idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,314
Duhkaa kuelekea TV usubiri breaking news
Duhkaa kuelekea TV usubiri breaking news
Spika wenu ana ukimwi haponi kwa duwa, aendele kutumia ARV ajinenepee tu. Kila Siku tunaomba Mungu ampende.Mwenyezi Mungu amwondolee maradhi yanayomsumbua, ishallah
Nadhani anamaanisha Wengine wana Mungu, wengine wana SMG, tuone sasa............Mkuu, unamaanisha...kwamba?
Jiandaeni kisaikolojia.ukiwa umependwa na watu na hunaga tabia ya kulipiza visasi na kukomoana lazima utataka watu wajue ulipo na unavyoendelea ki afya maana ni kipenzi cha watu.
Wakti utafika tu,kuna vitu vingi tunapaswa kujifunza kupitia NDUGAI.Huyu spika anapata shida sana bora Mungu amchukue akapumzike milele
Sijawahi kuona check up ya miezi mitatu.TINDU LISSU VEEP BELGIUM KESHAANZA KUTEMBEA VIZURI....
Mh Ndugai naona anaendelea vizuri Kigaigai alitoa taarifa...
Na Lisu je aliyekataliwa matibabu? Tumuachie Mungu , vinakera sana!Mwenyezi Mungu amwondolee maradhi yanayomsumbua, ishallah
Jiandaeni kisaikolojia.[/QUOT
Tuendelee kumuombea ili Mungu aongeze upendo zaidiMwenyezi Mungu amwondolee maradhi yanayomsumbua, ishallah
Atakuwa amekufa labda maana sio kwa ukimya huuWakuu tujuzane hali ya mpendwa wetu SPIKA NDUGAI vipi anendeleaje huko alikopelekwa?
Anaumwa ugonjwa wa maagizo toka juuEbu kwanza tujue/tujuze anaumwa nini?
Subiri upendo wa Mola ndio utakujibu kuwa mvumilivuAtakuwa amekufa labda maana sio kwa ukimya huu
Naona jibu linachelewa sanaSubiri upendo wa Mola ndio utakujibu kuwa mvumilivu
Unatakaje mkuuNaona jibu linachelewa sana
Nani kakuambia anaumwa ?Mwenyezi Mungu amwondolee maradhi yanayomsumbua, ishallah