Malkia bora
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 765
- 524
Ndiyo maana South Africa walikuwa wanachomwa matairi shingoni.
Patrobas Katambi (Mwenyekiti alieng'atuka BAVICHA) amesema kwa picha ya kijeshi jeshi CHADEMA ni sawa na MGAMBO (hawajaiva kisiasa) na CCM ni jeshi kamili (JWTZ) ndio maana amehamia.
Akizungumza hii leo katika mkutano mkuu wa UVCCM,Katambi amesema Upinzani umeshindwa kujenga Imani mioyoni mwa Watanzania.
Yani chadema hii itume shushushu ccm alafu wasijue?Huyo inawezekana cdm ikamtumia kama shushushu , wanaccm wenzangu tuwe makini kwasababu hadi sasa hakuna cdm makin aliyetoka kule
Sio hawa!MIGAMBO NDYO WANAONGOZA KUPINDUA NCHI eg liberia na sieraleone
CDM hawafikia kiwango hicho. Kiwango chao ni hiki...Huyo inawezekana cdm ikamtumia kama shushushu , wanaccm wenzangu tuwe makini kwasababu hadi sasa hakuna cdm makin aliyetoka kule
Patrobas Katambi (Mwenyekiti alieng'atuka BAVICHA) amesema kwa picha ya kijeshi jeshi CHADEMA ni sawa na MGAMBO (hawajaiva kisiasa) na CCM ni jeshi kamili (JWTZ) ndio maana amehamia.
Akizungumza hii leo katika mkutano mkuu wa UVCCM,Katambi amesema Upinzani umeshindwa kujenga Imani mioyoni mwa Watanzania.
Ndo maana Msigwa alisema mpimwe akili. Mlishapimwa?Hana hoja achaneni naye fuatilieni mambo ya maana! Pia mtu anayesifia CCM hana akili hata chembe, there is nothing CCM deserves appreciation for, idiots!
Nenda memkwa.Elimu nayo inachangia maana hyo mastaz kabebwa sana na jamaa yake anaitwa rchad kwaiyo tusimshangae anavolkpoka
Huyu hajui kuwa anajichoresha. Katika huo mkutano hakuna asiyejua kuwa anachokifanya hapo ni unafki.Huyu bwana aangalie sana.....wenzake hawatokagi ivo.
Nimemkubali sana mama Mgwira alivotoka upinzani hajakashifu MTU
Nadhan kaambiwa ili aongeze visibility kwa JPM ni lazma aishambulie CDM. Anapoteza muda mana hana uwezo wala sifa ya kuichafua chadema. Alishindwa Dr. Slaa, yeye nani???Huyu Jamaa ndo kwisha habari yake,Wanasiasa masilahi kama hawa ni hatari sana kwa taifa,Toka amehama Chama chake cha zamani chadema haimtoki kinyanyi ajifunze kwa Mzee Wasira,Waliohama Chadema ni wengi lakini mbona yeye tu kila akisimama chadema haimtoki au ndo anatembelea njia ya Sh*nza
Patrobas Katambi (Mwenyekiti alieng'atuka BAVICHA) amesema kwa picha ya kijeshi jeshi CHADEMA ni sawa na MGAMBO (hawajaiva kisiasa) na CCM ni jeshi kamili (JWTZ) ndio maana amehamia.
Akizungumza hii leo katika mkutano mkuu wa UVCCM,Katambi amesema Upinzani umeshindwa kujenga Imani mioyoni mwa Watanzania.