Kati ya Airbus, Boeing na Bomardier ni ndege zipi zinaongoza kwa ajali?

concordile 101

JF-Expert Member
Oct 13, 2013
1,413
1,763
Kuna watu wakeraiz kuclash kuhusu ndege za atcl kuwa si salaama kwa safari. Ya kuwa zina rate ya ajali sana tofauti na za jet engines has a Boeing.

Wengine wameenda mbali na kusema ya kuwa bombardier in kakampuni kadogo pasipokujua kuwa hii no kampun kubwa sana tena one of the leading railway manufacturers.

Katika kuperouse nimeamua kuchukua Boeing 737 ambayo ndo imeuzwa sana dunia toka ianze tengenezwa miaka ya 1980s na hii yetu.

Katika kuperouse nikagundua kuwa Boeing wameuza zaidi ya ndege 1000 ila pia wakawa na ajali na incident zaid 360 zaid ya ishirin no ajali.

Tukija kwa airbus 320 class wameuza ndege zaid ya 7000 ila wana incidents na ajali zaid ya tisin ambazo zilipelekea fatalities zaid ya 1000.

Haya tukija kwenye mapanga shaa yetu toka mwaka 1980s zilipoanza tengenezwa dash zimetengenezwa zaid ya 1000 kuna incidents plus ajali 8 tu ambazo vifo vyake havizidi watu 200. Na kati ya hizo ni ajali ya tano tu ndo ziliua. Pia nyingi ya ajali hizo sio mechanical errors.

Kwa kuconclude due to the above facts mapanga shaa ni salama kuliko jetlii.

Pia ni wazi yakuwa wengi wanaoponda ni wale Wa hisan ya Fastjet, hawajahi onja hata Precision.

Kwa uzoefu niliouona kwa haraka kati ya jet engine has a ndege ndogo kama embrare 175 haziko comfortable muda wrote unahisi kama uko kwenye mbazi travellers wakat ukiwa ndani ya mapanga shaa ya prec hakuna fujo sana pili at least unakuwa kama uko kwenye marcopolo paradiso 1800 dd, full luxury no mtikisiko.

Tusikariri, jet engine eti ndo salama pia comfortable. Jet engine utazipenda kwenye midege mikubwa ambayo ni mizito hainepinepi.
 
Unachokisema ni kweli mkuu. Ndege za mapanga boi huchukua muda mfupi kupaa kuliko jeti. Ni salama hasa kwa kuwa hutumika sanasana kwa safari za ndani na nchi jirani. Hata Boieng cargo planes baadhi ni mapanga shaa ingawa ziko reserved kwa matumizi ya jeshi.
 
Ajari za ndege nyingi co kwamba zote zinasababishwa na hitilafu ya ndege husika zingine zinasababishwa na uzembe wa marubani,pia ndege nyingi kubwa kama Boeing 777,787,747,767 Airbus 380,330,340 n.k ndo zinafanya Masafa marefu pengine mpk masaa 10 angani bila kutua,ndo maana ajari zinakuwa nyingi,panga boy chake Masafa mafupi,kubali ukatae jet ni comfortable kuliko mapanga,vipanga boy kama Caravan 208 ukipanga kinayumbishwa na upepo kama umepanda balloon vile,roho mkononi kelele kibao.
 
Hakuna namna utaniambia hiyo pangaboy ni comfortable kuliko airbus 319 ya fastjet. Ukweli ni kwamba tumechagua rahisi tumepata stahiki yetu.

Kuna mtu aliandika kabla hizi ndege hazijaagizwa kwamba kama nchi hatuhitaji shirika la ndege kwa sasa, kwasababu uwekezaji wake ni mkubwa sana na ni industry ngumu, isitoshe tuna fastjet na precision zinatosheleza mahitaji. Hizo fedha tungefanya muradi mingine hii ya ndege tuwaachie sekta binafsi.
 
Unaweza kuwa na hoja ila Mlinganyo wako wa kufananisha una shida.
1.Aina za safari za Boeng na Bombadier huoni hii ni sawa na kulinganisha ubora daladala ya mwenge kwenda posta na yutong ya dar kwenda arusha?
2. Ubora wa Bombadier hauwezi kupimwa kwa kulinganisha na Boeing.
3.Mahitaji yetu na maamuzi yetu ni kuwa na Bombadier. Sio wakati tena wa kulinganisha ubora wa ndege hii na aina nyingine za ndege.
Tupumzike sasa ATC ifanye kazi kama italeta faida itakuwa vyema.
 
Hakuna namna utaniambia hiyo pangaboy ni comfortable kuliko airbus 319 ya fastjet. Ukweli ni kwamba tumechagua rahisi tumepata stahiki yetu.

Kuna mtu aliandika kabla hizi ndege hazijaagizwa kwamba kama nchi hatuhitaji shirika la ndege kwa sasa, kwasababu uwekezaji wake ni mkubwa sana na ni industry ngumu, isitoshe tuna fastjet na precision zinatosheleza mahitaji. Hizo fedha tungefanya muradi mingine hii ya ndege tuwaachie sekta binafsi.
Au serikali ingeshirikiana na sekta binafsi na mashirika ya nje kuifufua air tanzania.
Wanakuwa wanapata uzoefu, kuchangia mtaji na wateja wanaongezeka.
 
Hamna kazi ngumu kama kumwongoza mtanzania.
Ukimsikiliza sana atakutoa kwenye mstari maana kila utakalofanya kwake kosa na usipofanya bado ni kosa.
I am sure ingenunuliwa boeing bado watu wangehoji kwanini imenunuliwa ndege kubwa wakati biashara ya ndege ngumu.
 
ukiwa na Land rover 109 unatakiwa uisifie kuwa ni nzuri kuliko evoque supersonic...kwa hiyo mapanga shaa ni bora kabisa kuliko dreamliner zinasafiri umbali mrefu kuliko ndege yeyote na ipo confortable sana na pia inabeba abiria wengi kuliko hizo 787 na bei ya ununuzi itakua juu mapanga shaa zaidi ya hizo ulizozitaja..hali ya hewa ikibadilika ghafra mapanga shaa kwenye Rada pia mtaitafuta...
 
Back
Top Bottom