Mzee mmoja alikuwa anafuga kasuku dume, yule kasuku akawa na mchezo wa kuingia banda la kuku na kuwapiga miti(kuwa sex).
Mzee alivyomstukia akawa anampa kila aina ya adhabu kasuku haachi.akaamua kumtoa magoya ya kichwani mpaka kasuku akawa na kipara lakini wapi haachi.Siku mmoja kulikuwa na sherehe kwa mzee kasuku akawekwa mlangoni kukaribisha wageni, wakaja wazee 3 wote wana vipara kasuku ile kuwaona wacha awachangamkie na kuwaambia KARIBUNI WAFIRAA KUKUU WENZANGU
Mzee alivyomstukia akawa anampa kila aina ya adhabu kasuku haachi.akaamua kumtoa magoya ya kichwani mpaka kasuku akawa na kipara lakini wapi haachi.Siku mmoja kulikuwa na sherehe kwa mzee kasuku akawekwa mlangoni kukaribisha wageni, wakaja wazee 3 wote wana vipara kasuku ile kuwaona wacha awachangamkie na kuwaambia KARIBUNI WAFIRAA KUKUU WENZANGU