KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,189
- 17,157
Wewe tueleze sasa, utapataje Tume Huru!Chadema na wafuasi wao wengi ni mabumunda wanapiga tarumbeta tu kila jambo wanaoambiwa.
Utapataje Katiba Mpya kwa Tume tuliyonayo na Bunge hili la CCM?