bakuza
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 490
- 100
Katibu Mwenezi CCM atuhumiwa kumbaka binti yatima
..!!!!!!!!!!!!!!
30 Dec 2011 asubuhi,Katibu mwenezi wa ccm kata ya Bilele anatuhumiwa kubaka mtoto yatima wa umri chini ya miaka 18 katika eneo la Hamugembe Bukoba,baada ya mtoto huyo kwenda kwake kumshitaki kijana mmoja ambaye jina lake halikupatikana aliyeaminika kutaka kumpiga, unyama gani huu jamani.Badala ya Katibu huyo kutoa msaada wa kumwepushia binti huyo kipigo toka kwa kijana huyo yeye akamzawadia kumbaka na kumsababishia maumivu makali yatima huyo masikini ya Mungu. Cha kusikitisha zaidi mpaka leo hii hakuna hatua za kisheria zilizochukuliwa kwa Katibu huyo mbakaji,Polisi wamejitetea kuwa hawakumtia mbaloni mapema kwa sababu taarifa za tukio hilo zilichelewa kuwafikia,mimi na wewe hatujui kama ni kweli hawakupata Taarifa. Sasa Taarifa wanazo tungoje na tuone je hatua zitachukuliwa au ndiyo siasa zitachukua nafasi huku yatima huyu akiumia?
Wale walio karibu na eneo hilo nawaombeni mjaribu kuhakikisha tatizo la yatima huyo linashugulikiwa na vyombo vya sheria na mtuhumiwa anaadhibiwa kwa unyama alioutenda.:juggle::A S 465:
30 Dec 2011 asubuhi,Katibu mwenezi wa ccm kata ya Bilele anatuhumiwa kubaka mtoto yatima wa umri chini ya miaka 18 katika eneo la Hamugembe Bukoba,baada ya mtoto huyo kwenda kwake kumshitaki kijana mmoja ambaye jina lake halikupatikana aliyeaminika kutaka kumpiga, unyama gani huu jamani.Badala ya Katibu huyo kutoa msaada wa kumwepushia binti huyo kipigo toka kwa kijana huyo yeye akamzawadia kumbaka na kumsababishia maumivu makali yatima huyo masikini ya Mungu. Cha kusikitisha zaidi mpaka leo hii hakuna hatua za kisheria zilizochukuliwa kwa Katibu huyo mbakaji,Polisi wamejitetea kuwa hawakumtia mbaloni mapema kwa sababu taarifa za tukio hilo zilichelewa kuwafikia,mimi na wewe hatujui kama ni kweli hawakupata Taarifa. Sasa Taarifa wanazo tungoje na tuone je hatua zitachukuliwa au ndiyo siasa zitachukua nafasi huku yatima huyu akiumia?
Wale walio karibu na eneo hilo nawaombeni mjaribu kuhakikisha tatizo la yatima huyo linashugulikiwa na vyombo vya sheria na mtuhumiwa anaadhibiwa kwa unyama alioutenda.:juggle::A S 465: