pamoja tunashinda
Senior Member
- Aug 22, 2015
- 131
- 32
Serikali kupitia wizara ya afya, maendeleo ya jamii jinsia watoto na wazee imetangaza kuanzia leo ni marufuku kwa vyombo vya habari vyote, social media na njia zingine za kupashana habari kutangaza matangazo ya aina yoyote yanayohusu tiba mbadala au tiba asilia.
Nini maoni yako?
Nini maoni yako?