toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,580
- 4,633
Wakuu kuna mikoa miwili napaswa kuchagua nikaishi kutokana na mazingira ya kazi
Kati ya Shinyanga na Mwanza ni wapi kuna joto kali
Maana nataka kujua ni mkono upi hauna joto kali ya hiyo miwili kiukweli joto kali huwa siliwezi kabisa
Na shinyanga na Dar ni wapi kuna joto kali pia?
Na mwanza na shinyanga jee?
Kati ya Shinyanga na Mwanza ni wapi kuna joto kali
Maana nataka kujua ni mkono upi hauna joto kali ya hiyo miwili kiukweli joto kali huwa siliwezi kabisa
Na shinyanga na Dar ni wapi kuna joto kali pia?
Na mwanza na shinyanga jee?