Katiba Yetu Ina Matobo: Serikali Ikikosea, Inashitakika. Je, Bunge na Mahakama Zinapowakosea Watanzania Kama Makosa Haya Tunawashitaki Wapi?

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,513
113,643
Wanabodi,

Kwa Maslahi ya Taifa, Nipashe ya Leo.

Screen Shot 2023-02-19 at 5.46.13 AM.png
Screen Shot 2023-02-19 at 5.46.31 AM.png

  1. Leo ilikuwa niendelee makala ya wiki iliyopita kuhusu upatikana wa haki kupitia dhana ya Usuluhishi, lakini kwa vile makala ya wiki iliyopita ilibeba kichwa cha habari Je Wajua, Mhimili wa Mahakama Usipotenda Haki Unaweza Kushitakiwa?. Pongezi Jaji Mkuu wa Kusisitiza Usuluhishi na Sio Kukimbilia Kufungua Kesi!.” Makala hiyo imeleta sintofahamu kubwa ikiwemo kuushitusha kidogo Mhimili wa Mahakama na mimepokea simu nyingi zikiwemo za kutoka kwa waheshimiwa Majaji wastaafu, kuniulizia ni vifugu gani vya katiba vinavyo ruhusu mahakama kushitakiwa?. Hivyo wanasubiria kwa hamu sehemu hii ya pili ya mwendelezo wa makala hiyo, hivyo naomba leo nisiendelee na hoja ya Usuluhishi, tumalizane kwanza na hili la kuishitaki Mahakama isipotenda haki kwa Watanzania.
  2. Tangu mwaka huu umeanza, nimejikita zaidi kwenye katiba kwa kusema nitafanya mambo mawili. 1 kutoa elimu ya katiba ili wananchi waifahamu vizuri katiba yao, na katika utoaji wa elimu ya katiba, ( hii kazi nimeianza hapa
    View: https://youtu.be/ZJIKhnZCf04?si=SSU8Ix5ZjQZEV3

    Na katika kuifanya kazi hii, nitalinyeshea mvua paa la nyumba yetu kwa upande wa katiba yetu, ili tujue pale panapovuja, kwa kuyaangazia matundu na matobo ya ukosekanaji wa haki ndani ya katiba yetu, hivyo hapa naendelea kuonyesha baadhi ya matundu na matobo ndani ya katiba, ili hata kama hatuwezi kutandua paa letu lote na kuezeka paa jipya la katibampya, basi angalau, tuyazibe haya baadhi ya matundu na matobo, yanayovuja kwenye paa letu, tusiendelee kuvujiwa na kuloweshwa !.
  3. Serikali inapokosea, Inaweza kushitakiwa mahakamani, hivyo serikali inashitakika, lakini Je Bunge na Mahakama, zinapowakosea Watanzania kama Bunge letu na Mahakama yetu, ilinavyowokosea Watanzania kwenye kuwanyima haki hii muhimu ya kuchagua na kuchaguliwa, hawa tunawashitaki wapi?!.
  4. Sasa kabla sijaendelea na hii ya Mhimili wa Mahakama usipotenda haki, wananchi wanaweza kuushitaki”, naomba kukiri kuwa haya sii maneno yangu, na hii sii kauli yangu!, hii ni kauli ya Jaji Mkuu wa Tanzania, CJ mwenyewe Prof. Ibrahim Hamisi Juma, aliyoitoa Siku ya Sheria nchini mbele Rais Samia aliyekuwa mgeni rasmi, nilichofanya mimi ni kitu kinachoitwa kwa Kiingereza “paraphrasing” kauli ile kwa sentensi moja, hiyo hili la wananchi wanakosa haki kuishitaki mahakama, sio langu, hili ni la Jaji Mkuu mwenyewe, kitu ninachoweza kufanya, ni mimi kama mwanahabari, kumtafuta Jaji Mkuu kwa ufafanuzi.
  5. Kwa mujibu wa Katiba yetu, nchi yetu inaendeshwa kwa mihimili mitatu, Serikali Bunge na Mahakama. Mihimili hii kila mmoja una nguvu zake na mamlaka yake, inayojitegemea, "independent powers" lakini kila mhimili pia ni mwangalizi wa mhimili mwingine usikiuke mamlaka yake na kupitiliza, kupitia kanuni ya Kiingereza ya "The Doctrine of Separation of Powers, Checks and Balance" ambapo Bunge litaidhibiti serikali na Mahakama, Serikali italidhibiti Bunge na Mahakama, na Mahakama italidhibiti Bunge na Serikali.
  6. Udhibiti huu unafanyika kwa Serikali ndio inatunga miswada ya sheria na kulipelekea Bunge ndilo lenye mamlaka ya kutunga sheria, Mahakama ndio inatafsiri sheria na kutoa haki na serikali ndie mtekelezaji wa hukumu za mahakama. Serikali ikipendekeza sheria mbaya, Bunge haliipitishi. Serikali inapanga bajeti na kuliomba Bunge kuiidhinisha, kisha Bunge linapelekewa taarifa ya CAG kujiridhisha na matumizi ya serikali. Bunge linaweza tuu kutunga sheria, lakini sheria zinazotungwa na Bunge, haziwi sheria mpaka Mkuu Mhimili wa Serikali atakapo saini sheria hizo. Mkuu wa Mhimili wa Mahakama, Jaji Mkuu, anateuliwa na Mkuu wa mhimili wa Serikali, na Mtendaji Mkuu wa Bunge, Katibu wa Bunge pia anateuliwa na Mkuu wa Mhimili wa Serikali.
  7. Bunge ndilo linatunga sheria, lakini Mahakama nayo inatunga sheria, kupitia kitu kinachoitwa "presedents" na serikali pia inatunga sheria kupitia executive orders, na halmashauri zinatunga sheria ndogo by laws, hivyo mtunga sheria sio Bunge Pekee!.
  8. Mahakama ndio mtafsiri sheria na mhukumu, lakini serikali nayo kupitia mamlaka zake mbalimbali za udhibiti, zinasikiliza mashauri na kutoa hukumu, quasi judicial bodies, na Bunge nalo, linaweza kujigeuza mahakama kupitia kitu kinachoitwa quasi judical bodies, ile kamati ya Bunge ya Kinga na Madaraka ya Bunge inaweza kumuita mtu yoyote, kumhoji na kumfunga hadi kifungo cha miaka 3 jela!.
  9. Hiyoi hizi kanuni kama za independent powers, na the doctrine of separation of powers, checks and balance, ni kiini macho tuu, Nani Zaidi Kati ya Bunge na Mahakama?!. The Doctrine of "Separation of Powers" Nothing, Just a Myth! ni kuwa ile kauli ya JPM (Mungu amuweke mahala pema peponi, na ameisha muweka maana JPM yuko ...) kuhusu Mhimili uliojichimbia chini zaidi, ni kweli, serikali ndio kila kitu!.
  10. Wakuu wa mihimili hii yote mitatu, wakienda kinyume cha majukumu yao, wanaadhibika kwa kuondoshwa madarakani, Ibara ya 46A, Bunge linaweza kumuadhibu rais anapofanya makosa kwa kumuondoa Mkuu wa Mhimili wa Serikali madarakani, Bunge pia kupitia ibara ya 53A, linaweza kupiga kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu na waziri Mkuu akaondolewa madarakani, Bunge pia linaweza kumuondoa Spika madarakani kupitia Ibara ya 87 ya Katiba ya JMT, ya mwaka 1977. Na Mkuu wa Mhimili wa Mahakama, Jaji Mkuu, akifanya makosa, anaweza kuadhibiwa kwa kuondolewa madarakani kwa mujibu wa Ibara ya 110 ya Katiba. Hivyo wakuu wote wa mihimili wasipotimiza wajibu wao, wanaweza kuadhibiwa, kuwajibishwa na kuondolewa madarakani.
  11. Serikali licha ya kuwa ndio kila kitu, inapofanya makosa ya ukiukaji wa haki za wananchi, inaweza kushitakiwa mahakamani, lakini sio kwa serikali kuwajibishwa, bali kwa serikali kuamriwa na mahakama kutenda haki kwa lazima kupitia amri 6 za kimahakama za certiorari, mandamus, prohibition, (zuio), harbea corpus, quo warranto na procedendo, mtanisamehe amri hizi nyingine zote hazina majina ya Kiswahili wala ya Kiingereza, ni Kilatini tuu!.
  12. Lakini Bunge lisipotenda haki, na mahakama isipotenda haki, kwa mujibu wa katiba yetu, bado hakuna utaratibu wowote wa kuishitaki mahakamani au popote au kulishitaki Bunge popote!, na ndio maana Bunge letu limekuwa linekuwa linaletewa miswada batili na kinyume cha katiba,
    lenyewe linaitunga kuwa sheria wakati ni batili!, yaani Bunge lile lilikuwa kama Bunge puppet kama la mazuzu vile kwa kututungia sheria batili hadi mahakama kuzibatilisha tuu bila Bunge kuwajibishwa!.
  13. Mfano mzuri ni Sheria yetu ya Uchaguzi, yenye kipengele batili cha kulazimisha wagombea kudhaminiwa na chama cha siasa, Mchungaji Mtikila akafungua Kesi No. 5 ya mwaka 1993 kupinga sheria hiyo, Mahakama Kuu ya Tanzania.
  14. Baada ya Mahakama Kuu kutangaza kipengele hicho ni batili, serikali yetu ya wakati huo, ilifanya mambo mawili makubwa ya ajabu!, kwanza ilikata rufaa kupinga uamuzi huo wa Mahakama Kuu kuibatilisha sheria hiyo!. Sheria ikiishatamkwa na mahakama kuwa ni batili kwa kwenda kinyume cha Katiba, ubatili huo unaanza pale pale baada ya hukumu kwakuwa ubatili huo unakuwa ni umebatilishwa na katiba yenyewe!.
  15. Kitu cha pili cha ajabu ambacho serikali yetu ni kupeleke Bungeni kwa hati ya dharura, Sheria No. 34 ya mwaka 1994 na kufanya mabadiliko ya 8 ya katiba ya JMT ya mwaka 1977 kuliomba Bunge, likichomekee kipengele hicho batili ndani ya katiba yetu, na kweli Bunge letu tukufu likauchomekea ubatili huo ndani ya katiba yetu!.
  16. Mchungaji Mtikila (Mungu amuweke mahala pema peponi), hakukubali katiba yetu inajisiwe, akafungua shauri jingine No. 10 la mwaka 1999 kupinga mabadiliko hayo ya 8 ya katiba, na Mahakama Kuu ikampa ushindi na kutamka mabadiliko hayo ya katiba, kuchomekea kipengele batili kilicho kinyume cha katiba, ni batili.
  17. Serikali ikakata rufaa kupinga uamuzi huo, na Mahakama ya Rufaa ikakaa chini ya majaji 7, (inaitwa full bench) ikatoa uamuzi wa ajabu kuwahi kutokea Tanzania, ambao pia uliwakosea sana Watanzania, kwakusema “The Court is not the custodian of the will of the people”, ukimaanisha Mahakama sio mlinzi wa katiba ya wananchi!. Mahakama ya Rufani, ikalirudisha jambo hilo kwa Bunge lili lile la mazuri, eti lenyewe ndio lirekebishe kuuondoa ubatili ule!, na matokeo yake mpaka hivi sasa ninapoandika makala hii, sheria batili hiyo bado ipo kwenye sheria zetu, kipengele hicho batili kinachokwenda kinyume cha katiba bado kipo na kinatumika kuwanyima haki ya kuchanguliwa Watanzania mpaka kesho, na ubatili huu uliochomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu, bado upo!, hii maana yake, Katiba ya Tanzania ya mwaka 1977, imechomekewa ubatili ambao ungali upo!.
  18. Nilisema makala hizi pia zitaangazia matobo ndani ya katiba yetu!. Kama katiba ndio kila kitu.
  19. Ibara ya 13.- (2) Ni marufuku kwa sheria yoyote iliyotungwa na mamlaka yoyote katika Jamhuri ya Muungano kuweka sharti lolote ambalo ni la ubaguzi ama wa dhahiri au kwa taathira yake. Shurti la kudhaminiwa na chama ni shurti baya kabisa la kuwabagua Watanzania wasio na vyama kugombea nafasi za uongozi, na kuwalazimisha Watanzania, wakitaka kugombea uongozi ni lazima wajiunge na vyama hata kama vyama hivyo ni vya hovyo na vinafanya mambo ya hovyo!.
  20. wananchi, hii maana yake nchi ya Tanzania ni mali ya wananchi wa Tanzania!, Wananchi ndio wenye nchi, ndio wenye katiba, hivyo serikali ni mali ya wananchi, Bunge ni mali ya Wananchi na Mahakama ni mali ya wananchi, vyombo hivi vinapofanya makosa dhidi ya wananchi, lazima kuwepo namna ya wananchi kuviwajibisha, ikibidi kuvishitaki na kuviadhibu kwa kuviwajibisha!.

Wiki ijayo nitaendelee na ile mada ya wiki iliyopita ya usuluhishi ambao pia itaona jinsi Rais wa JMT, Samia Suluhu Hassani anavyoitumia dhana hii ya usuluhisi na maridhiano kulitibu taifa letu majeraha ya kisiasa, kiuchumi na kijamii.

Wasalaam.

Paskali
 
Mkuu P

Tuliambiwa rushwa hapa Tanzania ni sababu ya katiba -magufuli aliweza kwa katiba hii hivi

Tulidanganywa kuwa kuwajibisha maafsa wa serkali haiwezekani kwa sababu ya katiba - Magufuli akafanya na zaidi

Tukitapeliwa kuwa bila katiba mpya mikataba mibovu ilipitiwa na marais walipita huwezi gusa - Magufuli akaweza na tukalipwa

Tukitapeliwa kuwa kwa katiba hii hatuwezi kujiamulia chetu bila wazungu - Magufuli alifanya kwenye corona na tunavuka salama

Tukitapeliwa kuwa uchumi wetu hauwezi kuku wala kuvuia bei ya vitu kupanda hasa vya kutoka nje -magufuli aliweza

Hapa ishu sio katiba ni nani tumemweka pale juu huko nje kuna watu wabakatiba bora zaidi ya hii na wako hovyo sana akiamu Rais bunge linagoma,likiamua bunge Rais anagoma akimua mahakama rais na na bunge wanagoma ni mtifuano tu

Hapa kwetu kinachotukimbiza kwenye kutaka katiba mpya ni tamaa ya wanasiasa kuwa ikipatikana watapata pa kulia tu hakuna lolote ndio maana wakianza tu utasikia mabishano ya serkali mbili au tatu,hati ya muungano na value za kitaifa wala sio haki za wananchi hasa wakulima na wafugaji,walimu na watumishi wengine hovyo tu

USSR
 
Mkuu P

Tuliambiwa rushwa hapa Tanzania ni sababu ya katiba -magufuli aliweza kwa katiba hii hivi

Tulidanganywa kuwa kuwajibisha maafsa wa serkali haiwezekani kwa sababu ya katiba - Magufuli akafanya na zaidi

Tukitapeliwa kuwa bila katiba mpya mikataba mibovu ilipitiwa na marais walipita huwezi gusa - Magufuli akaweza na tukalipwa

Tukitapeliwa kuwa kwa katiba hii hatuwezi kujiamulia chetu bila wazungu - Magufuli alifanya kwenye corona na tunavuka salama

Tukitapeliwa kuwa uchumi wetu hauwezi kuku wala kuvuia bei ya vitu kupanda hasa vya kutoka nje -magufuli aliweza

Hapa ishu sio katiba ni nani tumemweka pale juu huko nje kuna watu wabakatiba bora zaidi ya hii na wako hovyo sana akiamu Rais bunge linagoma,likiamua bunge Rais anagoma akimua mahakama rais na na bunge wanagoma ni mtifuano tu

Hapa kwetu kinachotukimbiza kwenye kutaka katiba mpya ni tamaa ya wanasiasa kuwa ikipatikana watapata pa kulia tu hakuna lolote ndio maana wakianza tu utasikia mabishano ya serkali mbili au tatu,hati ya muungano na value za kitaifa wala sio haki za wananchi hasa wakulima na wafugaji,walimu na watumishi wengine hovyo tu

USSR
Ameweza wapi wakati alipigwa vby sana
 
Kama tunadhani tatizo la hii nchi ni Katiba rejea Sheria ngapi ambazo zipo concrete kabisa na bado zinavunjwa !!!

Mpaka pale wananchi majority watakapopata ufahamu nini ni nini na nini wanataka na sio kusemewa au kuambiwa na watu kwamba hiki ndio kile tutaendelea na the old adage. Dog eat Dog World.

Mwisho wa siku Katiba inabidi isiwe jarida la kutuambia nini ni nini bali watu kama kujua kufahamu kama hiki sio sawa na sababu sio sawa hata kama hakuna kipengele kinasema hivi au vile lisifanyike.
 
Kama tunadhani tatizo la hii nchi ni Katiba rejea Sheria ngapi ambazo zipo concrete kabisa na bado zinavunjwa !!!

Mpaka pale wananchi majority watakapopata ufahamu nini ni nini na nini wanataka na sio kusemewa au kuambiwa na watu kwamba hiki ndio kile tutaendelea na the old adage..... Dog eat Dog World.....

Mwisho wa siku Katiba inabidi isiwe jarida la kutuambia nini ni nini bali watu kama kujua kufahamu kama hiki sio sawa na sababu sio sawa hata kama hakuna kipengele kinasema hivi au vile lisifanyike....
Uko sahihi mkuu


USSR
 
Kama tunadhani tatizo la hii nchi ni Katiba rejea Sheria ngapi ambazo zipo concrete kabisa na bado zinavunjwa !!!

Mpaka pale wananchi majority watakapopata ufahamu nini ni nini na nini wanataka na sio kusemewa au kuambiwa na watu kwamba hiki ndio kile tutaendelea na the old adage..... Dog eat Dog World.....

Mwisho wa siku Katiba inabidi isiwe jarida la kutuambia nini ni nini bali watu kama kujua kufahamu kama hiki sio sawa na sababu sio sawa hata kama hakuna kipengele kinasema hivi au vile lisifanyike....
Kusubiri watu wote wajue nini ni nini na nini ni nini hiyo haitotokea mpaka mwisho wa Dunia! Hiyo sio kwa hapa Tanzania bali Hiyo ni kwa Dunia nzima !! Hata kwenye Nchi zilizo endelea sana watu wengi hawajui nini ni nini lakini Mihimili ikiwa imara na inajitambua kila muhimili unaudhibiti muhimili mwingine usijimwambafay kinyume na Katiba ya Nchi inavyosema !! Tatizo letu Katiba iliyopo ilikuwa ni ya Chama kimoja ambacho kilikuwa kimeshika Hatamu ! Yaani maana yake mihimili yote ni lazima yaani ni lazima zifuate anavyotaka aliyeshika Hatamu !! Mentalityni lazima !! Japo Katiba haisemi hivyo !!! Sasa shida ndio iko hapo kwa maoni yangu !!
 
Mkuu P

Tuliambiwa rushwa hapa Tanzania ni sababu ya katiba -magufuli aliweza kwa katiba hii hivi

Tulidanganywa kuwa kuwajibisha maafsa wa serkali haiwezekani kwa sababu ya katiba - Magufuli akafanya na zaidi

Tukitapeliwa kuwa bila katiba mpya mikataba mibovu ilipitiwa na marais walipita huwezi gusa - Magufuli akaweza na tukalipwa

Tukitapeliwa kuwa kwa katiba hii hatuwezi kujiamulia chetu bila wazungu - Magufuli alifanya kwenye corona na tunavuka salama

Tukitapeliwa kuwa uchumi wetu hauwezi kuku wala kuvuia bei ya vitu kupanda hasa vya kutoka nje -magufuli aliweza

Hapa ishu sio katiba ni nani tumemweka pale juu huko nje kuna watu wabakatiba bora zaidi ya hii na wako hovyo sana akiamu Rais bunge linagoma,likiamua bunge Rais anagoma akimua mahakama rais na na bunge wanagoma ni mtifuano tu

Hapa kwetu kinachotukimbiza kwenye kutaka katiba mpya ni tamaa ya wanasiasa kuwa ikipatikana watapata pa kulia tu hakuna lolote ndio maana wakianza tu utasikia mabishano ya serkali mbili au tatu,hati ya muungano na value za kitaifa wala sio haki za wananchi hasa wakulima na wafugaji,walimu na watumishi wengine hovyo tu

USSR
Ni kweli kabisa tunahitaji wananchi wenye akili nzuri za kutambua kwamba maendeleo endelevu yatapatikana tu pale ambapo fikra tegemezi zitaondoka.
Katiba nzuri bila fikra huru kwa raia ni sawa na kitabu cha hadithi tu.
 
Wanabodi
Kwa Maslahi ya Taifa, Nipashe ya Leo
View attachment 2522457View attachment 2522459
  1. Leo ilikuwa niendelee makala ya wiki iliyopita kuhusu upatikana wa haki kupitia dhana ya Usuluhishi, lakini kwa vile makala ya wiki iliyopita ilibeba kichwa cha habari Je Wajua, Mhimili wa Mahakama Usipotenda Haki Unaweza Kushitakiwa?. Pongezi Jaji Mkuu wa Kusisitiza Usuluhishi na Sio Kukimbilia Kufungua Kesi!.” Makala hiyo imeleta sintofahamu kubwa ikiwemo kuushitusha kidogo Mhimili wa Mahakama na mimepokea simu nyingi zikiwemo za kutoka kwa Majaji wastaafu, kuniulizia ni vifugu gani vya katiba vinavyo ruhusu mahakama kushitakiwa, hivyo wanasubiria kwa hamu sehemu hii ya pili ya mwendelezo wa makala hiyo, hivyo naomba leo nisiendelee na hoja ya Usuluhishi, tumalizane kwanza na hili la kuishitaki Mahakama isipotenda haki kwa Watanzania.
  2. Tangu mwaka huu umeanza, nimejikita zaidi kwenye katiba kwa kusema nitafanya mambo mawili. 1 kutoa elimu ya katiba ili wananchi waifahamu vizuri katiba yao, na katika utoaji wa elimu ya katiba, nitalinyeshea mvua paa letu la katiba yetu, ili tujue panapovuja, kwa kuyaangazia matobo ya ukosekanaji wa haki ndani ya katiba yetu, hivyo hapa naendelea kuonyesha baadhi ya matobo ndani ya Katiba, ili hata kama hatuwezi kutandua paa letu lote na kuezeka paa jipya, basi angalau, tuyazibe baadhi ya matobo, tusiendelee kuvujiwa na kuloweshwa !.
  3. Serikali inapokosea, Inaweza kushitakiwa mahakamani, hivyo serikali inashitakika, lakini Jee Bunge na Mahakama, zinapowakosea Watanzania kama Bunge letu na Mahakama yetu, ilinavyowokosea Watanzania kwenye kuwanyima haki hii muhimu ya kuchagua na kuchaguliwa, hawa tunawashitaki wapi?.
  4. Sasa kabla sijaendelea na hii ya Mhimili wa Mahakama usipotenda haki, wananchi wanaweza kuushitaki”, naomba kukiri kuwa haya sii maneno yangu, nah ii sii kauli yangu, hii ni kauli ya Jaji Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Hamisi Juma, aliyoitoa Siku ya Sheria nchini mbele Rais Samia aliyekuwa mgeni rasmi, nilichofanya mimi ni kitu kinachoitwa kwa Kiingereza “paraphrasing” kauli ile kwa sentensi moja, hiyo hili la wananchi wanakosa haki kuishitaki mahakama, sio langu, hili ni la Jaji Mkuu mwenyewe, kitu ninachoweza kufanya, ni mimi kama mwanahabari, kumtafuta Jaji Mkuu kwa ufafanuzi.
  5. Kwa mujibu wa Katiba yetu, nchi yetu inaendeshwa kwa mihimili mitatu, Serikali Bunge na Mahakama. Mihimili hii kila mmoja una nguvu zake na mamlaka yake, inayojitegemea, "independent powers" lakini kila mhimili pia ni mwangalizi wa mhimili mwingine usikiuke mamlaka yake na kupitiliza, kupitia kanuni ya Kiingereza ya "The Doctrine of Separation of Powers, Checks and Balance" ambapo Bunge litaidhibiti serikali na Mahakama, Serikali italidhibiti Bunge na Mahakama, na Mahakama italidhibiti Bunge na Serikali.
  6. Udhibiti huu unafanyika kwa Serikali ndio inatunga miswada ya sheria na kulipelekea Bunge ndilo lenye mamlaka ya kutunga sheria, Mahakama ndio inatafsiri sheria na kutoa haki na serikali ndie mtekelezaji wa hukumu za mahakama. Serikali ikipendekeza sheria mbaya, Bunge haliipitishi. Serikali inapanga bajeti na kuliomba Bunge kuiidhinisha, kisha Bunge linapelekewa taarifa ya CAG kujiridhisha na matumizi ya serikali. Bunge linaweza tuu kutunga sheria, lakini sheria zinazotungwa na Bunge, haziwi sheria mpaka Mkuu Mhimili wa Serikali atakapo saini sheria hizo. Mkuu wa Mhimili wa Mahakama, Jaji Mkuu, anateuliwa na Mkuu wa mhimili wa Serikali, na Mtendaji Mkuu wa Bunge, Katibu wa Bunge pia anateuliwa na Mkuu wa Mhimili wa Serikali.
  7. Bunge ndilo linatunga sheria, lakini Mahakama nayo inatunga sheria, kupitia na serikali pia inatunga sheria kupitia executive orders, na halmashauri zinatunga sheria ndogo by laws, hivyo mtunga sheria sio Bunge Pekee!.
  8. Mahakama ndio mtafsiri sheria na mhukumu, lakini serikali nayo kupitia mamlaka zake mbalimile bali za udhibiti, zinasikiliza mashauri na kutoa hukumu, Bunge nalo, linaweza kujigeuza mahakama kupitia kitu kinachoitwa quasi judical bodies, ile kamati ya Bunge ya Kinga na Madaraka ya Bunge inaweza kumuita mtu yoyote, kumhoji na kumfunga hadi kifungo cha miaka 3 jela!.
  9. Hivi hizi kanuni kama za independent powers, na the doctrine of separation of powers, checks and balance, ni kiini macho, ukweli ni kuwa ile kauli ya JPM (Mungu amuweke mahala pema peponi, na ameisha muweka maana JPM yuko ...) kuhusu Mhimili uliojichimbia chini zaidi, ni kweli, serikali ndio kila kitu!.
  10. Wakuu wa mihimili hii yote mitatu, wakienda kinyume cha majukumu yao, wanaadhibika kwa kuondoshwa madarakani, Ibara ya 46A, Bunge linaweza kumuadhibu rais anapofanya makosa kwa kumuondoa Mkuu wa Mhimili wa Serikali madarakani, Bunge pia kupitia ibara ya 53A, linaweza kupiga kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu na waziri Mkuu akaondolewa madarakani, Bunge pia linaweza kumuondoa Spika madarakani kupitia Ibara ya 87 ya Katiba ya JMT, ya mwaka 1977. Na Mkuu wa Mhimili wa Mahakama, Jaji Mkuu, akifanya makosa, anaweza kuadhibiwa kwa kuondolewa madarakani kwa mujibu wa Ibara ya 110 ya Katiba. Hivyo wakuu wote wa mihimili wasipotimiza wajibu wao, wanaweza kuadhibiwa, kuwajibishwa na kuondolewa madarakani.
  11. Serikali licha ya kuwa ndio kila kitu, inapofanya makosa ya ukiukaji wa haki za wananchi, inaweza kushitakiwa mahakamani, lakini sio kwa serikali kuwajibishwa, bali kwa serikali kuamriwa na mahakama kutenda haki kwa lazima kupitia amri 6 za kimahakama za certiorari, mandamus, prohibition, (zuio), harbea corpus, quo warranto na procedendo, mtanisamehe amri hizi nyingine zote hazina majina ya Kiswahili wa Kiingereza ni Kilatini.
  12. Lakini Bunge lisipotenda haki, na mahakama isipotenda haki, kwa mujibu wa katiba yetu, bado hakuna utaratibu wowote wa kuishitaki mahakamani au popote au kulishitaki Bunge popote!, na ndio maana Bunge letu limekuwa linatunga sheria batili na mahakama kuzibatilisha tuu bila Bunge kuwajibishwa!.
  13. Mfano mzuri ni Sheria yetu ya Uchaguzi, yenye kipengele batili cha kulazimisha wagombea kudhaminiwa na chama cha siasa, Mchungaji Mtikila akafungua Kesi No. 5 ya mwaka 1993 kupinga sheria hiyo, Mahakama Kuu ya Tanzania.
  14. Baada ya Mahakama Kuu kutangaza kipengele hicho ni batili, serikali yetu ya wakati huo, ilifanya mambo mawili makubwa ya ajabu!, kwanza ilikata rufaa kupinga uamuzi huo wa Mahakama Kuu kuibatilisha sheria hiyo!. Sheria ikiishatamkwa na mahakama kuwa ni batili kwa kwenda kinyume cha Katiba, ubatili huo unaanza pale pale baada ya hukumu kwakuwa ubatili huo unakuwa ni umebatilishwa na katiba yenyewe!.
  15. Kitu cha pili cha ajabu ambacho serikali yetu ni kupeleke Bungeni kwa hati ya dharura, Sheria No. 34 ya mwaka 1994 na kufanya mabadiliko ya 8 ya katiba ya JMT ya mwaka 1977 kuliomba Bunge, likichomekee kipengele hicho batili ndani ya katiba yetu, na kweli Bunge letu tukufu likauchomekea ubatili huo ndani ya katiba yetu!.
  16. Mchungaji Mtikila (Mungu amuweke mahala pema peponi), hakukubali katiba yetu inajisiwe, akafungua shauri jingine No. 10 la mwaka 1909 kupinga mabadiliko hayo ya 8 ya katiba, na Mahakama Kuu ikampa ushindi na kutamka mabadiliko hayo ya katiba, kuchomekea kipengele batili kilicho kinyume cha katiba, ni batili.
  17. Serikali ikakata rufaa kupinga uamuzi huo, na Mahakama ya Rufaa ikakaa chini ya majaji 7, (inaitwa full bench) ikatoa uamuzi wa ajabu kuwahi kutokea Tanzania, ambao pia uliwakosea sana Watanzania, kwakusema “The Court is not the custodian of the will of the people”, ukimaanisha Mahakama sio mlinzi wa katiba ya wananchi!. Mahakama ya Rufani, ikalirudisha jambo hilo kwa Bunge lenyewe ndio lirekebishe!, na matokeo yake mpaka hivi sasa ninapoandika makala hii, sheria batili hiyo bado ipo kwenye sheria zetu, kipengele hicho batili kinachokwenda kinyume cha katiba bado kipo na kinatumika kuwanyika haki ya kuchanguliwa Watanzania mpaka kesho, na ubatili huu uliochomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu, bado upo!, hii maana yake, Katiba ya Tanzania ya mwaka 1977, imechomekewa ubatili ambao ungali upo!.
  18. Nilisema makala hizi pia zitaangazia matobo ndani ya katiba yetu!. Kama katiba ndio kila kitu.
  19. Ibara ya 13.- (2) Ni marufuku kwa sheria yoyote iliyotungwa na mamlaka yoyote katika Jamhuri ya Muungano kuweka sharti lolote ambalo ni la ubaguzi ama wa dhahiri au kwa taathira yake. Shurti la kudhaminiwa na chama ni shurti baya kabisa la kuwabagua Watanzania wasio na vyama kugombea nafasi za uongozi, na kuwalazimisha Watanzania, wakitaka kugombea uongozi ni lazima wajiunge na vyama hata kama vyama hivyo ni vya hovyo na vinafanya mambo ya hovyo!.
  20. wananchi, hii maana yake nchi ya Tanzania ni mali ya wananchi wa Tanzania!, Wananchi ndio wenye nchi, ndio wenye katiba, hivyo serikali ni mali ya wananchi, Bunge ni mali ya Wananchi na Mahakama ni mali ya wananchi, vyombo hivi vinapofanya makosa dhidi ya wananchi, lazima kuwepo namna ya wananchi kuviwajibisha, ikibidi kuvishitaki na kuviadhibu kwa kuviwajibisha!.
Wiki ijayo nitaendelee na ile mada ya wiki iliyopita ya usuluhishi ambao pia itaona jinsi Rais wa JMT, Samia Suluhu Hassani anavyoitumia dhana hii ya usuluhisi na maridhiano kulitibu taifa letu majeraha ya kisiasa, kiuchumi na kijamii.

Wasalaam.

Paskali
Mbunge akikosea serikali inaweza kumpiga risasi, refer kesi ya Tundu Lisu.
 
Wanabodi
Kwa Maslahi ya Taifa, Nipashe ya Leo
View attachment 2522457View attachment 2522459
  1. Leo ilikuwa niendelee makala ya wiki iliyopita kuhusu upatikana wa haki kupitia dhana ya Usuluhishi, lakini kwa vile makala ya wiki iliyopita ilibeba kichwa cha habari Je Wajua, Mhimili wa Mahakama Usipotenda Haki Unaweza Kushitakiwa?. Pongezi Jaji Mkuu wa Kusisitiza Usuluhishi na Sio Kukimbilia Kufungua Kesi!.” Makala hiyo imeleta sintofahamu kubwa ikiwemo kuushitusha kidogo Mhimili wa Mahakama na mimepokea simu nyingi zikiwemo za kutoka kwa Majaji wastaafu, kuniulizia ni vifugu gani vya katiba vinavyo ruhusu mahakama kushitakiwa, hivyo wanasubiria kwa hamu sehemu hii ya pili ya mwendelezo wa makala hiyo, hivyo naomba leo nisiendelee na hoja ya Usuluhishi, tumalizane kwanza na hili la kuishitaki Mahakama isipotenda haki kwa Watanzania.
  2. Tangu mwaka huu umeanza, nimejikita zaidi kwenye katiba kwa kusema nitafanya mambo mawili. 1 kutoa elimu ya katiba ili wananchi waifahamu vizuri katiba yao, na katika utoaji wa elimu ya katiba, nitalinyeshea mvua paa letu la katiba yetu, ili tujue panapovuja, kwa kuyaangazia matobo ya ukosekanaji wa haki ndani ya katiba yetu, hivyo hapa naendelea kuonyesha baadhi ya matobo ndani ya Katiba, ili hata kama hatuwezi kutandua paa letu lote na kuezeka paa jipya, basi angalau, tuyazibe baadhi ya matobo, tusiendelee kuvujiwa na kuloweshwa !.
  3. Serikali inapokosea, Inaweza kushitakiwa mahakamani, hivyo serikali inashitakika, lakini Jee Bunge na Mahakama, zinapowakosea Watanzania kama Bunge letu na Mahakama yetu, ilinavyowokosea Watanzania kwenye kuwanyima haki hii muhimu ya kuchagua na kuchaguliwa, hawa tunawashitaki wapi?.
  4. Sasa kabla sijaendelea na hii ya Mhimili wa Mahakama usipotenda haki, wananchi wanaweza kuushitaki”, naomba kukiri kuwa haya sii maneno yangu, nah ii sii kauli yangu, hii ni kauli ya Jaji Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Hamisi Juma, aliyoitoa Siku ya Sheria nchini mbele Rais Samia aliyekuwa mgeni rasmi, nilichofanya mimi ni kitu kinachoitwa kwa Kiingereza “paraphrasing” kauli ile kwa sentensi moja, hiyo hili la wananchi wanakosa haki kuishitaki mahakama, sio langu, hili ni la Jaji Mkuu mwenyewe, kitu ninachoweza kufanya, ni mimi kama mwanahabari, kumtafuta Jaji Mkuu kwa ufafanuzi.
  5. Kwa mujibu wa Katiba yetu, nchi yetu inaendeshwa kwa mihimili mitatu, Serikali Bunge na Mahakama. Mihimili hii kila mmoja una nguvu zake na mamlaka yake, inayojitegemea, "independent powers" lakini kila mhimili pia ni mwangalizi wa mhimili mwingine usikiuke mamlaka yake na kupitiliza, kupitia kanuni ya Kiingereza ya "The Doctrine of Separation of Powers, Checks and Balance" ambapo Bunge litaidhibiti serikali na Mahakama, Serikali italidhibiti Bunge na Mahakama, na Mahakama italidhibiti Bunge na Serikali.
  6. Udhibiti huu unafanyika kwa Serikali ndio inatunga miswada ya sheria na kulipelekea Bunge ndilo lenye mamlaka ya kutunga sheria, Mahakama ndio inatafsiri sheria na kutoa haki na serikali ndie mtekelezaji wa hukumu za mahakama. Serikali ikipendekeza sheria mbaya, Bunge haliipitishi. Serikali inapanga bajeti na kuliomba Bunge kuiidhinisha, kisha Bunge linapelekewa taarifa ya CAG kujiridhisha na matumizi ya serikali. Bunge linaweza tuu kutunga sheria, lakini sheria zinazotungwa na Bunge, haziwi sheria mpaka Mkuu Mhimili wa Serikali atakapo saini sheria hizo. Mkuu wa Mhimili wa Mahakama, Jaji Mkuu, anateuliwa na Mkuu wa mhimili wa Serikali, na Mtendaji Mkuu wa Bunge, Katibu wa Bunge pia anateuliwa na Mkuu wa Mhimili wa Serikali.
  7. Bunge ndilo linatunga sheria, lakini Mahakama nayo inatunga sheria, kupitia na serikali pia inatunga sheria kupitia executive orders, na halmashauri zinatunga sheria ndogo by laws, hivyo mtunga sheria sio Bunge Pekee!.
  8. Mahakama ndio mtafsiri sheria na mhukumu, lakini serikali nayo kupitia mamlaka zake mbalimile bali za udhibiti, zinasikiliza mashauri na kutoa hukumu, Bunge nalo, linaweza kujigeuza mahakama kupitia kitu kinachoitwa quasi judical bodies, ile kamati ya Bunge ya Kinga na Madaraka ya Bunge inaweza kumuita mtu yoyote, kumhoji na kumfunga hadi kifungo cha miaka 3 jela!.
  9. Hivi hizi kanuni kama za independent powers, na the doctrine of separation of powers, checks and balance, ni kiini macho, ukweli ni kuwa ile kauli ya JPM (Mungu amuweke mahala pema peponi, na ameisha muweka maana JPM yuko ...) kuhusu Mhimili uliojichimbia chini zaidi, ni kweli, serikali ndio kila kitu!.
  10. Wakuu wa mihimili hii yote mitatu, wakienda kinyume cha majukumu yao, wanaadhibika kwa kuondoshwa madarakani, Ibara ya 46A, Bunge linaweza kumuadhibu rais anapofanya makosa kwa kumuondoa Mkuu wa Mhimili wa Serikali madarakani, Bunge pia kupitia ibara ya 53A, linaweza kupiga kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu na waziri Mkuu akaondolewa madarakani, Bunge pia linaweza kumuondoa Spika madarakani kupitia Ibara ya 87 ya Katiba ya JMT, ya mwaka 1977. Na Mkuu wa Mhimili wa Mahakama, Jaji Mkuu, akifanya makosa, anaweza kuadhibiwa kwa kuondolewa madarakani kwa mujibu wa Ibara ya 110 ya Katiba. Hivyo wakuu wote wa mihimili wasipotimiza wajibu wao, wanaweza kuadhibiwa, kuwajibishwa na kuondolewa madarakani.
  11. Serikali licha ya kuwa ndio kila kitu, inapofanya makosa ya ukiukaji wa haki za wananchi, inaweza kushitakiwa mahakamani, lakini sio kwa serikali kuwajibishwa, bali kwa serikali kuamriwa na mahakama kutenda haki kwa lazima kupitia amri 6 za kimahakama za certiorari, mandamus, prohibition, (zuio), harbea corpus, quo warranto na procedendo, mtanisamehe amri hizi nyingine zote hazina majina ya Kiswahili wa Kiingereza ni Kilatini.
  12. Lakini Bunge lisipotenda haki, na mahakama isipotenda haki, kwa mujibu wa katiba yetu, bado hakuna utaratibu wowote wa kuishitaki mahakamani au popote au kulishitaki Bunge popote!, na ndio maana Bunge letu limekuwa linatunga sheria batili na mahakama kuzibatilisha tuu bila Bunge kuwajibishwa!.
  13. Mfano mzuri ni Sheria yetu ya Uchaguzi, yenye kipengele batili cha kulazimisha wagombea kudhaminiwa na chama cha siasa, Mchungaji Mtikila akafungua Kesi No. 5 ya mwaka 1993 kupinga sheria hiyo, Mahakama Kuu ya Tanzania.
  14. Baada ya Mahakama Kuu kutangaza kipengele hicho ni batili, serikali yetu ya wakati huo, ilifanya mambo mawili makubwa ya ajabu!, kwanza ilikata rufaa kupinga uamuzi huo wa Mahakama Kuu kuibatilisha sheria hiyo!. Sheria ikiishatamkwa na mahakama kuwa ni batili kwa kwenda kinyume cha Katiba, ubatili huo unaanza pale pale baada ya hukumu kwakuwa ubatili huo unakuwa ni umebatilishwa na katiba yenyewe!.
  15. Kitu cha pili cha ajabu ambacho serikali yetu ni kupeleke Bungeni kwa hati ya dharura, Sheria No. 34 ya mwaka 1994 na kufanya mabadiliko ya 8 ya katiba ya JMT ya mwaka 1977 kuliomba Bunge, likichomekee kipengele hicho batili ndani ya katiba yetu, na kweli Bunge letu tukufu likauchomekea ubatili huo ndani ya katiba yetu!.
  16. Mchungaji Mtikila (Mungu amuweke mahala pema peponi), hakukubali katiba yetu inajisiwe, akafungua shauri jingine No. 10 la mwaka 1909 kupinga mabadiliko hayo ya 8 ya katiba, na Mahakama Kuu ikampa ushindi na kutamka mabadiliko hayo ya katiba, kuchomekea kipengele batili kilicho kinyume cha katiba, ni batili.
  17. Serikali ikakata rufaa kupinga uamuzi huo, na Mahakama ya Rufaa ikakaa chini ya majaji 7, (inaitwa full bench) ikatoa uamuzi wa ajabu kuwahi kutokea Tanzania, ambao pia uliwakosea sana Watanzania, kwakusema “The Court is not the custodian of the will of the people”, ukimaanisha Mahakama sio mlinzi wa katiba ya wananchi!. Mahakama ya Rufani, ikalirudisha jambo hilo kwa Bunge lenyewe ndio lirekebishe!, na matokeo yake mpaka hivi sasa ninapoandika makala hii, sheria batili hiyo bado ipo kwenye sheria zetu, kipengele hicho batili kinachokwenda kinyume cha katiba bado kipo na kinatumika kuwanyika haki ya kuchanguliwa Watanzania mpaka kesho, na ubatili huu uliochomekewa kiubatili ndani ya katiba yetu, bado upo!, hii maana yake, Katiba ya Tanzania ya mwaka 1977, imechomekewa ubatili ambao ungali upo!.
  18. Nilisema makala hizi pia zitaangazia matobo ndani ya katiba yetu!. Kama katiba ndio kila kitu.
  19. Ibara ya 13.- (2) Ni marufuku kwa sheria yoyote iliyotungwa na mamlaka yoyote katika Jamhuri ya Muungano kuweka sharti lolote ambalo ni la ubaguzi ama wa dhahiri au kwa taathira yake. Shurti la kudhaminiwa na chama ni shurti baya kabisa la kuwabagua Watanzania wasio na vyama kugombea nafasi za uongozi, na kuwalazimisha Watanzania, wakitaka kugombea uongozi ni lazima wajiunge na vyama hata kama vyama hivyo ni vya hovyo na vinafanya mambo ya hovyo!.
  20. wananchi, hii maana yake nchi ya Tanzania ni mali ya wananchi wa Tanzania!, Wananchi ndio wenye nchi, ndio wenye katiba, hivyo serikali ni mali ya wananchi, Bunge ni mali ya Wananchi na Mahakama ni mali ya wananchi, vyombo hivi vinapofanya makosa dhidi ya wananchi, lazima kuwepo namna ya wananchi kuviwajibisha, ikibidi kuvishitaki na kuviadhibu kwa kuviwajibisha!.
Wiki ijayo nitaendelee na ile mada ya wiki iliyopita ya usuluhishi ambao pia itaona jinsi Rais wa JMT, Samia Suluhu Hassani anavyoitumia dhana hii ya usuluhisi na maridhiano kulitibu taifa letu majeraha ya kisiasa, kiuchumi na kijamii.

Wasalaam.

Paskali
Kongole nyingi sana kwako mkuu Paskali, kwa madini yaliyojaa katika muendelezo wa makala zako.
 
Kusubiri watu wote wajue nini ni nini na nini ni nini hiyo haitotokea mpaka mwisho wa Dunia! Hiyo sio kwa hapa Tanzania bali Hiyo ni kwa Dunia nzima !! Hata kwenye Nchi zilizo endelea sana watu wengi hawajui nini ni nini
Hivi nimesema kila mtu au majority ? nikinukuu Mfano wa Socrates na a Sweet Shop (bila wananchi kuelewa nini ni nini watakuwa wanatumika tu kama ngazi ya watu kwenda kupata ulaji)

The sweet shop owner can make the argument against the doctor that “he gives you bitter syrups and pokes holes on you, cuts your skin and take your blood,” but he can offer you many sweets and candies.
lakini Mihimili ikiwa imara na inajitambua kila muhimili unaudhibiti muhimili mwingine usijimwambafay kinyume na Katiba ya Nchi inavyosema !!
Hakuna mtu atakayepinga hilo tunahitaji taasisi kweli kabisa lakini hata hii Katiba iliyopo kuna Separation of Power ila haikuzuia Bunge kuwa a Rubber Stamp ya Serikali !!! Mtikila alishinda Kesi ya kuonyesha kwamba kuzuia mgombea Binafsi ni against Katiba ila Mahakama ikaenda na kubadilisha retrospectively !!!

Ingawa majority wangekuwa wanajua nini ni nini wasingekubali kuchezewa na huu upuuzi au Sarakasi na Ngonjera zinazotumia kodi zao kuendeleza haya maigizo; Tunajua Kabisa kwamba wizi na ufisadi ni mbaya lakini leo ukisema fulani anakula pesa za UMMA au Dowans walitupiga unaonekana una wivu; au Mbunge fulani kapiga pesa utaambiwa na wewe subiri wakati wako huu ni wakati wake... (Hapo utagundua kwamba ni jamii nzima imeoza na uozo umekuwa ndio way of life)
Tatizo letu Katiba iliyopo ilikuwa ni ya Chama kimoja ambacho kilikuwa kimeshika Hatamu ! Yaani maana yake mihimili yote ni lazima yaani ni lazima zifuate anavyotaka aliyeshika Hatamu !! Mentalityni lazima !! Japo Katiba haisemi hivyo !!! Sasa shida ndio iko hapo kwa maoni yangu !!
Shida haipo Sheria inasema nini shida ipo kwa ni nini jamii tunaona kipo sawa..., leo hii kuna Sheria Polisi kwamba ukishikwa baada ya masaa fulani uwe umefunguliwa mashitaka lakini watu wanakaa central na kuozea huko bila kupewa haki zao..., Je Katiba hii inaruhusu wizi na ufisadi ? Kwanini wananchi hawakemei huo wizi wakati hizo ni pesa zao zinazoliwa (tena ndio wanapiga makofi kwamba fulani katumia akili kuiba)

Unajua kitakachotokea kwenye Katiba itakayokuja ? Unadhani Wasabato ukiwaambia Jmosi iwe mapunziko na Katiba nyingine yote ndani yake iwe mbovu inaruhusu Kiongozi sababu ni chaguo la Mungu afie madarakani huo Msabato atasema hii Katiba ni mbaya ?!! Ukiwapa Waislamu Mahakama yao wanayotaka igharamiwe na Serikali fully unadhani wataangalia vipengele vingine ? Ndio hapo narudi mwarobaini wa matatizo yetu wote kidunia nzima ni Uelewa wa wanaotawaliwa....

3c21e0e0472c76760880946ee4fd9c1a0ce782be2645d7890edbb6c6b90e474b_1.jpg
 
Hivi nimesema kila mtu au majority ? nikinukuu Mfano wa Socrates na a Sweet Shop (bila wananchi kuelewa nini ni nini watakuwa wanatumika tu kama ngazi ya watu kwenda kupata ulaji)

The sweet shop owner can make the argument against the doctor that “he gives you bitter syrups and pokes holes on you, cuts your skin and take your blood,” but he can offer you many sweets and candies.

Hakuna mtu atakayepinga hilo tunahitaji taasisi kweli kabisa lakini hata hii Katiba iliyopo kuna Separation of Power ila haikuzuia Bunge kuwa a Rubber Stamp ya Serikali !!! Mtikila alishinda Kesi ya kuonyesha kwamba kuzuia mgombea Binafsi ni against Katiba ila Mahakama ikaenda na kubadilisha retrospectively !!!

Ingawa majority wangekuwa wanajua nini ni nini wasingekubali kuchezewa na huu upuuzi au Sarakasi na Ngonjera zinazotumia kodi zao kuendeleza haya maigizo; Tunajua Kabisa kwamba wizi na ufisadi ni mbaya lakini leo ukisema fulani anakula pesa za UMMA au Dowans walitupiga unaonekana una wivu; au Mbunge fulani kapiga pesa utaambiwa na wewe subiri wakati wako huu ni wakati wake... (Hapo utagundua kwamba ni jamii nzima imeoza na uozo umekuwa ndio way of life)

Shida haipo Sheria inasema nini shida ipo kwa ni nini jamii tunaona kipo sawa..., leo hii kuna Sheria Polisi kwamba ukishikwa baada ya masaa fulani uwe umefunguliwa mashitaka lakini watu wanakaa central na kuozea huko bila kupewa haki zao..., Je Katiba hii inaruhusu wizi na ufisadi ? Kwanini wananchi hawakemei huo wizi wakati hizo ni pesa zao zinazoliwa (tena ndio wanapiga makofi kwamba fulani katumia akili kuiba)

Unajua kitakachotokea kwenye Katiba itakayokuja ? Unadhani Wasabato ukiwaambia Jmosi iwe mapunziko na Katiba nyingine yote ndani yake iwe mbovu inaruhusu Kiongozi sababu ni chaguo la Mungu afie madarakani huo Msabato atasema hii Katiba ni mbaya ?!! Ukiwapa Waislamu Mahakama yao wanayotaka igharamiwe na Serikali fully unadhani wataangalia vipengele vingine ? Ndio hapo narudi mwarobaini wa matatizo yetu wote kidunia nzima ni Uelewa wa wanaotawaliwa....

3c21e0e0472c76760880946ee4fd9c1a0ce782be2645d7890edbb6c6b90e474b_1.jpg
Hakika ufafanuzi makini sana huu. !! Kutojitambua kwetu ndio mtaji mkubwa kwa wenzetu !! Na haielekei tutajitambua hivi karibuni !! Na ndio maana wenye uelewa kama ndugu zetu Diaspora hawatakiwi kuwa na Uraia pacha !! Sasa je tunafanyaje ili majority ya wananchi wajitambue na kuweza kuwa na uthubutu wa kukataa kama vitu haviendi sawa ??!
 
Hivi nimesema kila mtu au majority ? nikinukuu Mfano wa Socrates na a Sweet Shop (bila wananchi kuelewa nini ni nini watakuwa wanatumika tu kama ngazi ya watu kwenda kupata ulaji)

The sweet shop owner can make the argument against the doctor that “he gives you bitter syrups and pokes holes on you, cuts your skin and take your blood,” but he can offer you many sweets and candies.

Hakuna mtu atakayepinga hilo tunahitaji taasisi kweli kabisa lakini hata hii Katiba iliyopo kuna Separation of Power ila haikuzuia Bunge kuwa a Rubber Stamp ya Serikali !!! Mtikila alishinda Kesi ya kuonyesha kwamba kuzuia mgombea Binafsi ni against Katiba ila Mahakama ikaenda na kubadilisha retrospectively !!!

Ingawa majority wangekuwa wanajua nini ni nini wasingekubali kuchezewa na huu upuuzi au Sarakasi na Ngonjera zinazotumia kodi zao kuendeleza haya maigizo; Tunajua Kabisa kwamba wizi na ufisadi ni mbaya lakini leo ukisema fulani anakula pesa za UMMA au Dowans walitupiga unaonekana una wivu; au Mbunge fulani kapiga pesa utaambiwa na wewe subiri wakati wako huu ni wakati wake... (Hapo utagundua kwamba ni jamii nzima imeoza na uozo umekuwa ndio way of life)

Shida haipo Sheria inasema nini shida ipo kwa ni nini jamii tunaona kipo sawa..., leo hii kuna Sheria Polisi kwamba ukishikwa baada ya masaa fulani uwe umefunguliwa mashitaka lakini watu wanakaa central na kuozea huko bila kupewa haki zao..., Je Katiba hii inaruhusu wizi na ufisadi ? Kwanini wananchi hawakemei huo wizi wakati hizo ni pesa zao zinazoliwa (tena ndio wanapiga makofi kwamba fulani katumia akili kuiba)

Unajua kitakachotokea kwenye Katiba itakayokuja ? Unadhani Wasabato ukiwaambia Jmosi iwe mapunziko na Katiba nyingine yote ndani yake iwe mbovu inaruhusu Kiongozi sababu ni chaguo la Mungu afie madarakani huo Msabato atasema hii Katiba ni mbaya ?!! Ukiwapa Waislamu Mahakama yao wanayotaka igharamiwe na Serikali fully unadhani wataangalia vipengele vingine ? Ndio hapo narudi mwarobaini wa matatizo yetu wote kidunia nzima ni Uelewa wa wanaotawaliwa....

3c21e0e0472c76760880946ee4fd9c1a0ce782be2645d7890edbb6c6b90e474b_1.jpg
Hakika kabisa !!
 
Sahihi ✔️ ila kibaya zaid bwana yule akawaongezea kinga jaji mkuu na supika!! Ila nchi hiii!! Acha tukakate majani ya ng'ombe no way!!!
Kuna vitu nchi hii usiongee, kajikatie tuu majani yako!. Hiyo picha ya kukata majani maporini, imenikumbusha enzi zangu za JKT Makotupora , mapori ya kule yanaitwa mitunduruni, sisi ilikuwa sio kutafuta kuni, unapita maporini ku jongo, na kwenda town!. Mabinti ni waoga hawawezi kupita maporini alone!, kiekweli miongoni mwa in born strength zangu, mimi ni fearless siogopi chochote, hivyo nilikuwa ni jongolist mzuri!.

Wale mabinti wa kishure from time to time, walikuwa wanawapelekea vitu vyao washure wenzao, hivyo mimi huwa ninapewa tenda ya kuwavusha kule msituni mitunduruni mpaka Vyeyula ndio kuna usafiri wa kwenda town. Sasa katika kuwavusha mkiwa katkati ya msitu, wengine wanajisikia so happy, so free, no inhibitions, the only thing they have worth giving is what they have!.

Hakuna ubaya wowote kupokea offers za appreciation ya asante za aina mbalimbali for the big risks you take!
Asante kunikumbusha mbali!.

P
 
Mkuu P

Hapa kwetu kinachotukimbiza kwenye kutaka katiba mpya ni tamaa ya wanasiasa kuwa ikipatikana watapata pa kulia tu hakuna lolote ndio maana wakianza tu utasikia mabishano ya serkali mbili au tatu,hati ya muungano na value za kitaifa wala sio haki za wananchi hasa wakulima na wafugaji,walimu na watumishi wengine hovyo tu

USSR
Naomba kuheshimu mawazo yako.
P
 
Back
Top Bottom