Wana JF nashindwa kuelewa kati CCM na CHADEMA chama cha upizani ni kipi?
Kwa elewa wangu Chama tawala lazima kiwe na sera na mipango kazi jinsi ya kuitekeleza.
Kwa sasa Sera zinatoka CHADEMA na CCM wana react hakuna mipango, nani kapewa jukumU la kuendesha hii nchi?
Kwa elewa wangu Chama tawala lazima kiwe na sera na mipango kazi jinsi ya kuitekeleza.
Kwa sasa Sera zinatoka CHADEMA na CCM wana react hakuna mipango, nani kapewa jukumU la kuendesha hii nchi?