongozi wa ZANZIBAR ni washtakiwa namba mbili baada ya wamwaga tindikali.
Mliambiwa Tanzani kuna magaidi na Nyinyiemu yenu mkawa wakaaaaali!'zanzibar' kameanza kuwa kakisiwa ka Ugaidi!
KUna vitu mi sivielewi kabisa na hizi dini za kuletewa, kwa mliopata nafasi ya kutembelea miji ya UK kama london, manchester na Reading NK, utakuta wapo wadada wa kiislam wamevaa nguo zao vizuri kabisa na kujifunika kwa mujibu wa dini yao, lakini wanapanda basi na mabinti waliovaa kabukta tu hasa wakati huu wa summer, hakuna kubugudhiana maana imani ni ya mtu binafsi.
Kiukweli chokochoko za UDINI ZANZIBAR ni kero sana, ni vema ieleweke ZANZIBAR sio JAMHURI YA KIDINI , kwa maoni yangu hata viongozi wa serikali ya ZANZIBAR ni wadini watupu na wamelea uozo huu wa ovyo. Leo ukiwa UK na passport ya TANZANIA unaangaliwa kwa jicho baya maana tumeonekana ni watu wahuni tusiokuwa na heshima na utu wa watu wengine.
'What if' lakini hujui alikua anaimba kuhusu nini! Ni wenda wazimu tu au chuki isiyo na mashiko ndio mtu anaweza kumzaba mtu tena binti mdogo kwa kuimba tu!kwahiyo serikali ndo ingezuia huyo binti wa kiyahudi asizabuliwe kibao na mwanamke?what if she was singing insults.?
KUna vitu mi sivielewi kabisa na hizi dini za kuletewa, kwa mliopata nafasi ya kutembelea miji ya UK kama london, manchester na Reading NK, utakuta wapo wadada wa kiislam wamevaa nguo zao vizuri kabisa na kujifunika kwa mujibu wa dini yao, lakini wanapanda basi na mabinti waliovaa kabukta tu hasa wakati huu wa summer, hakuna kubugudhiana maana imani ni ya mtu binafsi.
Kiukweli chokochoko za UDINI ZANZIBAR ni kero sana, ni vema ieleweke ZANZIBAR sio JAMHURI YA KIDINI , kwa maoni yangu hata viongozi wa serikali ya ZANZIBAR ni wadini watupu na wamelea uozo huu wa ovyo. Leo ukiwa UK na passport ya TANZANIA unaangaliwa kwa jicho baya maana tumeonekana ni watu wahuni tusiokuwa na heshima na utu wa watu wengine.
e bwana ndio,imetulia mkuu...Mimi sifurahishwi na kitendo cha kumwagiana tindikali wala ubaguzi wa kidini lakini lazima tukubari kuwa unapotembelea sehemu ambayo wakazi wake wengi ni wa jamii moja na wana miiko yao unawajibika kuenenda na miiko yao ili msikwazane, kuna tetesi nimezisikia kuwa hao mabinti walikuwa wana tabia ya kula hovyo mchana wakati watu wengi wakiwa wamefunga kitu ambacho kwa Zanzibar si cha kawaida, sasa kama alishawahi kuzabwa kelbu kwa kuimbaimba alipaswa kuelewa kuwa kujifanyia mambo kiholela ni kuwa-provoke wenyeji wake. Kenya mirungi ni halali lakini ukizurula nayo TZ utakamatwa tu na wala kujitambulisha kwako kuwa kwenu Kenya ni halali hakutokusaidia kitu.
Wewe hujui kama Zanzibar ni nchi ya Kiislamu ooh pole sana. Kama 99% ya wakazi wake ni Waislamu kwa nini wakatazwe uzingatia misingi ya dini yao? Wacha upuuzi wako.
e bwana ndio,imetulia mkuu...
Wewe hujui kama Zanzibar ni nchi ya Kiislamu ooh pole sana. Kama 99% ya wakazi wake ni Waislamu kwa nini wakatazwe uzingatia misingi ya dini yao? Wacha upuuzi wako.
Hicho ni kilema pendwa ubaguzi wa kidini ni kilema pendwa Hakuna Nchi Duniani yenye udini kisha ikajitawala kwa Amani udini hauna Nafasi ktk ulimwengu wa kisitaarabu kumbuka kuna watu mamilioni hawana dini (wapagani)je?wao watakuwa upande gani?Mpuuzi mama na baba yako uwe na heshima unapochangia mjadala, ZANZIBAR sio NCHI ya KIISLAM hakuna mahali ZANZIBAR imetangazwa kuwa DOLA ya KIISLAM , haki za RAIA ziheshimiwe kwa kila mtu na kwa kila DINI hatuwezi kuacha KUKEMEA UPUUZI wa KIHUNI unaondelea ZANZIBAR na TANZANIA BARA kwa mwamvuli wa DINI.
Wewe hujui kama Zanzibar ni nchi ya Kiislamu ooh pole sana. Kama 99% ya wakazi wake ni Waislamu kwa nini wakatazwe uzingatia misingi ya dini yao? Wacha upuuzi wako.