Swali langu kwenu wana jf ni juu ya hii katiba kweli itawafikia mama zetu kule vijijini ili waweze kuona faida ya katiba mpya?kimsingi nimejifunza kitu tokea huu mchakato uanze ni watu wa mjini tu wanaozungumzia katiba lakini vijijin watu bado hawaelewi juu ya hilo.sasa tufanyeje kuwasaidia waliopo vijijini kutambua haki zao?