DCONSCIOUS
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,269
- 473
Jaman kwa wale watakao bahatika kutoa maoni kwenye tume, waniwasirishie dukuduku langu kwenye tume,darasa la saba wasiruhusiwe kugombea ubunge kwenye chaguzi zijazo,kuwe na limitation kwenye. Level ya elimu kwa watu wanao gombea ubunge. Ilikurejesha hadhi ya bunge . Tuweke itikadi zetu za vyama pembeni juu ya hili.